Hivi wakatoliki wenzangu zile ndoa za wengi za misa ya usiku bado zipo? Nataka nifanikishe jambo langu

Japo sikuoa (thanks God)bt mm nilimuomba sana tufunge boman japo wote wakristo yaani sipendi zile mbwbwe za harusi kabisa ila mwenzangu alilia kishenzi akisema Bomani ni sawa nakumdharau yeye na ukoo wake.
Ila nkapewa wazo nihamie upande wapili ni simpo kwani ni Shehe,jamvi na ubani,ila wakati najaribu tuhamie kwa Mtume ndio yakatokea yakutokea.
 

What happened
 
Hazipo kabisa kalendaryo kiislam shemz we
 
[emoji28]kasheshe hutaki mambo mengi kabisa, We si mwanaume na ndoa huwa IPO upande WA mwanaume na sanasana mwanaume anasema anataka ndoa yake iwaje mbn unaweza kufunga ya kanisani na ikawa kama unavyotaka, ww hujaamua Tu.
 
Asante sana mkuu, ngoja nitafanyia kazi hili suala liishe ndani ya hii miezi 12 inayokuja
 
Powa mkuu, napokea ushauri wako ili niufanyie kazi
 
[emoji28]kasheshe hutaki mambo mengi kabisa, We si mwanaume na ndoa huwa IPO upande WA mwanaume na sanasana mwanaume anasema anataka ndoa yake iwaje mbn unaweza kufunga ya kanisani na ikawa kama unavyotaka, ww hujaamua Tu.
Sio sijaamua mkuu, ni maisha tu... kwanza kilichonipa setback, kikao cha mahari kilivunjikaga, ni story nyingine hiyo... ndo ikanipoteza munkari kabisa...
 
Zipo mkuu. Nenda tu jumuiya then wambie wakufanyie mchakato. Unaweza funga hata wakati wa ibada ya usiku mwaka mpya au Christmass ukienda home kulala na asubuhi ikawa kama hamna kilichotokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…