NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Mkuu umenikumbusha mbali Sana!!nilikua naamka na jamaa zangu FULANI wa madrasa usiku kuamsha watu kula daku tukipiga madufu yale!!!ilikuwa raha Sana AISEH!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee aliyestaarabika anaweza kuoa kabinti ka miaka 9?Ukitaka kustaarabika soma Quran na Sunnah za mtume huko ndo ulipo uislam halisi
SwadaktaElimu haikufikishwa kwa usahihi Kuna mambo yaliongezwa ili kuuharibu uislam halisi kutembea na kupiga ngoma kwenye majumba ya watu usiku hayo siyo mafundisho ya uislam
Uislam mafundisho yake yamejaa ustaarabu na aman
Ukitaka kustaarabika soma Quran na Sunnah za mtume huko ndo ulipo uislam halisi
Imepokelewa kwa Ibn Masoud (Radwiya Allahu 'anhu) kwamba mtume Muhhamad (SAW) Amesema: Atakayesoma herufi moja katika kitabu Cha Allah atapata hasanah (jema) moja, na kila hasanah moja ni sawa na thawabu kumi, Wala sisemi 'Alif-laam-miym' ni herufi moja, bali Alif ni herufi moja na laam ni herufi moja na miym ni herufi moja.Ndio maana nikasema nipe Aya basi inayosema kuwe na mashindano ya Quran Kama uislam hauna hisia na maoni ya watu.
Nasubiri Aya MKUU
Sunnah ya mtume ni Qur'an,siyo blaahblaah za Abu hurayra za kuitwa hadithiElimu haikufikishwa kwa usahihi Kuna mambo yaliongezwa ili kuuharibu uislam halisi kutembea na kupiga ngoma kwenye majumba ya watu usiku hayo siyo mafundisho ya uislam
Uislam mafundisho yake yamejaa ustaarabu na aman
Ukitaka kustaarabika soma Quran na Sunnah za mtume huko ndo ulipo uislam halisi
Ibn masoud ndiyo Nani!!!?..huo ndiyo upotofu wenyeweImepokelewa kwa Ibn Masoud (Radwiya Allahu 'anhu) kwamba mtume Muhhamad (SAW) Amesema: Atakayesoma herufi moja katika kitabu Cha Allah atapata hasanah (jema) moja, na kila hasanah moja ni sawa na thawabu kumi, Wala sisemi 'Alif-laam-miym' ni herufi moja, bali Alif ni herufi moja na laam ni herufi moja na miym ni herufi moja.
Rawahu Tirimidhiy
Suratul maida aya ya 48
Basi shindaneni katika mema, kwa mwenyezi Mungu ndiyo marejeo yenu nyote.
Muongozo wa uislam ni Quran na Sunnah
Sunnah ni mambo ambayo ukifanya unalipwa thawabu na usipo fanya hupati dhambiSunnah ya mtume ni Qur'an,siyo blaahblaah za Abu hurayra za kuitwa hadithi
Jirani yangu mzee mmoja mwenye mwili mkubwa, wakiwa kwenye huo msafara huku wakiwa mori umepanda na wanafanya kama wanakula mchaka mchaka alidondoka na kupoteza maisha...Duuh
Abdullah ibn Masoud alikua ni Swahaba wa mtume kutoka kabila la Hudhayl alianza kuzisikia habari za mtume akiwa mtoto huko milimami akiwa anachunga mbuzi (watu walikua wanamuita mtoto wa kijakazi)Ibn masoud ndiyo Nani!!!?..huo ndiyo upotofu wenyewe
Nani alieoa bint wa miaka 9?Mzee aliyestaarabika anaweza kuoa kabinti ka miaka 9?
Hao wa zamani, wa siku hizi hayo mambo hakuna.Waislamu wa leo wanakamua hadi kitimoto na biere, mambo yaamebadilika bwashee!
Chunguza vyema huenda walienda Afganistan na Pakistan wakaishia huko!Hii ni kusema Waislam hawa walikuwa wapo nchi nzima. Sasa iweje wapotee wote na tusijue waliko?
Ndio ,,Kama hakipo kitaje bwasheeUnafikiri kila kitu kwenye dini ya kiislam kinatoka kwenye Quran
Ndio ,,Kama hakipo kitaje bwashee
Chunguza vyema huenda walienda Afganistan na Pakistan wakaishia huko!
Jirani yangu mzee mmoja mwenye mwili mkubwa, wakiwa kwenye huo msafara huku wakiwa mori umepanda na wanafanya kama wanakula mchaka mchaka alidondoka na kupoteza maisha...
Nakumbuka jina alikuwa akiitwa Tagumbo
Imepokelewa kwa Ibn Masoud (Radwiya Allahu 'anhu) kwamba mtume Muhhamad (SAW) Amesema: Atakayesoma herufi moja katika kitabu Cha Allah atapata hasanah (jema) moja, na kila hasanah moja ni sawa na thawabu kumi, Wala sisemi 'Alif-laam-miym' ni herufi moja, bali Alif ni herufi moja na laam ni herufi moja na miym ni herufi moja.
Rawahu Tirimidhiy
Suratul maida aya ya 48
Basi shindaneni katika mema, kwa mwenyezi Mungu ndiyo marejeo yenu nyote.
Muongozo wa uislam ni Quran na Sunnah