Hivi wakemia ulimwenguni kote wameshindwa kabisa kutengeneza dawa ya kutibu UKIMWI?

Hivi wakemia ulimwenguni kote wameshindwa kabisa kutengeneza dawa ya kutibu UKIMWI?

1. Kiingereza ni lugha yenye matumizi tofauti kimaongezi na kitaalamu.

2. Pharmacists wote ni chemists ila chemists wote siyo pharmacists.

3. Kumbuka physists wote siyo kuwa hutibu, bali wote wanaotibu ni physists.

4. Hapo #3 na #2 wafrika ni weusi lakini kuna weusi si waafrika.

5. Ndiyo maana mkemia jiwe aliwapata wengi na mapigo yake ya nyungu.
Kwani kwenye mifano yako lazima umshilikishe mzee ?

Hiyo nyungu ndo ilitusaidia Wananchi na baadhi ya hospital kubwa za Tanzania wakaanzisha huduma ya nyungu na matokeo yake yanajulikana.
 
Ni kweli wameshindwa kabisa kugundua dawa ya kutibu Ugonjwa wa Ukimwi au wana maslahi na ugonjwa huu?

Kwa miaka mingi tangu ugonjwa huu ulipogundulika kumekuwa na taarifa nyingi zenye utata kuhusu tiba yake,
mara tiba yake inafanyiwa uchunguzi na majaribio lakini hadi leo bado ni kizungumkuti,

Nb. Ugonjwa wenyewe ulivyotulia utadhani haupo, tuwe makini bandugu ukimwi ni hatari,
1.Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
2.Pima afya ili kujua hali yako
3.Epuka ngono zembe
4.Tumia kinga kila unapojamiiana.



Sambaza upendo, usisambaze ukimwi, stay safe always.
Huwezi kutengenezadawa ya ukimwi halafu wazungu wakakuacha Salama, kuna habari iliwahi kuripotiwa kwenye mitandao kuhusu mwafrika kutengeneza dawa kwakutumia matunda, lkn kabla hajaisambaza wakalamba kichwa chake, akatokea mwandishi aliyetaka kueleza ukweli kuhusu kifo cha huyo mwamba naye wakafyeka kichwa chake kabla hajatoa kitabu, wazungu ndio wako hivyo
 
Ni kweli wameshindwa kabisa kugundua dawa ya kutibu Ugonjwa wa Ukimwi au wana maslahi na ugonjwa huu?

Kwa miaka mingi tangu ugonjwa huu ulipogundulika kumekuwa na taarifa nyingi zenye utata kuhusu tiba yake,
mara tiba yake inafanyiwa uchunguzi na majaribio lakini hadi leo bado ni kizungumkuti,

Nb. Ugonjwa wenyewe ulivyotulia utadhani haupo, tuwe makini bandugu ukimwi ni hatari,
1.Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
2.Pima afya ili kujua hali yako
3.Epuka ngono zembe
4.Tumia kinga kila unapojamiiana.



Sambaza upendo, usisambaze ukimwi, stay safe always.

Nafikiri hapa kilichoshindikana sio kutengeneza dawa ya ukimwi bali kutengeneza dawa ya kuua virus bila kuacha madhara makubwa mwilini
Kimsingi magonjywa yote ya Virus hadi sasa hayana dawa, ya kuyatibu kwani dawa zilizogunduliwa hadi sasa zimeonesha kuwa na madhara mengine makubwa na ndio sababu husimamishwa....
Sitaki kuleta somo jipya hapa ila ujue Virus sio kiumbe hai japo unaweza kusema pia ni kiumbe hai (wanatabia nyingi zaidi kuwaida sio hai kuliko kusema wapo hai)....hivyo ni vigumu sana kupambana nao kwa tiba...
 
Ndugu mwandishi..Wanasayansi bado wanaumiza vichwa sanaa Pharmacologist,Pathologist,MD's bado wanaumiza vichwa sanaa Dunia bado ni changa hii Ukiweza kujihadhari jilinde na magonjwa sanaa

Ila sio scientists wa kwetu.

Hawa pharmacologist wetu ni kugawa dawa tu. Pathologists na MDs wetu ni kumeza vitini vya huko duniani..nadhani unaikumbuka covid ilivyowachoresha.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli wameshindwa kabisa kugundua dawa ya kutibu Ugonjwa wa Ukimwi au wana maslahi na ugonjwa huu?

Kwa miaka mingi tangu ugonjwa huu ulipogundulika kumekuwa na taarifa nyingi zenye utata kuhusu tiba yake,
mara tiba yake inafanyiwa uchunguzi na majaribio lakini hadi leo bado ni kizungumkuti,

Nb. Ugonjwa wenyewe ulivyotulia utadhani haupo, tuwe makini bandugu ukimwi ni hatari,
1.Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
2.Pima afya ili kujua hali yako
3.Epuka ngono zembe
4.Tumia kinga kila unapojamiiana.



Sambaza upendo, usisambaze ukimwi, stay safe always.
Achana na duniani, hapa Tanzania tunao maprofesa wa CCM wengi sana pamoja na aliyekwenda Madagaska kuchukua dawa ya mitisjamba.
 
Tatz tunapgwa changa sana,kwakifupi ukimwi co ugonjwa ni upungufu wa kinga kama vle upungufu wa nguvu za kiume,upungufu c ugonjwa ww hapo ukipungukiwa na dam mwilin huo co ugonjwa inatakiwa uongezew mchezo uisho,.. km unapokua na mapungufu ya nguv za kiume inamaana huitaj dawa ila kufuata mfumo sahihi wa maisha kuanzia mlo sahh ,kuepuka stress had mamb mengneyo km mazoez sana na kutokaa kzembe, kinga za mwl znapokua pungufu maana ake rud kwny mstar sahh wa mfumo wa maisha kinga zitarud, ARV hazirudish kinga,ndo maana pamoja na yote wanapokupa dawa watakwambia rud kwny mfumo sahh wamaisha yan ucle machemicals,kula mlo kamil,matunda, vyakula vya asil kwa wing,pga matiz kwasana,epuka stress cjui ucjamiiane bila ndom na blah blah nyng,ila pale kinachokusave kusavive ni kurud kwny mfum izo ARV n mchongo wa kupga pay na ndizo znazoua kinga ili uendelee kuwa tegemez kwao waendelee kukupga uku unasogeza day za kuded, na kingne kisichotawa san n stress,hii issue ishafanywa km global pandemic,so kuambiwa tu unayo,lazma
 
.... ukiambiwa tu unayo lazma upate stress, na hakuna k2 kbaya kinachoshusha kinga za mwil kama stress, hizi zinashusha kinga za mwil kuliko ata ukimwi wenyew,so unapojua unao ata km upo fresh unakula vzur matz kwasana ila stress lazma uwe nazo 2,utajiona dhaifu, upo tofaut na wengne, upo poa ila unaish na ugonjwa,ww ni muathirika,una hasira,machungu moyon na v2 ka izo zitashusha kinga zako mwish wacku imeisha, suluisho we fuata msing sahh wa maisha hkna ugonjwa unaoitwa ukimwi dunian ni km corona ilivyotaka kufanywa ikafeli bc ukimwi uliletwa ivy ivy km corona ukawin.. wake up people,dont be black zombies kufuata kila unachoambiwa bila kuhoji,walimuua dr.sebi kwa kuproove hii k2 ili waendelee kupga hela, ukimwi ushafanywa n ajira,ukimwi ni kipato ,watu wanatajirika kisa ukimwi wkt wengne wanakufa, magonjwa mengi tunatengenezewa ,sector ya afya dunian ishageuzwa opportunity.. jambo la msingi sio rudi kwny msingi sahh wa maisha,kuna v2 tunavzarau au hatuambiw makusud ili tuzid kua fursa,mfano mdogo moja kati y
 
...mfan mdog n jua la asubuhi(lile linalochomoza) wanasema sunrise na lile la jion(linalozama)sunset..hiki n moja kat ya k2 knachorudisha sn kinga ya mwili.. kila cku ktk maisha yako inatakiwa uamke asbh ulione jua linavyochomoza then upgwe na ule mwanga wake na jion ivyo ivyo ..hii kitu inahusiana sana na kinga za mwili.. lakin wapi umewahi kuambiwa au kuckia..sana utaambiwa jua la asbh cjui vtamin cjui nn ila hapa kuna cri kubwa jaribu kuchunguza na kufuatilia mwenyw nimekupa mwongozo.tatzo tumeshatolewa kwenye reli ktambo sana, bob marley aliwahi sema ,dunia tunayoish leo "truth is an offence" .tunaish kwa uongo sana, dunia ya burger na cocacola ya 15000 ni bora,na ndio ustaarabu,ujanja,umjin,uleo,umagharibi,utajiri =KIFO (Kuua kinga) kuliko boga la 1500 na dafu ambao ni ushamba, umasikin,hali ya chin dun,ukijijin,ulugaluga= UHAI (Kuimarisha kinga).. AMKENI
 
Back
Top Bottom