unaonekana unaangalia sn tamthiliya za mapenzi ya kifilipino. unalalamika vocha? wenzio tunagharamia mpaka za ada za wadogo zao na bado tunajitamba tunapendwa,,,,,,, we vipi? Kampende mbuzi gharama yake kumlisha nyasi tu tena za bure
Najua mnapenda kuhongwa lakini siyo kila mwanaume anaweza kuhonga, umepewa bure toa bure
Ndiyo ni bure lakini maintainance yake ndiyo expensive inatocost.... some of shaving, washing it inahitaji sabuni na maji masafi..... hapo akijaumwa , ujakichubua aiii embu mtuhonge tufanyie matunzo loh
Yaani mkuu huyu sio mbahili ni MCHOYO Kuwa na mwanamke wa hivi au mwanaume wa hivi ni jangaWewe ni bahili adi vocha unalalama.
wewe ni mmoja wao?Najua mnapenda kuhongwa lakini siyo kila mwanaume anaweza kuhonga, umepewa bure toa bure
Moyo wako ndiyo soko kijana
Kama hafanyi kazi na yupo kwao unataka amwombe baba yake hela ya vocha?
Pisha watu kama huwezi kumpa hata vocha,vocha huwa mi siombwi ni wajibu kila kukicha
Mioyo ya kusaidiana... mwanaume toa pesa upewe papuchi
Aseeeeeh
Huu Utoto sasa......
Mkuu mtoto wa kike anaishi kwao sasa vocha yenyewe unakuta ni bando ya buku,leo amwombe baba,kesho mama ili tu awasiliane na wewe,halafu na wewe unamind mbona hunitafuti si itakuwa uwehu.
Mkuu mbona unatutia aibu wanaume wenzako.........
yaani kuombwa jero (500) tu ndio mpaka umekuja kuanzisha thread...
ujue kuwa kuhonga ni Asili ya mwanaume....
jiangalieee...
Sema huna hela, watu wanahonga magari, nyumba nk. Na wala wewe humpendi, achana nae mapema
Hao unaosema wanahonga unafikiri vinaenda jumla jumla? angalia mastaa wa bongo movie wanavyohongwa magari uone wanakaa nayo kwa muda gani, hakuna mwanaume anayeweza kuhonga halafu akuachie mali yake jumla jumla. Acheni kuwajengea mtazamo hasi wadada kwani ndio unafanya waendelee kunyanyaswa na wanaume kwa sababu ya utegemezi.
Sasa vosha ya buku au jero ndo mtu alalamike jf? Hampendi mpenzi wake huyo