Hivi Walimu wa nchi hii tumemkosea nini Magufuli hata atutende hivi?

Umeongea hoja nzuri mkuu,lengo la mtoa mada ni kudai kile anachostahili.Katumia jukwaa hili pengine angepata faraja.Lakini kumekuwa na shambulio badala yake.Maswala ya uchaguzi sidhani vinauhusiano sana na hoja ya mtoa mada.Labda ninachoweza kusema sijajua mbinu au taratibu zao za kudai madai ya Jambo la aina hii.Lakini anahaki yake kudai malipo ya kile alichokifanyia kazi.
Maswala ya uchaguzi hakuna mwenyewe ushahidi wa moja kwa moja na hayo yanayosemwa. Nashauri mpeni tu utaratibu jinsi gani atapata haki yake siyo kumshambulia na kumkejeli.
Ila kama walivyosema baadhi ya wajumbe kwamba NECTA ni chombo chenye heshima na chenye weledi wa Hali ya juu.Hakiwezi wadhurumu walimu wake,itakuwa kuna taratibu tu walikuwa wanazikamilisha na hatimae watalipa.
Naamini kabisa haitapita kesho watu hawa watakuwa wamesharejeshewa furaha yao iliyopotea.
Ukweli kutoka moyoni ninawaheshimu sana pia ninawependa walimu.Naombeni walimu vuteni subiri Dkt.Msonde atawalipa pesa yenu
 
Ulitaka tulipeleke wapi!??

Walimu wanadharaulika sana nchi hii...
ENOUGH...

WE HAVE HAD ENOUGH
Walimu wa nchi hii ni tatizo,
Waoga, wanafiki, kujipendekeza,
Kwa nini suala la NECTA walilete humu?Wameogopa nini kuhoji hukohuko walikokuwa wanafanyia hiyo kazi maalum?Kwani hawana mawasiliano ya NECTA?Waoga sana hawa,na wanazalisha watanzania waoga vilevile.Sema ni vigumu mimi kuwa rais,Ila dawa yao ninayo,ili tupate walimu Bora kwelikweli.
 
Binafsi mimi kama mtanzania, nadhani chombo pekee kinachofanya kazi kwa weledi na umakini mkubwa hapa nchini Tanzania ni NECTA tu.Vyombo vingine ni mbogamboga tu.
 
Mungu akubariki sana Mkuu..
 
Barikiwa. May his almighty blessings be upôn you.
 
poleni walimu ila mlimchagua wenyewe,mbona simple tu pigeni kazi uchumi wakati unakuja .
 
Sasa mwalimu kama ulitunga mtihani, ulitaka nani asahihishe....leteni basi hizo marking scheme tuwasaidie...
 
Umeandika kwa hisia kalii.. Huenda na ww ni mwalimu. Hupati nafasi hiyi kwasababu huna maadili. Kazi hiyo ni nyeti. Endelea sugua. Mpumbavu kabisa wewe.
Ww ndie mpumbav unaekuja kulia Lia mitandaon na kutegemea karo ya wanao kupitia Kaz maalum.

We si una mshahara kalipe karo acha kulia Lia kiboya utapakatwa Boya ww
 
Umeandika kwa hisia kalii.. Huenda na ww ni mwalimu. Hupati nafasi hiyi kwasababu huna maadili. Kazi hiyo ni nyeti. Endelea sugua. Mpumbavu kabisa wewe.
Alaf maana ya Kaz nyeti unaelewa ww Mwalimu kilaza? Ingekuwa nyeti usingekuja kulia Lia hapa ,ndio maana nimesema unapata hii Kaz kwa rushwa maana ungekuwa na maadil Kama ulivyojitanabaisha hapa usingeleta uzi hapa.

Kwan Ni ww tu hujalipwa hiyo pesa ? Je walimu wote wangekuja mitandaon kungekuwa na nyuz ngapi?

Njaa zitakuua we Mwalimu uliyejaa maden had unategemea karo itokane na Kaz maalum ,wenzio tunalipa karo bila hizo Kaz maalum na hatulii hapa maana tuna mishahara na tulikubal wenyew kuifanya hii Kaz kwa hiari zetu wenyew ,ila ww kucheleweshwa wik moja tu kelele kibao je ,usingeenda marking karo ya mwanao ingetoka wapi?

Pesa ya marking Ni pesa ya ziada ambayo huwez ipangia bajet hasa bajet nyeti Kama ya kulipia karo ya mwanao.

Nikisema ww Ni mpumbavu nakua sikosei ,nikisema una njaa nakua sikosei ,nikisema ww Ni mtu wa rishwa sikosei maana umejianika mchana kweupe.

Tumia mshahara wako na mikopo kuendeleza vipato vingine vya kupatia hiyo karo na sio kutegemea pesa ya Kaz maalum maana mpaka saiz inaonekana umechanganyikiwa jumla na msipolipwa ww lazima ushikishwe ukuta kupata hiyo karo ya mwanao
 
Pole mwalimu,vumilia bado tunajenga sgr na daraja busisi
 
Subirini tena pesa za kusimamia uchaguzi tuwaondoe wapinzani waliokua wanatuchelewesha!
 
Usimfokeee jamani njaa zinapishana sasahivi haruhusiwi hatakuuza barafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…