Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
- Thread starter
-
- #61
We binti wewe utakuja kulia kilio cha punda shauri yako...
Mwanaume akikutafuna wewe haina maana hana vidumu huko nje...
Kwanza mnavyonyonyana hizo ndimi, mmepima Gonjwa la Kisasa kujua usalama wenu?
Unaweza ukawa unalilia dushelele kumbe mwenzako ana ngoma na roho yake inamsuta anaogopa kukuunganisha kwenye Gridi ya Taifa...
Thinkkkk....
1. Uhusiano wenu una malengo yoyote, mnaongelea future?
2. Mmewahi kupima HIV hata mara moja?
3. Wakati wa kufanya romance, je unaushika mninga wake?....anadisa vizuri?
4. Kwa nini msikae kama wapenzi na kuongelea swala la kudinyana, kwanini msiwe wazi?
miss Englishlady, unahisi atakufahamisha kwao wakati anapoishi umepaona twice? Kweli?But nimeongea mengi hapo juu, sio dushe tu ni pamoja na mazingira ya kutokufahamishwa kwao na kazini kwake, hapa napo wasiwasi mkubwa upo.
miss Englishlady, unahisi atakufahamisha kwao wakati anapoishi umepaona twice? Kweli?
Unadhani atakupeleka kwao wakati the only thing he tells you is "wewe ni wife material"? hamuongei kuhusu nyie na future yenu afu mtu akupeleke kwao...
Mimi nadhani usiwe na papara, msome mpenzi wako umfaham vizuri, aweza kuwa ''yahaya'' ama aweza kuwa hakuchukulii kivileee..
Kwa hiyo bi mkubwa unataka tukufunze elimu ya uzinifu ama???
Yeah ni kweli, kuna muda fulani nilikuwa kijijini, network sometime inazingua nashindwa kuipata MMU,
Enhee, embu niambie Karucee[/UziB], ungekuwa ni wewe ungemuelewaje?, unataka jamaa akule mzigo halafu dizaini kama anazingua.
Heri ya mwaka mpya farkhina haya unayosema ni ya kweli manake kama amekua na mashaka na upendo wa huyo ndugu si bora hajamfunua inampa nafac ya kusepa bila doa.
Wana mmu habri zenu.Naombeni msaada. Nipo kwenye maswali mengi kama hii inawezekana au mazingaombwe au naibiwa?Nipo kwenye mahusiano na mkaka toka mwezi wa tatu mwaka jana, kwa kipindi chote kaka huyu hajawahinigusa kwa mapenzi zaidi ya kushikana na kubusiana tu au wakati mwingine kumaliza ashiki kwa romance. Kila nikijitahidi kuweka mazingira ya kudo anachomoa, atatoa maelezo mengiii. Sio mtu wa dini maana hata kwenda kanisani ni maramojamoja, ni mnywaji na ni mkaka wa mjini. Sielewi hivi wapo wanaume wa jinsi hiyo miaka hii? Au naibiwa mie, yupo anayemmalizia ashiki zake.Nyongeza sikujui kazini kwake wala kwao kwa ndugu zake najua tu ni mtaa fulani hajawahi nipeleka na hutoa sababu nyingi nikitaka kwenda kwao. Kwake nimewahi enda mara mbili tu kwa miezi yote hii. Kila nikifanya jitihada za kuachana nae anasumbua, anatumia marafiki zangu ama ndugu zake kudai ananipenda, kila nikipima upendo wake siuoni. Naona kama napoteza muda tu, naomba ushauri wenu.
Nyie mmeangalia moja tu la uznifu, lakini kuna sori ndefu za kutofahamu kwao na kazini kwake, kwenu sio ishu, ni kugegedwa tu.
Zipo juu
Kwa hiyo anaishia tu 'kunyonya maziwa'?
Duh! Napenda sana maziwa mie!
Acha kabisa alafu ukute ziwa nene kimtindo na limesimama ni zaidi ya sherehe...
Off topic.msaidie mwenzio anataka agegedwe