Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Huyo wa ku prove hiko kitu ni wewe au unategemea mtu mwingine..?Naamini kwenye Facts..Ili kitu kiwe Fact lazima kiwe na Prove So ukija na Fact yako kwamba "kitu hiki kinafanya kazi hivi na kiko hivi" Lazima U-prove..Kuna msemo wamasema wanatumia Anonymous 'Provide proof before people proves"(PPPP) So naamini nachokiona na Kusikia ila akili ya kuambiwa changanya na zako
Na nani sasa ..?
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌Mkuu kuna kada inaitwa "pharmacists" hao ndiyo wenye maua yao.
Wakemia ni kama alivyokuwa jiwe ndiyo maana waluomsikiliza ni kama unavyoona:
View attachment 2868736
Dawa za binadamu ujue na receptors zake mwilini siyo kukurupuka na chemistry tu ndugu yangu.
Hii hoja hua naona hai make sense kwasababu hata wakipata dawa bado si wataendelea kufanya biashara ya dawa maana si watu wataendelea kuambukizwa watahitaji dawa kwa ajili ya kupona kama ilivo malaria, amoeba, kaswende, uti nk.Inasadikika kuwa dawa ilishatengenezwa kitambo.
Tatizo mradi wa ARV ni mkubwa na una faida kubwa mno kwa wahusika kuweza kukubali kirahisi kuponya malighafi yao ambayo ni wahanga wa HIV wanaotumia ARV.
Kila ukipiga kavu kumbuka unaingia rasmi kwenye takwimu ya kutajirisha wenye mradi wa ARV.
.Ni kweli wameshindwa kabisa kugundua dawa ya kutibu Ugonjwa wa Ukimwi au wana maslahi na ugonjwa huu?
Kwa miaka mingi tangu ugonjwa huu ulipogundulika kumekuwa na taarifa nyingi zenye utata kuhusu tiba yake,
mara tiba yake inafanyiwa uchunguzi na majaribio lakini hadi leo bado ni kizungumkuti,
Nb. Ugonjwa wenyewe ulivyotulia utadhani haupo, tuwe makini bandugu ukimwi ni hatari,
1.Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
2.Pima afya ili kujua hali yako
3.Epuka ngono zembe
4.Tumia kinga kila unapojamiiana.
Sambaza upendo, usisambaze ukimwi, stay safe always.
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Daah na hii picha hapa..
Anachofanya mfamasia ile ni nini..?
Mbona hua naona dawa zote zinaelekeza kupata ushauri wa chemist/physist sio pharmasistMkuu mfamasia anahusika na mengi kuhusu dawa:
1. Itajishikiza wapi (receptors)
2. Dozi (Half life --> dosage)
3. Ufanisi wake (efficacy)
4. Usalama wake (safety)
5. Matumizi yake pamoja madhara (Tolerability).
6. Nk nk.
Yapo makolokolo mengi.
Kila mtu na akashinde mechi zake.
Mbona hua naona dawa zote zinaelekeza kupata ushauri wa chemist/physist sio pharmasist
Shape ya dunia ni kizungumkuti kwako ,miaka 400 nyuma ilishajulikana kitaalamu watu wanawaza kwenda sayari nyingine sasaKama unahisi dunia imetengeneza kila kitu basi kaa ujue ni 5% tu ya mambo ndio yametengenezwa...Dunia bado haina majibu ya maswali mengi sanaa Shape ya dunia tu bado ni Debate licha ya kuwa na Telescope,Satelitte za kutosha ila bado ni kizungumkuti kujua kama ni Flat or Sphere?
Kwenye Afya ndo kabisaa..Kuna magonjwa mengi sana hayana majibu sahihi isipokuwa yanatumia Hypothesis tu..Mfano Generation of Sensory hair Cell..Viral replication..Cancer pathology n.k
Ndugu mwandishi..Wanasayansi bado wanaumiza vichwa sanaa Pharmacologist,Pathologist,MD's bado wanaumiza vichwa sanaa Dunia bado ni changa hii Ukiweza kujihadhari jilinde na magonjwa sanaa
Sio kweli dunia inaonekana vizuri kitaalamu tena sio dunia tu bali sayar zote ndani ya solar system na magimba mengine ya karibuBado ni DEBATE kuna theory zinasema ni duara nyingine Flat nyingine Sphere nyingine Oval kila mtu na Lake dunia bado hii Technology bado changa sanaa.Ni kweli zimeanza zamani ila bado changa sanaa Tech za viwanda,Simu hazima hata miaka 50
Ni kweli wameshindwa kabisa kugundua dawa ya kutibu Ugonjwa wa Ukimwi au wana maslahi na ugonjwa huu?
Kwa miaka mingi tangu ugonjwa huu ulipogundulika kumekuwa na taarifa nyingi zenye utata kuhusu tiba yake,
mara tiba yake inafanyiwa uchunguzi na majaribio lakini hadi leo bado ni kizungumkuti,
Nb. Ugonjwa wenyewe ulivyotulia utadhani haupo, tuwe makini bandugu ukimwi ni hatari,
1.Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
2.Pima afya ili kujua hali yako
3.Epuka ngono zembe
4.Tumia kinga kila unapojamiiana.
Sambaza upendo, usisambaze ukimwi, stay safe always.
Co dawa ni chanjoSasa hayo magonjwa mengine ya virusi kama tetekuwanga mbona yana dawa...
Hadithi za kina Mathanzua hizi..Inasadikika kuwa dawa ilishatengenezwa kitambo.
Tatizo mradi wa ARV ni mkubwa na una faida kubwa mno kwa wahusika kuweza kukubali kirahisi kuponya malighafi yao ambayo ni wahanga wa HIV wanaotumia ARV.
Kila ukipiga kavu kumbuka unaingia rasmi kwenye takwimu ya kutajirisha wenye mradi wa ARV.
Wewe tulia uhangaike huko upate ukimwi uje utusumbue tukutafutie tibaa😂😂😂😂Ni kweli wameshindwa kabisa kugundua dawa ya kutibu Ugonjwa wa Ukimwi au wana maslahi na ugonjwa huu?
Kwa miaka mingi tangu ugonjwa huu ulipogundulika kumekuwa na taarifa nyingi zenye utata kuhusu tiba yake,
mara tiba yake inafanyiwa uchunguzi na majaribio lakini hadi leo bado ni kizungumkuti,
Nb. Ugonjwa wenyewe ulivyotulia utadhani haupo, tuwe makini bandugu ukimwi ni hatari,
1.Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
2.Pima afya ili kujua hali yako
3.Epuka ngono zembe
4.Tumia kinga kila unapojamiiana.
Sambaza upendo, usisambaze ukimwi, stay safe always.
Kusema magonjwa kama COVID-19 au Ukimwi ni 'Scam' inatia hofumKwa nini ziwe hadithi,tena za akina Mathanzua?Mimi niko hivi,I do not dispute anything unless I have proved that it is not correct.Do likewise,utajifunza ukweli mwingi na utakuwa mtu mwenye busara sana.
Wewe bado una akili ya kushikiwa...Naamini kwenye Facts..Ili kitu kiwe Fact lazima kiwe na Prove So ukija na Fact yako kwamba "kitu hiki kinafanya kazi hivi na kiko hivi" Lazima U-prove..Kuna msemo wamasema wanatumia Anonymous 'Provide proof before people proves"(PPPP) So naamini nachokiona na Kusikia ila akili ya kuambiwa changanya na zako
Wanaodai dunia ni flat ni vichwa panzi kabisaDebate licha ya kuwa na Telescope,Satelitte za kutosha ila bado ni kizungumkuti kujua kama ni Flat or Sphere?