Pale Kariakoo kati hivi watu wanaweza kupumua kweli kwa msongamano ule?Kama umekaa mkoa muda mrefu kwa maisha safi safi, Dar huwezi kukaa
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Tena kinondoni ndo na mpango wa kuhamia Kodi ikiisha hapa.....Njoo kinondoni yetu uishi mzee
Ova
Joto + watu + shughuli zilizopo hapa jijini kutaacha kunuka ?Ila tuache utani Dar inanuka Wakuu
kwa bibi nyau kwa mtogole?Kama tandale ni hatari
Hahaha machimboni kabisa.Mbona wewe unaishi Kigera-etuma na hatukuhoji?Waache wafe na mafuriko tule ubwabwa.
Ngoja kwanza niulizie hapa ni Ubungo au kinondoniπ€£π€£π€£π€£π€£ wapi huko? wa migombani π
πππ sawa MkuuNgoja kwanza niulizie hapa ni Ubungo au kinondoni
Vp lkn wanasemaje hapo kisemvuleπππ sawa Mkuu
π Dar ina wenyewe aseePale Kariakoo kati hivi watu wanaweza kupumua kweli kwa msongamano ule?
Kuna dereva wetu mmoja ilikuwa ukitaka kugombana naye mwambie tu "nipeleke Kariakoo" πππ
Hawana usemi aisee ππVp lkn wanasemaje hapo kisemvule
Buguruni wanazibua vyoo hata kiangazi, yanatiririka mtaroni, harufu kali hatari,Ndio daslam hiyo mjomba, ndio maana ya mji, msongamano ni mkubwa.
Halafu hakuna harufu kali kijana acha uongo.
Mkuu,π Dar ina wenyewe asee
Hama buguruni nenda temekeBuguruni wanazibua vyoo hata kiangazi, yanatiririka mtaroni, harufu kali hatari,
Khaaah
Wanaita Goms wengine Gms ili kuficha madhaifu
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Ukiishi mitaa hiyo(Uswazi) ndo umeishi Dar yenyewe sasa!Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Mkuu kweli hayo maeneo ni zaidi ya Kijijini,wahi ukanunue shamba manzese,magomeni na mwananyamalaKuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni