Kwa nin?Mwanao au Dada yako akikuletea mchumba wa kikurya muambie Bora asiolewe.
Mara Mia Bora aolewe na muhaya
Sio kweli3/4 ya wakurya wana ukoloni sana(wababa) wanadidimiza sana haki za wanawake so kwao ni viumbe dhaifu mno
Familia nyingi za wakurya baba ni zaid ya gaid yaan huwez kukuta amecheka au ametabasam
Muda wote baba ni mtu serious sana yaan hamuwez hata kukaa nae sebulen kuangalia tv
Watoto wakisiikia baba karud hao kulala
Ukweli namshukuru Mungu kuzaliwa familia ya dini na iliyoelimika imenisaidia sana kutokuwa na element za kikurya
My dad is the best ukitukuta tunataniana hutaamin ni wakurya
But famiilia nyingi nilizotembelea aisee ni worse mpk najiuliza hawa hata unyumba wanapeanaje? Wanaombanaje?
Nakazia ✍️✍️✍️Kwanza
1.Usiolewe kama unajijua una kaumalaya ndani yako
-atakufanya vibaya sana akijua maana uwaga wana penda sana na wivu mmbaya.
2.Usiolewe kama unajua una kaasili ka dharau
-Usithubutu mkurya uwaga adharauliwi na mwanamke,Kamwe.Atakuvunja kiuno.
3.Usiolewe km ni mkurya wa ndani ndani hajawahi kukaa mjini
4.usiolewe km hajasoma kabisaaaaaaa
Mkurya ana moyo wa kupenda mke wake ILA ni huo huo upendo ndo utaku cost ukimletea ujinga.
Kuna mkurya kamuoa mchaga aisee yule dada anapigwa balaa hata akiwa mjamzito had anapoteza fahamu.Hafu wakurya hawapigi wanawake wa makabila mengine acha kudanganywa
Na mkurya akipiga mwanamke wewe tulia tu usijibu lkn unapigwa Na wewe unajibu atakuuaKwetu wakurya ni tatizo na inaenda genetic kama baba alioa mke zaid ya mmoja hata kijana atakuja kufanya ivyo
Nimesikia kwamba, hawajuagi kuacha mwanamke... Wakioa wameoaaaaa
Kuna mkurya kamuoa mchaga aisee yule dada anapigwa balaa hata akiwa mjamzito had anapoteza fahamu.
Kwani wakristo wamekatazwa kuwa na wake wengi?Hao kuchepuka ni kama vile ruksa [emoji108]
Na kesi ya hivyo utanpelekea nani wakati bana mkwe ana wake wengi?
Halafu ni Wakristo Eti!
Alafu Sisi ni wapambanaji Sana, kwenye maisha.MnatuKandia sana wakurya aiseeh
Zama zimebadilikaa
Kwani wakristo wamekatazwa kuwa na wake wengi?