Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
hiyo ndo raha ya sisi wazee wa kujimp , Yaani unachumpa unazama unafika kabisa mwisho wa swimming pool unaibuka mbele kama π¬ Alafu unatema maji kishujaaa πππβ hiyo moment huwa tamu sanaTena ndio ukute mwingine anazama ndani kabsa akiibuka juu anatema maji na kusukutua kabsa.. Aiiii[emoji847]
Sio wanaweza. Wanakojoa na kutema mimate. Yaani ni uchafu wa hali ya juuView attachment 1316379Sijawahi kuogelea katika swimming pool hata siku moja. Sababu yangu kuu ni kuogopa kama wengine wanaweza fanya yao (kukojoa).
Au nipo wrong?
Amini nachokwambia hii kazi hufanywa tukiwa hatupo vile vibomba kwa muda huo haviingizi maji wala kutoa, niliipata hii elimu kwa jamaa anayehudumia lile la hyat regencyHapana bana angalia vizuri ukiwa swimming huoni vile vibomba vinaendelea kutoa maji?
Ila binafsi uwa najizuia sana kuingiwa mdomoni na Yale maji....ilo la period ndio sio Mara nyingi bana me nimelishuhudia Mara moja beach
#ukimchunguza sana bata huwezi kumla
Mkuu umenichekesha sana, samahani lakini hivi umri wako huwa una range wapi? Mana sometimes huwa uko na busara sana.Umenikumbusha miaka 14 iliyopita, niliwahi ku download hadi movie kwenye swimming pool.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinyaa, period mbaya sana na wengine zinakuwaga na harufu just imagine nainywa ile puuuuhπππ lakini maji si yanaflow? Hakuna mbaya
Na bahati mbaya zaidi, baada ya kufyatua kitu kika nyenyuka juu na kikabaki kinaelea kama boya...[emoji23]Mkuu umenichekesha sana, samahani lakini hivi umri wako huwa una range wapi? Mana sometimes huwa uko na busara sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swimming pool zile zenye ubora kunakua na mtu maalumu kabisa wanamuajiri kwa ajili ya usafi wanaweka dawa kwenye maji lkn hizi zingine sidhani kama wanazingatia hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana so wanapaka rangi ya blue kuondoa true color, nadhani wangepaka rangi nyeupe maji yangekua na rangi ya manjano
Sent using Jamii Forums mobile app
Sa mkuu unaamua kujisaidia na hali toilet zipo kabisa,kuna watu wanaweza kukuona ,kuna materials katika kuta za pool zinayafanya yale maji yawe kama kioo,hivyo chochote unachofanya jirani yako anaweza kuona na hali still upo kwenye maji.Na bahati mbaya zaidi, baada ya kufyatua kitu kika nyenyuka juu na kikabaki kinaelea kama boya...[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
uzuri wa swimming pool nyingi zipo treated kwa dawa maalum ya kuuwa vijidudu.View attachment 1316379Sijawahi kuogelea katika swimming pool hata siku moja. Sababu yangu kuu ni kuogopa kama wengine wanaweza fanya yao (kukojoa).
Au nipo wrong?
Haya huwa nasikia yanafanyikaga sana baharini kumbe hadiw
wengine huwa wanakata gogo kabisa
Ooh. Hapo sawa Mkuu.Yale maji yanachujwa kwenye mfumo na kuna madawa kwa ajili ya kuua bakteria.
View attachment 1316619
Peleka story za kipumbavu kama hiz kwa watoto wenzako hukoo ambao hta basic undesrtanding kuhus mambo haya hawanaMama aliingia akatoka na mimba kumbe kijana wake (mtoto wa kumzaa) aliingia kabla akaacha shahawa. Kwa hiyo mama alizaa mtoto na mtoto wake.
Huyu sio muongo..ni mjinga.Wewe ni muongo.... How can sperm survive and swim kwenye maji yenye kemikali mbalimbali...
Can you get pregnant if someone ejaculates in the pool while youβre swimming?
www.plannedparenthood.org
Kwa baharini hakuna tatizo, bahari haitunzi uchafu.Wanakojoa
Wanajamba
Hata walio period wanaswim esp baharini
Watu wanasugua CD mule ( couples + beach boys
....ila siachi π
Nilipewa kichapo cha kutosha, kisha nikafukuzwa pale hotel... teh[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kilipoibuka ukafanya je?
God save us