Hivi walioanzisha utaratibu wa mwanamke kulipiwa mahari walikuwa na sababu gani za msingi?

Hivi walioanzisha utaratibu wa mwanamke kulipiwa mahari walikuwa na sababu gani za msingi?

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Ujue hapa duniani kume kuwapo na tuvitu vitu twa ajabu tusito na kichwa wala miguu ambato tumeanzishwa bila sababu yoyote ya msingi na watu mpaka leo wanatufanya bila ya kuwa na sababu ya msingi.

Sasa tuizungumzie "mahari"

1. Hivi walio anzisha haka kautaratibu ka mwanamke kulipiwa mahari walikuwa na sababu gani ya msingi haswa ?

2. Kwanini pia wanaharakati wa haki za wanawake hawaoni haka kautaratibu kuwa kakishamba na kupiga kelele kafutwe ?
 
Utaratibu ulianzishwa na mwanaume.

Na nia ni kummiliki mwanamke awe chini yake, na wengine kumfanya mtumwa kabisa.

Sasa hivi pesa imekuwa ngumu, na wanawake wenyewe wamekuwa pasua kichwa. Wanaume wameanza kugoma kutoa mahari.
 
Jiulize kwanza kwanini wanawake wanajiuza wanaume wawalipe kufanya nao ngono, lakini wanaume hawajiuzi? Au kwanini male pornstars hawalipwi vizuri kama wanawake? Bible imesema tamaa ya mwanaume ipo kwa mwanamke, wabahili na wasio nazo tunajifanya wenyewe.
 
jiulize kwanza kwanini wanawake wanajiuza wanaume wawalipe kufanya nao ngono but wanaume hawajiuzi?Au kwanini male pornstars hawalipwi vizuri kama wanawake?Bible imesema tamaa ya mwanaume ipo kwa mwanamke.,wabahili na wasio nazo tunajifanya wenyewe..
Duuuh! Kumbe mahari ni biashara ya ngono iliyo rasimishwa ?!.
 
Kibao kimegeuka maana wanawake wengi hawafati vile wanavyotaka. Hawakubaliani na mila gandamizi.

Wamebaki tu kusema kwamba wanawake wa sasa hawafai kuoa afadhali kipindi cha bibi zetu.
Ukichanganya kijana kajichanga na tupesa twake twa masikitiko akitegemea manzi iwe kama mazaa ake halafu anakuta tofauti lazima apagawe na tuela twake tumuume
 
Ni sababu za kitumwa, kijima na ubinafsi.

Mahari ni Pesa ya kumnunua Mwanamke ili ummiliki Kwa jina la MKE.

Ni mfume dume hasi(katili) ambao umefanywa Kwa lengo la kumkandamiza Mwanamke.

Mwanamke yeyote mwenye Akili timamu, huru, hawezi kukubali kutolewa Mahari.

Na Mwanaume yeyote huru, timamu, hawezi kumnunua Mwanamke anayempenda ili awe Mkewe.

Watibeli hatufanyi hivyo na kamwe hatutakuja kufanya hayo.
Binti zetu hawatolewi Mahari wala Vijana wetu hawatoi Mahari.
 
Back
Top Bottom