Hivi waislamu Leo wanasherehekea Nini?

Status
Not open for further replies.
Si muhimu kujua kisichokuhusu.....
 
Akili yako haina akili, mwambie yule kiongozi aliekuelekeza kumuabudu mwanaadam kama Magufuli au Samia ili apate pesa, mimi nina hofu ya Allah, na adhabu zake. siuzi imani yangu.

Ila uislmu na waislamu kuacha kuifukia ile takataka ikiwa hai. Nimeacha hii dini na huo ndio msimamo wangu. Mkikata kichwa yule Ibilisi , narudi msikitini.

Hao wa kristo kulawiti watoto wa kikristo ndio imani yao si unaona wazazi watoa watoto wao pesa zao, huko ni majanga zaidi. na mambo yao hayanihusu Shekhe wangu , Eid Mubarak..!
 
Dah..inasikitisha sn kuona jinsi wakristo tunavyokosa hekima kwenye maswala yahusuyo dini ya kiislamu

Mbona wao hawana muda wa kuanzisha hizi mada za kuponda dini zingine km tufanyavyo Sisi wakristo...
Tatizo ni moja tu mkuu egoism..Wakristo wa nchi hii wanajiona wameelimika zaidi kuliko waislamu kwahyo huwachukulia waislamu kama watu wanaofanya mambo kienyeji sana,ujinga kama huu ndio maana baadhi ya nchi kunaibukaga vita vya kidini kwa kashfa kama hizi zisizo kichwa wala miguu.

Ingekuwa vizuri sana kila mtu angeshinda mechi zake maana hata waislamu walishasema kwamba Mungu unayemuabudu ww(mkristo/myahudi) sio Mungu anayemuabudu yeye sada kwanini umuingilie yule ambaye kaamua kwenda njia tofauti na wewe?

Na upumbavu kama huu mara nyingi wanao wanaoabudu kwenye haya makanisa ya kilokole kama MINOCYCLINE huwezi kumkuta mkristo mwenye akili timamu tena mkatoliki akafanya huu upuuzi
 
🙏🙏
 
Aiseee....

Kosa Mali upate akili. Bila shaka akili ikiwepo, busara na hekima kabla ya kufanya au kuuliza lolote itakuwepo.
 
Reactions: Tui
Tunasherehekea Eid kwa kufanya ibada kwa kula na kunywa vilivyo halali, Eid kwetu sisi waislam siyo sherehe tu Ila ni ibada pia, hivyo ukiona mtu anakunywa pombe, anazini na kufanya maasi siku ya eid huyo anakosea na siyo katika mafundisho ya uislam.

Mmekua mkitudhiki waislam kwa muda wote wa ramadhan na hata eid pia lakin sisi hatuumizwi na hayo mnayo yafanya pengine ni katika mafundisho ya ukristo
 
Huwezi mkuta Mlutheri, Mroma na Anglican analeta huu upumbavu wanakuaga wale brainwashed society tu.
 
Baadhi ya wakristu mnatia aibu wenzenu, hivi huwa mnajiskiaje mpaka mnakuja na hoja zisizo na maana kama hizi za mtoa mada. Ni muhimu kwenu kujitathmini mnabeba chuki na kutengeneza hasira kwenye nafsi zenu kijinga sana kiasi kwamba mnaonekana kama wehu hata kama mmeelimika kwa kiwango kikubwa.

Tuacheni na dini yetu na nyinyi mbaki na dini yenu. Maneno ya kejeli hayafai. Tuwe wastahamikivu. Humu jamvini muna mada za kijinga nyingi zinaanzishwa na wakristu ila hukuti waislamu wakianza kuhoji utumbo wenu mnaufanya makanisani.

...mbona waislamu hawaji na hoja za kijinga jinga mfano:-

1. Kwanini wakristu muoe mke mmoja wakato hakuna andiko lolote ndani ya bible linaloelekeza hilo jambo. Ispokuwa nyinyi wakristu wa Tz mnafuata mila na desturi za wamagharibi kuoa mwanamke mmoja.

2. Kanisani kuna muda huwa mnasameheana dhambi, mkristu na akili yako timamu na elimu ulonayo unaingia kwenye chumba kidogo na kutaja makosa yako halafu unaamini kiongozi wako wa kanisa anakusamehe midhambi yako na pesa unatoa kwa kuamini kuwa ulishajitakasa unaenda anza mwanzo.

Na mingi mengine mambo ya ajabu kabisa ambayo mmnafanyiwa makanisani ila hukuti waislamu kuja hapa na kuanza kuhoji upumbavu kama nyinyi mnavyokuja na kujifanya werevu na wajuaji mkaanza kuponda imani za wenzenu.

MUWE NA ADABU
 
Tunaosherekea ni Sisi Waisalamu ambao Tuna Dini yetu, Na nyie mna Dini Yenu. Wewe Unaanza Kuuliza kwa Kejeli Tena unalinganisha na unachokiabudu au kukiamini wewe.

Kwakuwa unaamini Yesu alizaliwa na Alifufuliwa unalazimisha na Waislamu Tuamini Hivyo.

Ninyi Mna Dini yenu na Sisi Tuna Dini Yetu.
Amini Kile kinachokuhusu Bila kukejeli imani za wengine na Tena Haujalazimishwa usherekee.

#Mnaanzisha Nyuzi Nyingi sana Zenye Kejeli Juu Ya Uislamu ilhali waislamu wenyewe hawafanyi hivyo Kuhusu Dini Yenu, Hii sio Sawa. Kwani Hauwezi Kuamini imani yako Bila Kukejeli imani za wengine??
 
Na kufundisha tena kiongozi wa kiislamu akifanya jambo la ovyo hata yeye anayo hukumu kwa Muumba, Uislamu ni zaidi ya huyo sheikh , UISLAMU ni Quran na Sunah sio matendo ya sheikh , kwahiyo hata Sheikh akibaka akifika kwa Mola wake adhabu yake anayo, hivyo basi huwezi wapa waislamu wote lawama au kuwatoa thamani kwa matendo ya sheikh yeyote yule
 
Pole sana kwa kuwa na Hasira tu Ndugu.
 
Dah..inasikitisha sn kuona jinsi wakristo tunavyokosa hekima kwenye maswala yahusuyo dini ya kiislamu

Mbona wao hawana muda wa kuanzisha hizi mada za kuponda dini zingine km tufanyavyo Sisi wakristo...
Waweza kuwa uko sahihi mkuu, lakini vp kama ungejikita kuelezea wanacho sherekea badala ya kumshambulia muuliza swali huoni kama ungekuwa umefanya vizuri zaidi na wengi wangejifunza.

Then ungemalizia kwa kusema kuwa muuliza swali kauliza siyo kwa kutaka kujifunza, wote tungeona makosa yake wakati huo funzo tumepata.
 
Nafikiri umejua tatizo.Ingawa sio wote lakini kuna wapumbavu wachache wanao tafuta malumbano ya kijinga.Dawa ni kuwapuuza tu.
 
Tulia Hapa Hapa Utapata Ufafanuzi Kwa Wanaojua Hasa Ulilouliza
 
Wanasheherekea kuisha kwa kupinduliwa ratiba ya kula (mchana) na kufunga (usiku) ikawa kinyume chake
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…