Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani nimesema uongo?Povuuu
Uislamu hautufundishi kuwapenda makafiri mna nyie kma mumemkufuru Mungu alowaumba basi hmna mtakaempenda hta mmojaUpendo huo ulikuja kuondolewa na wazee wa vipedo
Hawa walikuja na teknolojia nyingine kwanza ,walikuwa wanapingwa sana na wenzao ambao walikuwa wanatuheshimu,kushirikiana na kutupenda sisi manaswara
Walikuwa vikundi vidogo sana enzi hizo na walikuwa wanaitwa ( wazushi) neno la kiarabu silisemi, na ili kuwachota wale wenye msimamo wa wastani walikuwa wanapokea misaana mingi kwa waajemi fulani ambao walikuwa wanatembea kwa miguu vijijini
Gafla wakaanza kuongezeka, mtifuano ulikuwa siku ya kufungua wao wanawahi bakora zilirindima
Basi ,ndio hao wamekuja na mafundisho yao yaliyoondoa ule wema, wa wale wa zamani , wapo waliojiingiza kwenye vyama tofauti ijapokuwa hawaamini katu katu mfumo wa sheria za kidunia, mambo mengi muda mdogo
@Flano kakae chini usome dini yako usipende kufuata ushabikiHawa ni watu wa fitna fitna tu, wapo tayari kugeuza maana ya aya ili kushinikiza matakwa ya nafsi zao.
Uzuri wenyewe siku hizi fitna zao zinawageukia wenyewe, kila siku mashehe wao wa kisalafi wanarumbana, wanakashifiana, wanatukanana, wanadharauliana wenyewe kwa wenyewe.
Halafu alhamdulillah kwa sisi wanaotuita watu wa bid'aa amani imetawala.
Kwa tafsiri ya haraka haraka, sunnah ni mambo ya kipuuzi aliyofanya mtume Muhammad nje ya Qur'an, kwahiyo wakaona kila alichokifanya kisiwe dhambi.Sunnah ni mwenendo,kwa muktadha wa dini ni aliyotenda mtume ambayo hayamo kwenye Qur'an,wenyewe wahabi(answar Sunnah) ukiwaambia Sunnah ni ukifanya unapata thawabu ukiacha hipati dhambi mtagombana,sababu kuvaa dontach kwao ni Sunnah na kutovaa ni ukafiri
Umekurupuka Sana!!Kwa tafsiri ya haraka haraka, sunnah ni mambo ya kipuuzi aliyofanya mtume Muhammad nje ya Qur'an, kwahiyo wakaona kila alichokifanya kisiwe dhambi.
Hao wanaobaka watoto ndiyo mitume walioleta Dini ambao ndiyo muongozo wa Maisha?Enyi makafiri hamuyaoni hyo yanotendeka huko makanisani kwenu ya kuwalawiti vijitoto kutoka kwa hao walokuleteeni dini? Bora yule aliyeoa kuliko kuvilawiti vijitoto
hlf usilolijua ni kua miili ya waarabu ni tofauti na huku kwetu wao wanakua haraka mno sasa ww unachokishabikia sijui nn
karekebisheni huko makanisani kwenu kwanza
Aah kumbe hadith Za waislam Ni hekaya Za abunuwas?Hakuna aliyetoa binti wa miaka 9,ni hekaya za abuu nuwaisi
Hao watemi walikuwa Na Mungu wa Kuwaambia Kuwa wanchofanya wanakosea? Kuoa mtoto hajapevuka kiakili kimaamuzi inakuwa kama unabaka?ndio unaoa hata wa miaka 5 uliza watemi waliokuwa wanatawala tanzania zamani walikuwa wanaoa watoto wadogo sana. na ukumbuke zamani kulikuwa hakuna dawati la kijinsia hizi sheria za kufika miaka 18 zimetungwa majuzi juzi na wazungu ila kabla ya hapo watu walikuwa wanaoa watoto wadogo sana wanaishi nao
M nitakuletea facts safi sana tuone wanobaka watoto ni akina naniHao wanaobaka watoto ndiyo mitume walioleta Dini ambao ndiyo muongozo wa Maisha?
Umekurupuka Sana!!Kwa tafsiri ya haraka haraka, sunnah ni mambo ya kipuuzi aliyofanya mtume Muhammad nje ya Qur'an, kwahiyo wakaona kila alichokifanya kisiwe dhambi.
Hakuna Hadith inayosema mtume alioa binti wa miaka 9,ni historia Kama ya Uhuru wa Tanganyika na nyerereAah kumbe hadith Za waislam Ni hekaya Za abunuwas?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waislamu wa leo wanakamua hadi kitimoto na biere, mambo yaamebadilika bwashee!
We utakuwa mshia au ?Sunnah ya mtume ni Qur'an,siyo blaahblaah za Abu hurayra za kuitwa hadithi
Shia na Sunni inatokana na siasa,muawiya na aliy walikua wanagombea madaraka,hakuna zaidiWe utakuwa mshia au ?
ww kma sio mshia basi sio muislamu kabisaaaSunnah ya mtume ni Qur'an,siyo blaahblaah za Abu hurayra za kuitwa hadithi
Ndiyo ulivyodanganywa hivyo!?...niiamini Qur'an uniambie siyo muislam kisa hadithi ambazo Shia,sunni nk kila mmoja ana wapokezi wake!!!...kwanza hadithi Mara nyingi zinakinzana na Qur'an na kuleta kitu ambacho Qur'an haijasemaww kma sio mshia basi sio muislamu kabisaaa
kma unakataa hadith za Mtume ww sio muislamu ilo ulitambue