Hivi wale Waislam wa kipindi kile walipotelea wapi?

Hivi wale Waislam wa kipindi kile walipotelea wapi?

Sunnah ni mwenendo,kwa muktadha wa dini ni aliyotenda mtume ambayo hayamo kwenye Qur'an,wenyewe wahabi(answar Sunnah) ukiwaambia Sunnah ni ukifanya unapata thawabu ukiacha hipati dhambi mtagombana,sababu kuvaa dontach kwao ni Sunnah na kutovaa ni ukafiri
Punguza kujieleza sana
 
wewe umeomba aya umepewa isome na tafsiri yake ipo hapo. nyinyi watoto mliozaliwa wakati wa coronna mnashida sana
Aya imetaja miluzi na kupiga makofi yeye anasema muziki!!!...anamzulia Allah uwongo!!?...anamlisha maneno?...tangu lini mluzi na makofi ikawa muziki!!!?
 
Dunia imebadilika sana mkuu hahhaahhaha
Mafundisho ya dini nayo vilevile
Nalog off
 
Mzee aliyestaarabika anaweza kuoa kabinti ka miaka 9?
Enyi makafiri hamuyaoni hyo yanotendeka huko makanisani kwenu ya kuwalawiti vijitoto kutoka kwa hao walokuleteeni dini? Bora yule aliyeoa kuliko kuvilawiti vijitoto

hlf usilolijua ni kua miili ya waarabu ni tofauti na huku kwetu wao wanakua haraka mno sasa ww unachokishabikia sijui nn
karekebisheni huko makanisani kwenu kwanza
 
Enyi makafiri hamuyaoni hyo yanotendeka huko makanisani kwenu ya kuwalawiti vijitoto kutoka kwa hao walokuleteeni dini? Bora yule aliyeoa kuliko kuvilawiti vijitoto

hlf usilolijua ni kua miili ya waarabu ni tofauti na huku kwetu wao wanakua haraka mno sasa ww unachokishabikia sijui nn
karekebisheni huko makanisani kwenu kwanza

Povuuu
 
Imepokelewa kwa Ibn Masoud (Radwiya Allahu 'anhu) kwamba mtume Muhhamad (SAW) Amesema: Atakayesoma herufi moja katika kitabu Cha Allah atapata hasanah (jema) moja, na kila hasanah moja ni sawa na thawabu kumi, Wala sisemi 'Alif-laam-miym' ni herufi moja, bali Alif ni herufi moja na laam ni herufi moja na miym ni herufi moja.
Rawahu Tirimidhiy

Suratul maida aya ya 48
Basi shindaneni katika mema, kwa mwenyezi Mungu ndiyo marejeo yenu nyote.

Muongozo wa uislam ni Quran na Sunnah
Mtume ﷺ alishawahi kuwaita maswahaba zake halafu akawafanyisha mashindano ya kuhifadhi Quran kisha mshindi akapewa zawadi?
Tatizo mafundisho mengi sana ya sasa yamefanyiwa utundu na ma Orientalist.
Kilichobaki kila kukicha ni waislamu wenyewe kwa wenyewe kunyoosheana vidole na kukufurishana.
 
Swali zuri kwanza inatakiwa ujue kuwa waislam wote duniani hakuna anaweza kupinga juu ya uharam wa muziki maana imekatazwa katika sehem nyingi sana

Mfano kwenye quran suratul Al anfaal aya ya 35

وَمَا كَانَ صَلَاتُهُمْ عِندَ ٱلْبَيْتِ إِلَّا مُكَآءًۭ وَتَصْدِيَةًۭ ۚ فَذُوقُواْ ٱلْعَذَابَ بِمَا كُنتُمْ تَكْفُرُونَ ﴿٣٥﴾

Na haikuwa ibada yao kwenye hiyo Nyumba ila ni kupiga mziki na makofi. Basi onjeni adhabu kwa vile mlivyo kuwa mkikufuru.
Hii aya inaelezea ibada za manasara wala haijaharamisha nyimbo.
Kama una aya yoyote inayosema nyimbo ni haramu iweke hapa.
 
tuliisha wape elimu tosha kutoka kwa waislamu wanaojielewa salafi. kuwa haitakiwi kubeba mabendera na maandamano katika uislamu hii hakuna naona wameelewa. bado sisi waislam salafi tunazidi kuwapa elimu waislamu bakwata waache kupiga madufu hiyo sio dini na kusoma maulidi hiyo sio dini waache. na nyinyi TV zote msifikiri kutuletea watoto wa madrasa wanaimba nakupiga dufu huku wakicheza kwenye ma tv mkafikiri kwa waislamu ni ibada hapana sio ibada ni kumkufuru mungu sisi hatuna hiyo hao ni waislamu wa madhehebu ya bakwata
Nyie mnaojiita masalafi si ndio nyinyi wenyewe kwa wenyewe kazi zenu kupigana majungu kwenye mimbar za misikiti?
Na jinsi mlivyokua ni fitna katika umma mlianza kuwagawa waislamu wa madhehebu nyingine ila sasa hivi nyinyi wenyewe mmegawanyika mapote kwa mapote ya kisalafi, kazi zenu ni kukashifiana, kutukanana, kuvunjiana heshima na kudharauliana wenyewe kwa wenyewe.
Zindukeni huo usalafi wenu umeratibiwa na Mayahudi ili muwatumikie na kuudhoofisha uislamu.
 
Aya imetaja miluzi na kupiga makofi yeye anasema muziki!!!...anamzulia Allah uwongo!!?...anamlisha maneno?...tangu lini mluzi na makofi ikawa muziki!!!?
Hawa ni watu wa fitna fitna tu, wapo tayari kugeuza maana ya aya ili kushinikiza matakwa ya nafsi zao.
Uzuri wenyewe siku hizi fitna zao zinawageukia wenyewe, kila siku mashehe wao wa kisalafi wanarumbana, wanakashifiana, wanatukanana, wanadharauliana wenyewe kwa wenyewe.
Halafu alhamdulillah kwa sisi wanaotuita watu wa bid'aa amani imetawala.
 
Sio Hvo ila uislam na maswala kama Yao yanamiongozo yake, hawakua wanafata utaratb , in deep kasome dini utajua nachomaansha
Kwa hiyo kumbe Wale ndio waliokuwa wanakosea Mkuu?

Kwamba uislam wa sasa ni Bora kuliko wa Kale?
 
ndio unaoa hata wa miaka 5 uliza watemi waliokuwa wanatawala tanzania zamani walikuwa wanaoa watoto wadogo sana. na ukumbuke zamani kulikuwa hakuna dawati la kijinsia hizi sheria za kufika miaka 18 zimetungwa majuzi juzi na wazungu ila kabla ya hapo watu walikuwa wanaoa watoto wadogo sana wanaishi nao
Hapa umepigilia msumari wa utosi asipoelewa basi
 
Back
Top Bottom