Hivi wakemia ulimwenguni kote wameshindwa kabisa kutengeneza dawa ya kutibu UKIMWI?

Hivi wakemia ulimwenguni kote wameshindwa kabisa kutengeneza dawa ya kutibu UKIMWI?

Naamini kwenye Facts..Ili kitu kiwe Fact lazima kiwe na Prove So ukija na Fact yako kwamba "kitu hiki kinafanya kazi hivi na kiko hivi" Lazima U-prove..Kuna msemo wamasema wanatumia Anonymous 'Provide proof before people proves"(PPPP) So naamini nachokiona na Kusikia ila akili ya kuambiwa changanya na zako
Huyo wa ku prove hiko kitu ni wewe au unategemea mtu mwingine..?
 
Na nani sasa ..?

Mkuu kuna kada inaitwa "pharmacists" hao ndiyo wenye maua yao.

Wakemia ni kama alivyokuwa "jiwe" ndiyo maana waliomsikiliza ni kama unavyoona:

IMG_20211211_082805_567~2.jpg


Dawa za binadamu ujue na receptors zake mwilini siyo kukurupuka na chemistry tu ndugu yangu.
 
Mkuu kuna kada inaitwa "pharmacists" hao ndiyo wenye maua yao.

Wakemia ni kama alivyokuwa jiwe ndiyo maana waluomsikiliza ni kama unavyoona:

View attachment 2868736

Dawa za binadamu ujue na receptors zake mwilini siyo kukurupuka na chemistry tu ndugu yangu.
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Daah na hii picha hapa..
Anachofanya mfamasia ile ni nini..?
 
Inasadikika kuwa dawa ilishatengenezwa kitambo.
Tatizo mradi wa ARV ni mkubwa na una faida kubwa mno kwa wahusika kuweza kukubali kirahisi kuponya malighafi yao ambayo ni wahanga wa HIV wanaotumia ARV.

Kila ukipiga kavu kumbuka unaingia rasmi kwenye takwimu ya kutajirisha wenye mradi wa ARV.
Hii hoja hua naona hai make sense kwasababu hata wakipata dawa bado si wataendelea kufanya biashara ya dawa maana si watu wataendelea kuambukizwa watahitaji dawa kwa ajili ya kupona kama ilivo malaria, amoeba, kaswende, uti nk.
 
Ni kweli wameshindwa kabisa kugundua dawa ya kutibu Ugonjwa wa Ukimwi au wana maslahi na ugonjwa huu?

Kwa miaka mingi tangu ugonjwa huu ulipogundulika kumekuwa na taarifa nyingi zenye utata kuhusu tiba yake,
mara tiba yake inafanyiwa uchunguzi na majaribio lakini hadi leo bado ni kizungumkuti,

Nb. Ugonjwa wenyewe ulivyotulia utadhani haupo, tuwe makini bandugu ukimwi ni hatari,
1.Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
2.Pima afya ili kujua hali yako
3.Epuka ngono zembe
4.Tumia kinga kila unapojamiiana.



Sambaza upendo, usisambaze ukimwi, stay safe always.
.
Ugonjwa umekaa sehemu mbaya
IMG_20240109_181356.jpg
 
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Daah na hii picha hapa..
Anachofanya mfamasia ile ni nini..?

Mkuu mfamasia anahusika na mengi kuhusu dawa:

1. Itajishikiza wapi (receptors)
2. Dozi (Half life --> dosage)
3. Ufanisi wake (efficacy)
4. Usalama wake (safety)
5. Matumizi yake pamoja madhara (Tolerability).
6. Nk nk.

Yapo makolokolo mengi.

Kila mtu na akashinde mechi zake.
 
Unakosea ukisema duniani kote.
Huko uraya na marekani mbona hawalalamiki kama huku?
Homa inayotumaliza mbona wao hawana? Hapa wanaotakiwa kulaumiwa ni wale wenzetu wanaokaa na wazungu,wanajua mbinu zinazotumika lakini hawajali
 
Mkuu mfamasia anahusika na mengi kuhusu dawa:

1. Itajishikiza wapi (receptors)
2. Dozi (Half life --> dosage)
3. Ufanisi wake (efficacy)
4. Usalama wake (safety)
5. Matumizi yake pamoja madhara (Tolerability).
6. Nk nk.

Yapo makolokolo mengi.

Kila mtu na akashinde mechi zake.
Mbona hua naona dawa zote zinaelekeza kupata ushauri wa chemist/physist sio pharmasist
 
Mbona hua naona dawa zote zinaelekeza kupata ushauri wa chemist/physist sio pharmasist

1. Kiingereza ni lugha yenye matumizi tofauti kimaongezi na kitaalamu.

2. Pharmacists wote ni chemists ila chemists wote siyo pharmacists.

3. Kumbuka physists wote siyo kuwa hutibu, bali wote wanaotibu ni physists.

4. Hapo #3 na #2 wafrika ni weusi lakini kuna weusi si waafrika.

5. Ndiyo maana mkemia jiwe aliwapata wengi na mapigo yake ya nyungu.
 
Kama unahisi dunia imetengeneza kila kitu basi kaa ujue ni 5% tu ya mambo ndio yametengenezwa...Dunia bado haina majibu ya maswali mengi sanaa Shape ya dunia tu bado ni Debate licha ya kuwa na Telescope,Satelitte za kutosha ila bado ni kizungumkuti kujua kama ni Flat or Sphere?

Kwenye Afya ndo kabisaa..Kuna magonjwa mengi sana hayana majibu sahihi isipokuwa yanatumia Hypothesis tu..Mfano Generation of Sensory hair Cell..Viral replication..Cancer pathology n.k

Ndugu mwandishi..Wanasayansi bado wanaumiza vichwa sanaa Pharmacologist,Pathologist,MD's bado wanaumiza vichwa sanaa Dunia bado ni changa hii Ukiweza kujihadhari jilinde na magonjwa sanaa
Shape ya dunia ni kizungumkuti kwako ,miaka 400 nyuma ilishajulikana kitaalamu watu wanawaza kwenda sayari nyingine sasa
 
Bado ni DEBATE kuna theory zinasema ni duara nyingine Flat nyingine Sphere nyingine Oval kila mtu na Lake dunia bado hii Technology bado changa sanaa.Ni kweli zimeanza zamani ila bado changa sanaa Tech za viwanda,Simu hazima hata miaka 50
Sio kweli dunia inaonekana vizuri kitaalamu tena sio dunia tu bali sayar zote ndani ya solar system na magimba mengine ya karibu
 
Ni kweli wameshindwa kabisa kugundua dawa ya kutibu Ugonjwa wa Ukimwi au wana maslahi na ugonjwa huu?

Kwa miaka mingi tangu ugonjwa huu ulipogundulika kumekuwa na taarifa nyingi zenye utata kuhusu tiba yake,
mara tiba yake inafanyiwa uchunguzi na majaribio lakini hadi leo bado ni kizungumkuti,

Nb. Ugonjwa wenyewe ulivyotulia utadhani haupo, tuwe makini bandugu ukimwi ni hatari,
1.Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
2.Pima afya ili kujua hali yako
3.Epuka ngono zembe
4.Tumia kinga kila unapojamiiana.



Sambaza upendo, usisambaze ukimwi, stay safe always.

Wewee wacha uoga. Ukimwi haupogo, wee umewahi kumuona mgonjwa wa ukimwi?
 
Inasadikika kuwa dawa ilishatengenezwa kitambo.
Tatizo mradi wa ARV ni mkubwa na una faida kubwa mno kwa wahusika kuweza kukubali kirahisi kuponya malighafi yao ambayo ni wahanga wa HIV wanaotumia ARV.

Kila ukipiga kavu kumbuka unaingia rasmi kwenye takwimu ya kutajirisha wenye mradi wa ARV.
Hadithi za kina Mathanzua hizi..
 
Ni kweli wameshindwa kabisa kugundua dawa ya kutibu Ugonjwa wa Ukimwi au wana maslahi na ugonjwa huu?

Kwa miaka mingi tangu ugonjwa huu ulipogundulika kumekuwa na taarifa nyingi zenye utata kuhusu tiba yake,
mara tiba yake inafanyiwa uchunguzi na majaribio lakini hadi leo bado ni kizungumkuti,

Nb. Ugonjwa wenyewe ulivyotulia utadhani haupo, tuwe makini bandugu ukimwi ni hatari,
1.Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
2.Pima afya ili kujua hali yako
3.Epuka ngono zembe
4.Tumia kinga kila unapojamiiana.



Sambaza upendo, usisambaze ukimwi, stay safe always.
Wewe tulia uhangaike huko upate ukimwi uje utusumbue tukutafutie tibaa😂😂😂😂
 
Kwa nini ziwe hadithi,tena za akina Mathanzua?Mimi niko hivi,I do not dispute anything unless I have proved that it is not correct.Do likewise,utajifunza ukweli mwingi na utakuwa mtu mwenye busara sana.
Kusema magonjwa kama COVID-19 au Ukimwi ni 'Scam' inatia hofum
 
Naamini kwenye Facts..Ili kitu kiwe Fact lazima kiwe na Prove So ukija na Fact yako kwamba "kitu hiki kinafanya kazi hivi na kiko hivi" Lazima U-prove..Kuna msemo wamasema wanatumia Anonymous 'Provide proof before people proves"(PPPP) So naamini nachokiona na Kusikia ila akili ya kuambiwa changanya na zako
Wewe bado una akili ya kushikiwa...
 
Back
Top Bottom