Hivi wale Waislam wa kipindi kile walipotelea wapi?

Hivi wale Waislam wa kipindi kile walipotelea wapi?

Hiyo mashindano ya kusoma Quran imeandikwa kwenye Quran?

Muziki sio haramu, Ila Inategemea na ain ya Muziki unaotumika.
Ndio maana kuna Kawaida, au hujui kaswida pia ni nyimbo/muziki?

Hakuna sherehe pasipo Nyimbo, muziki, vinywaji na chakula. Hakunaga sherehe ya hivyo.

Kuhusu chakula Hilo lipo wazi, Waislam sheria zinawaongoza vyakula vya kutumia.
Sikukuu si wanapika Pilau, wali, nyama, nqvyakula vingine vinavyoruhusiwa.

Hiyo kucheza michezo yenye Afya imeandikwa kwenye Quran, nani michezo gani hiyo?

Kumbuka kwenye dini yoyote Ile kuna mambo yaliyoagizwa na Mungu ambayo ndio yamsingi lakini pia kuna mambo ya kibinadamu.
eti muziki sio haramu, hiyo kwa imaani yako, usilazimishe na wengine waamini hivyo period!
 
Nyimbo/muziki katika uislam ni Haram kabisa.
Waislam wanasherehekea kwa kula na kunywa vilivyo halali na kushiriki mashindano mbali mbali Kama kusoma Quran na kucheza michezo mbali mbali ya kujenga afya ambayo ipo katika maadili sahihi ya ubinadam ambayo hailazimishi kuwa uchi ili ushiriki
Michezo gani unayozungumzia mkuu?
Au ndo hii judo na karet?
 
Back
Top Bottom