Hivi waislamu Leo wanasherehekea Nini?

Hivi waislamu Leo wanasherehekea Nini?

Status
Not open for further replies.
Ibada sio kifungo ni jambo la kumfurahisha muumbaji, tunasherehekea kwasababu Mungu ametufanyia wema tumemaliza salama kabisa, na matarajio ni kuishi vyema huku tukijiepusha na uovu na kuzidisha mema zaidi na zaidi
Kwa kweli mkuu wewe wajibu vyema sana. Tena very simple
 
Tunaosherekea ni Sisi Waisalamu ambao Tuna Dini yetu, Na nyie mna Dini Yenu. Wewe Unaanza Kuuliza kwa Kejeli Tena unalinganisha na unachokiabudu au kukiamini wewe...
Allah kaishasema ndani ya Qur'an. ".......... Na wanapenda muwe
mkafiri (Qur'an 60:2)
 
Hakika,eti kabisa mtu analeta mada za chuki.Anaandika kwa kejeli alafu anajiona yupo sahihi.Hivi kwa hizi akili zitatuletea maendeleo?
Mtu anauliza swali wewe akili yako inasema analeta kejeli? Mbona mdau mmoja kajibu vizuri tu. Akili yako kwakuwa haina jibu unajificha kwenye eti kejeli!
 
Hao ni watu ambao hawaijui imani yao kisawa sawa, uislamu huko wazi Ramadhan ni kama chuo cha kufunza watu kumcha Mungu , ili badae wakitoka kwenye Ramadhani wakawe mabalozi wazuri kwa watu wengine kuwa sasa tumekuwa wapya na uovu basi , ni mema kwa kwenda mbele
Safi sana mkuu, nakuelewa sana.
 
Aiseee....

Kosa Mali upate akili. Bila shaka akili ikiwepo, busara na hekima kabla ya kufanya au kuuliza lolote itakuwepo.
Jibu la swali liko wapi? Acha kuzunguka mbuyu
 
Mtu anauliza swali wewe akili yako inasema analeta kejeli? Mbona mdau mmoja kajibu vizuri tu. Akili yako kwakuwa haina jibu unajificha kwenye eti kejeli!
Hiyo ni kejeli tu.Wewe ndiyo akili yako haijaelewa kuwa mtoa mada kauliza kwa hekima au kauliza kwa kejeli.

Mtoa mada anatoa kejeli kwa kujificha chini ya mwavuli wa kuuliza swali.
 
Tunasherehekea Eid kwa kufanya ibada kwa kula na kunywa vilivyo halali, Eid kwetu sisi waislam siyo sherehe tu Ila ni ibada pia, hivyo ukiona mtu anakunywa pombe,anazini na kufanya maasi siku ya eid huyo anakosea na siyo katika mafundisho ya uislam.

Mmekua mkitudhiki waislam kwa muda wote wa ramadhan na hata eid pia lakin sisi hatuumizwi na hayo mnayo yafanya pengine ni katika mafundisho ya ukristo
Haya ya juu imeonyesha jinsi gani ulivyo mkomavu katika dini yako na umejibu swali vizuri sana. Ila haya ya mwisho umeshambulia ukristo kitu ambacho si sahihi
 
Wakristo baadhi wana chuki binafsi na Uislam
Uzi kuhusu wakristo ukiletwa na mkristo huwezi kukuta muislam anachangia kwa kejeli wala kuuliza maswali yasiyotuhusu
Kweli mna roho mbaya sana na tunaona kila sehemu kwa ubaya wa tabia dhidi ya Uislam

Huwezi kejeli dini za watu Mbona huulizi kwa nini utawala wenu mauwaji na wizi ni mwingi sana wakati kutwa mnasali?
EPA, Escrow mpaka hela walipokea maaskofu bila aibu
Leo unahoji Eid kama inakuhusu
Kwanini usiulize yanayokuhusu?

Kwa kweli tunajua rangi zenu hata viongozi wenu kwa unafiki
Ijumaa kuvaa kanzu na kofia wakati anaitwa John ni unafiki tunaoujua ila mnajidhalilisha tu mkifikiri tutawaamini eti mna upendo
Acheni kila mmoja aabudu anachoabudu
Muwe na siku njema ingawa mnatukera lakini tunawachora tu
 
Baadhi ya wakristu mnatia aibu wenzenu, hivi huwa mnajiskiaje mpaka mnakuja na hoja zisizo na maana kama hizi za mtoa mada. Ni muhimu kwenu kujitathmini mnabeba chuki na kutengeneza hasira kwenye nafsi zenu kijinga sana kiasi kwamba mnaonekana kama wehu hata kama mmeelimika kwa kiwango kikubwa.

Tuacheni na dini yetu na nyinyi mbaki na dini yenu. Maneno ya kejeli hayafai. Tuwe wastahamikivu. Humu jamvini muna mada za kijinga nyingi zinaanzishwa na wakristu ila hukuti waislamu wakianza kuhoji utumbo wenu mnaufanya makanisani.

...mbona waislamu hawaji na hoja za kijinga jinga mfano:-

1. Kwanini wakristu muoe mke mmoja wakato hakuna andiko lolote ndani ya bible linaloelekeza hilo jambo. Ispokuwa nyinyi wakristu wa Tz mnafuata mila na desturi za wamagharibi kuoa mwanamke mmoja.

2. Kanisani kuna muda huwa mnasameheana dhambi, mkristu na akili yako timamu na elimu ulonayo unaingia kwenye chumba kidogo na kutaja makosa yako halafu unaamini kiongozi wako wa kanisa anakusamehe midhambi yako na pesa unatoa kwa kuamini kuwa ulishajitakasa unaenda anza mwanzo.

Na mingi mengine mambo ya ajabu kabisa ambayo mmnafanyiwa makanisani ila hukuti waislamu kuja hapa na kuanza kuhoji upumbavu kama nyinyi mnavyokuja na kujifanya werevu na wajuaji mkaanza kuponda imani za wenzenu.

MUWE NA ADABU
Mkuu jibu swali acha kuzunguka zunguka.
Hata maswali yako juu ya ukristo mimi kwangu naona hayana kosa wala kashfa yeyote yatakiwa kujibiwa na wala siyo shambulio kwa ukristo
 
Tatizo ni moja tu mkuu egoism..Wakristo wa nchi hii wanajiona wameelimika zaidi kuliko waislamu kwahyo huwachukulia waislamu kama watu wanaofanya mambo kienyeji sana,ujinga kama huu ndio maana baadhi ya nchi kunaibukaga vita vya kidini kwa kashfa kama hizi zisizo kichwa wala miguu...Ingekuwa vizuri sana kila mtu angeshinda mechi zake maana hata waislamu walishasema kwamba Mungu unayemuabudu ww(mkristo/myahudi) sio Mungu anayemuabudu yeye sada kwanini umuingilie yule ambaye kaamua kwenda njia tofauti na wewe? Na upumbavu kama huu mara nyingi wanao wanaoabudu kwenye haya makanisa ya kilokole kama MINOCYCLINE huwezi kumkuta mkristo mwenye akili timamu tena mkatoliki akafanya huu upuuzi
Mkatoliki si mshindani wenu kiimani ila kisiasa(kidunia)ni adui yenu namba 1.
 
Wana sheherekea kumaliza salama mwezi mtukufu wa Ramadhani wakiwa na afya na wazima kabisa , huku wakitarajia kupata faida ya kile walichojifunza katika Ramadhani kuyaendea maisha ya kila siku, hii ina maana kwamba kama walijitahidi kuacha maovu wakati wa mfungo wa Ramadhani basi waendelee hivyo na kuzidisha kufanya mambo mema na mazuri hata nje ya Ramadhani
Ahsante sana kwa jibu la hekma, linaloendana na uelewa na muulizaji na lililopisha, kwa busara ya hali ya juu, nia haswaa ya muuliza swali......mtifuano! Kuna maostadhi wangekuja kuchwakuchwa hapa na kuanza kurushiana maneno yasiyofaa.
 
Tunaosherekea ni Sisi Waisalamu ambao Tuna Dini yetu, Na nyie mna Dini Yenu. Wewe Unaanza Kuuliza kwa Kejeli Tena unalinganisha na unachokiabudu au kukiamini wewe.

Kwakuwa unaamini Yesu alizaliwa na Alifufuliwa unalazimisha na Waislamu Tuamini Hivyo.

Ninyi Mna Dini yenu na Sisi Tuna Dini Yetu.
Amini Kile kinachokuhusu Bila kukejeli imani za wengine na Tena Haujalazimishwa usherekee.

#Mnaanzisha Nyuzi Nyingi sana Zenye Kejeli Juu Ya Uislamu ilhali waislamu wenyewe hawafanyi hivyo Kuhusu Dini Yenu, Hii sio Sawa. Kwani Hauwezi Kuamini imani yako Bila Kukejeli imani za wengine??
Jibu swali mkuu acha na wewe kuzunguka zunguka. Swala la yesu kufufuka ametoa kama mfano wa wakristo wanacho sherekea. Wala hajasema na nyie msherekee hilo au muamini hilo. Swali ni nyie mnasherekea nini?
 
Wanasheherekea kuisha kwa kupinduliwa ratiba ya kula (mchana) na kufunga (usiku) ikawa kinyume chake
Hii sasa siyo poa. Usijibu kama hujui hasa pia kama siyo imani yako. Huu ni kama mzaha kwenye imani ya watu wengine
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom