Hiyo mashindano ya kusoma Quran imeandikwa kwenye Quran?
Muziki sio haramu, Ila Inategemea na ain ya Muziki unaotumika.
Ndio maana kuna Kawaida, au hujui kaswida pia ni nyimbo/muziki?
Hakuna sherehe pasipo Nyimbo, muziki, vinywaji na chakula. Hakunaga sherehe ya hivyo.
Kuhusu chakula Hilo lipo wazi, Waislam sheria zinawaongoza vyakula vya kutumia.
Sikukuu si wanapika Pilau, wali, nyama, nqvyakula vingine vinavyoruhusiwa.
Hiyo kucheza michezo yenye Afya imeandikwa kwenye Quran, nani michezo gani hiyo?
Kumbuka kwenye dini yoyote Ile kuna mambo yaliyoagizwa na Mungu ambayo ndio yamsingi lakini pia kuna mambo ya kibinadamu.