Hivi wakinadada hii ni kama asili yenu?

unaonekana unaangalia sn tamthiliya za mapenzi ya kifilipino. unalalamika vocha? wenzio tunagharamia mpaka za ada za wadogo zao na bado tunajitamba tunapendwa,,,,,,, we vipi? Kampende mbuzi gharama yake kumlisha nyasi tu tena za bure

hahahah labda kijijini sitimbi huko ndio nyasi za bure mjini hapa zinauzwa
 
Najua mnapenda kuhongwa lakini siyo kila mwanaume anaweza kuhonga, umepewa bure toa bure

Ndiyo ni bure lakini maintainance yake ndiyo expensive inatocost.... some of shaving, washing it inahitaji sabuni na maji masafi..... hapo akijaumwa , ujakichubua aiii embu mtuhonge tufanyie matunzo loh
 
Tatizo sio vocha bali ni tabia zao za kuweka maslahi ya fweza mbele kuliko kitu chochote,mwanamke sio mtu wakulegezea hata kidogo ! Unaweza kuwa ndo kwanza umetoka jela lakin anakuambia vp baby umeniletea zawadi gani honey? Sasa ni akili hizi?Lazma tushtuke kuanzia kwenye vitu vidogovidogo ili tuwadhibiti wasiombe vikubwa!Teh!
 
Vingine tunavigharamia but bado vinanuka utadhani panya kafwia ndani lol! Nibora mtupege tu bila malipo ili tupate morali ya kuvumiliana!
Ndiyo ni bure lakini maintainance yake ndiyo expensive inatocost.... some of shaving, washing it inahitaji sabuni na maji masafi..... hapo akijaumwa , ujakichubua aiii embu mtuhonge tufanyie matunzo loh
 
Wewe ni mchoyo kuwa na mtu kama wewe ni mtihani halafu mwanaume kamili anajifeel proud kumhudumia mwanamke wake.Sasa wewe ni janga vocha tuu ya 2000 umelalamika mpaka umechefua:angry:
 
. hiyo nikiwaida kwa dada zetu kuomba vocha kama ukimpa vocha anaitumia kwa ajili yako basi ni halali...
usilalamike sana je ukiobwa laki 3 ya saluni si ndio utamkimbia kabisa.

teh teh teh teh teh
 
Mkuu mtoto wa kike anaishi kwao sasa vocha yenyewe unakuta ni bando ya buku,leo amwombe baba,kesho mama ili tu awasiliane na wewe,halafu na wewe unamind mbona hunitafuti si itakuwa uwehu.

Kwani mleta mada yeye amesema haishi kwa baba na mama yake? ina maana msichana kuishi kwao ndio iwe tiketi ya kutembeza bakuri kwa mwanaume? sikatai kusaidiwa au kuomba lakini isiwe kumfanya kama babake.
 
Mkuu mbona unatutia aibu wanaume wenzako.........
yaani kuombwa jero (500) tu ndio mpaka umekuja kuanzisha thread...
ujue kuwa kuhonga ni Asili ya mwanaume....
jiangalieee...

Wewe utakuwa msukuma, mwanaume asiyejiamini na anayejijua hapendwi ndiye anayehonga. Mimi hayo siyafanyi kwa mwanamke ambaye sijamuoa, siwezi kumgharamia mtu mapesa kama sina hati miliki naye, labda tu kama nimezaa naye mtoto vinginevyo akamuombe babake.
Cc: miss chagga.
 
Last edited by a moderator:
Sema huna hela, watu wanahonga magari, nyumba nk. Na wala wewe humpendi, achana nae mapema

Hao unaosema wanahonga unafikiri vinaenda jumla jumla? angalia mastaa wa bongo movie wanavyohongwa magari uone wanakaa nayo kwa muda gani, hakuna mwanaume anayeweza kuhonga halafu akuachie mali yake jumla jumla. Acheni kuwajengea mtazamo hasi wadada kwani ndio unafanya waendelee kunyanyaswa na wanaume kwa sababu ya utegemezi.
 

Sasa vosha ya buku au jero ndo mtu alalamike jf? Hampendi mpenzi wake huyo
 
Watu hamjauliza wastani wa kipato cha mleta mada? malengo yao ya mbeleni na mahitaji binafsi ya kila mmoja wao.
Mimi nasema hivi kumnunulia mpenzi wako vocha, perfume au hata nguo ya sherehe si vibaya, lakini mwanaume asifanye uchoyo na mwanamke asiwe mtu wa kutoa shida tu.
Mwanzo wa mahusiano ni lazima ufanye challenge kujua kama mtu anakupenda kwa kuwa unamhudumia pesa au kuna lingine? kama unaweza kumnunulia mwanamke vocha ya sh. 10,000 kama ishara ya kumpenda, vp mwanaume mwingne akimpa 100,000?
 
Sasa vosha ya buku au jero ndo mtu alalamike jf? Hampendi mpenzi wake huyo

Mkuu huenda mleta mada ni kijana anayeishi na wazazi wake pengine pia ni mwanafunzi, unajuaje kama hiyo 500, 1000 au 2000 anaweza kuimudu? labda ungemuuliza kama bado ni mtoto wa nyumbani aachane na mapenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…