Hivi Walimu wa nchi hii tumemkosea nini Magufuli hata atutende hivi?

Hivi Walimu wa nchi hii tumemkosea nini Magufuli hata atutende hivi?

Walimu wa nchi hii ni tatizo,
Waoga, wanafiki, kujipendekeza,
Kwa nini suala la NECTA walilete humu?Wameogopa nini kuhoji hukohuko walikokuwa wanafanyia hiyo kazi maalum?Kwani hawana mawasiliano ya NECTA?Waoga sana hawa,na wanazalisha watanzania waoga vilevile.Sema ni vigumu mimi kuwa rais,Ila dawa yao ninayo,ili tupate walimu Bora kwelikweli.
Huna lolote zaid ya kushupalia ya wenzako wewe kama sio muoga nini kimekufanya ijiite pilipili-mbuzi badala ya kutumia jina lako halisi na uwe verified? Acheni kujifanya wajuaji wakati uonga umewajaaa hadi kwenye ukucha.
 
Hawa ndio wasaliti wa viapo vyao. Kuna namna nzuri sana ya watu wa aina hiyo kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
Kwani kiapo kinataka hata kama umenyimwa haki yako ukae kimya? Kama watu wanatoa siri za hekalu sembuse NECTA hakuna maana ya kiapo kama ndani ya kiapo hicho hakuna haki , ingawa kwa hili walimu wavute subira watalipwa msonde hana ubababishaji.
 
Huna lolote zaid ya kushupalia ya wenzako wewe kama sio muoga nini kimekufanya ijiite pilipili-mbuzi badala ya kutumia jina lako halisi na uwe verified? Acheni kujifanya wajuaji wakati uonga umewajaaa hadi kwenye ukucha.
Inaonekana wewe ni wale walimu waliotumbuliwa kwa vyeti feki.Unatumia misuli.Mtu yeyote aliyeiva kwenye taaluma hawezi kuleta swala la siri,tena alilokula kiapo kwalo,humu JF.Kuna channel sahihi za kulipeleka ila siyo kwenye social networks.Baadaye tutaombana vyeti,ili nijue naongea na mtu wa namna gani.
 
Inaonekana wewe ni wale walimu waliotumbuliwa kwa vyeti feki.Unatumia misuli.Mtu yeyote aliyeiva kwenye taaluma hawezi kuleta swala la siri,tena alilokula kiapo kwalo,humu JF.Kuna channel sahihi za kulipeleka ila siyo kwenye social networks.Baadaye tutaombana vyeti,ili nijue naongea na mtu wa namna gani.
Hoja yangu ya msingi ni huo uoga ulio jifanya wewe huna tubaki hapo kwanza , mleta mada ni muoga ndio maana kaona alete swala lake hapa ambapo anaamini ujembe utafika lakini yeye atabaki salama tofauti na unavyo taka wewe iwe hali ambayo haita muacha salama has kwa mazingira ya sasa

Sasa wewe ambaye sio muoga maana umedai walimu waoga ni kweli naungana na wewe ni waoga sasa wewe ambaye unajiona sio muoga hata jina lako umelikana humu huoni na wewe pia ni kama walimu?
 
Mishahara yetu duni..... Tumekubali

Posho ya mazingira magumu hamna... Tumekubali

Madaraja hatupandi.. Tumekubali

Annual increment hamna.. Tumekubali.

Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.

LAKINI

Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?

Hivi Ualimu ni laana?
Ndugu walimu wenzangu na wanufaika wote waliosomeshwa kwa fedha ya serikali yaani BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU (HESLB),,, Juzi Jumatatu tarehe 28.12.2020 niliomba LOAN STATEMENT ya deni langu kutoka Bodi ya mikopo ili niweze kuclear deni baki ambalo kwa mujibu wa SALARY SLIP yangu ya 31.12.2020 Deni linasomeka Tsh. Mil 4.65,,
Aidha, cha kushangaza na kushtua jana HESLB wakanitumia kwa njia ya email statement ya deni langu ambapo Deni langu linasomeka nadaiwa Tsh. Mil 12.087 wakati kwenye Salary slip ya mwezi deni ni Tsh. Mil 4.65. Kiukweli nilichanganyikiwa nikawatumia ujumbe Bodi ya mikopo kuomba ufafanuzi wa hiki na leo Jumatano asbh nikajibiwa kuwa hakuna kilichokosewa kwenye statement waliyonitumia jana.
Baada ya kuona sielewi imelazimika nisafiri hadi Halmashauri kuonana na AFISA UTUMISHI ili aweze kunipa ufafanuzi wa jambo hili, nilipofika akampigia simu AFISA kutoka makao makuu ya HESLB ambaye ndo anashugulika na makato ya fedha zote kutoka kwa wanufaika wote nchini, alimpigia palepale mbele yangu na akaweka Loud speaker yule Afisa wa Bodi akaelez a mambo mengi sanaa kuhusiana na fedha hii. Ambapo kiujumla amesema kwamba watumishi wote tunaokatwa kupitia mishahara yetu deni tunaloliona kwenye hizo salary kama linapungua sio deni halisi bali deni la halisi analodaiwa mnufaika wanalo wao Bodi kwenye mfumo wao ambao mfumo wao hauna mahusiano yyte na Mfumo wa Lawson, hivyo deni letu halisi huwa haliwi updated kwenye salary slip ndo maana tunaona kila mwezi linapungua ila kiuhalisia ni hapana..
Akaendelea kusema mtumishi yyte akitaka ajue deni lake halisi analodaiwa basi aombe Loan Statement kutoka Bodi hapo ndo anaweza kujua deni lake halisi ambalo ni tofauti sanaaa na linaloonekana kwenye Salary slip zetu...
Akasema tena deni lililopo kwenye salary slip linapokwisha mtumishi anaweza akaona kama vile kamaliza deni, kumbe kuna deni kule bodi bado wanamdai. Hivyo akasema sasahv wapo kwenye mchakato wa kuandaa barua kuwatumia waajiri wote nchini madeni mapya ya wale wote ambao washakamilisha kulipa deni la kwenye salary slip ili makato yaendelee kama kawaida..
Mwisho Afisa huyo akamuomba Afisa Utumishi anipatie mimi namba ya huyo Afisa ili kama mahali nitakuwa sijamwelewa vzr niweze kumpigia wkt wwte kwa maelezo ya kina....
Hivyo ndug watumishi na walimu wenzangu ambao ni wahanga wa hili tusijipe matumaini ya kuclear hili deni tunaweza hata kustaafu nalo. Tupambaneni kutafuta hela ili watt wetu tuwanusuru na kuongia kweny hili janga la Bodi ya mikopo ili tuwasomeshe kwa fedha zetu hata kwa kujibana maana inauma sanaaa.
Yeyote atakayehitaji namba ya simu ya huyu Afisa kutoka HESLB kwa ajili ya maelezo ya ziada anaweza kunitafuta inbox nikamtumia. Asante

BY. MWL MUSSA A. IDDY
NAMONGE SEKONDARI
 
Yaani mpaka sasa walimu wapya hawajapewa pesa ya kujikimu.
 
Inaonekana wewe ni wale walimu waliotumbuliwa kwa vyeti feki.Unatumia misuli.Mtu yeyote aliyeiva kwenye taaluma hawezi kuleta swala la siri,tena alilokula kiapo kwalo,humu JF.Kuna channel sahihi za kulipeleka ila siyo kwenye social networks.Baadaye tutaombana vyeti,ili nijue naongea na mtu wa namna gani.
Halafu kingine mimi vyeti vyangu waka sio siri hata ukitaka inbox nakutumia uone maana yawezekana unaamini kwamba tuliomo umetuzi elimu na ufahamu

Mimi wala sina tatizo endapo utataka tuoneshane accademic qualifications zetu pengine kupitia hilo pia waweza jifunza kitu jamaa yangu
 
Mishahara yetu duni..... Tumekubali

Posho ya mazingira magumu hamna... Tumekubali

Madaraja hatupandi.. Tumekubali

Annual increment hamna.. Tumekubali.

Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.

LAKINI

Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?

Hivi Ualimu ni laana?
Kura mlimpa?
 
Hoja yangu ya msingi ni huo uoga ulio jifanya wewe huna tubaki hapo kwanza , mleta mada ni muoga ndio maana kaona alete swala lake hapa ambapo anaamini ujembe utafika lakini yeye atabaki salama tofauti na unavyo taka wewe iwe hali ambayo haita muacha salama has kwa mazingira ya sasa

Sasa wewe ambaye sio muoga maana umedai walimu waoga ni kweli naungana na wewe ni waoga sasa wewe ambaye unajiona sio muoga hata jina lako umelikana humu huoni na wewe pia ni kama walimu?
Unajua masharti ya JF?Kutumia jina tofauti siyo uoga.Na ndiyo maana wengi wanaokamatwa humu JF hutumia majina tofauti,na wanaisumbua serikali kwelikweli.Ni ujinga mkubwa sana,mtu kuleta maswala ya NECTA humu.Kwani aliapa hivyo?Da!!!!
 
Halafu kingine mimi vyeti vyangu waka sio siri hata ukitaka inbox nakutumia uone maana yawezekana unaamini kwamba tuliomo umetuzi elimu na ufahamu

Mimi wala sina tatizo endapo utataka tuoneshane accademic qualifications zetu pengine kupitia hilo pia waweza jifunza kitu jamaa yangu
Siyo accademic,ni academic.
 
Mishahara yetu duni..... Tumekubali

Posho ya mazingira magumu hamna... Tumekubali

Madaraja hatupandi.. Tumekubali

Annual increment hamna.. Tumekubali.

Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.

LAKINI

Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?

Hivi Ualimu ni laana?
Mwalimu mark my words. 2024 mtachekelea. If you only know what I miiin by saying 2024
 
Hujielewi, acha kulialia. Kazi ulifanya kama siri, alafu wewe unakuja mitandaoni kulia lia. Bado tuna watanzania mbumbumbu kama wewe, sasa elimu imekusaidia nini?

Idiot
Kwa sababu ni siri basi haruhusiwi kudai malipo?
 
Binafsi mimi kama mtanzania, nadhani chombo pekee kinachofanya kazi kwa weledi na umakini mkubwa hapa nchini Tanzania ni NECTA tu.Vyombo vingine ni mbogamboga tu.
Chombo chenye umakini na weledi ni Ccm tu.
 
Back
Top Bottom