Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
- Thread starter
- #61
We binti wewe utakuja kulia kilio cha punda shauri yako...
Mwanaume akikutafuna wewe haina maana hana vidumu huko nje...
Kwanza mnavyonyonyana hizo ndimi, mmepima Gonjwa la Kisasa kujua usalama wenu?
Unaweza ukawa unalilia dushelele kumbe mwenzako ana ngoma na roho yake inamsuta anaogopa kukuunganisha kwenye Gridi ya Taifa...
Thinkkkk....
Nakuelewa, kama anao alinitongozea nini? Ashindwe na alegee.
But nimeongea mengi hapo juu, sio dushe tu ni pamoja na mazingira ya kutokufahamishwa kwao na kazini kwake, hapa napo wasiwasi mkubwa upo.