Nakuelewa, kama anao alinitongozea nini? Ashindwe na alegee.
But nimeongea mengi hapo juu, sio dushe tu ni pamoja na mazingira ya kutokufahamishwa kwao na kazini kwake, hapa napo wasiwasi mkubwa upo.
Wana mmu habri zenu.Naombeni msaada. Nipo kwenye maswali mengi kama hii inawezekana au mazingaombwe au naibiwa?Nipo kwenye mahusiano na mkaka toka mwezi wa tatu mwaka jana, kwa kipindi chote kaka huyu hajawahinigusa kwa mapenzi zaidi ya kushikana na kubusiana tu au wakati mwingine kumaliza ashiki kwa romance. Kila nikijitahidi kuweka mazingira ya kudo anachomoa, atatoa maelezo mengiii. Sio mtu wa dini maana hata kwenda kanisani ni maramojamoja, ni mnywaji na ni mkaka wa mjini. Sielewi hivi wapo wanaume wa jinsi hiyo miaka hii? Au naibiwa mie, yupo anayemmalizia ashiki zake.Nyongeza sikujui kazini kwake wala kwao kwa ndugu zake najua tu ni mtaa fulani hajawahi nipeleka na hutoa sababu nyingi nikitaka kwenda kwao. Kwake nimewahi enda mara mbili tu kwa miezi yote hii. Kila nikifanya jitihada za kuachana nae anasumbua, anatumia marafiki zangu ama ndugu zake kudai ananipenda, kila nikipima upendo wake siuoni. Naona kama napoteza muda tu, naomba ushauri wenu.
hahaha jamani kugegda kutamu nyie lol.....mie mzima alafu wewe nae ukasepa bila ata kuaga bwana
Hahaha...naona unagegeda apaapa...duh umeamka upande upi leo... anyonywe kwanza maziwa kama nusu saa hivi yalainike bana!!!
badae ndo unagege huku ukiwa hujitambui vile!!!... as if uko ICU! kumbe uko juu ya papuchi!!!
brenda18, unajua kugegeda kuna raha zake ukipata wagegedaji wazuri experienced kama Excel..!Hahaha...naona unagegeda apaapa...duh umeamka upande upi leo
Te
Queen of seduction!!, I like this.Queen of seduction would make him want me na asingeponyoka. Then namzomea.
Nilithishe mikoba hiyo mie
sasa nikusaidiaje....?Nyie mmeangalia moja tu la uznifu, lakini kuna sori ndefu za kutofahamu kwao na kazini kwake, kwenu sio ishu, ni kugegedwa tu.
Nilipoteza network ghafla, nikajua utanitafuta but kimyaaa
Wana mmu habri zenu.Naombeni msaada. Nipo kwenye maswali mengi kama hii inawezekana au mazingaombwe au naibiwa?Nipo kwenye mahusiano na mkaka toka mwezi wa tatu mwaka jana, kwa kipindi chote kaka huyu hajawahinigusa kwa mapenzi zaidi ya kushikana na kubusiana tu au wakati mwingine kumaliza ashiki kwa romance. Kila nikijitahidi kuweka mazingira ya kudo anachomoa, atatoa maelezo mengiii. Sio mtu wa dini maana hata kwenda kanisani ni maramojamoja, ni mnywaji na ni mkaka wa mjini. Sielewi hivi wapo wanaume wa jinsi hiyo miaka hii? Au naibiwa mie, yupo anayemmalizia ashiki zake.Nyongeza sikujui kazini kwake wala kwao kwa ndugu zake najua tu ni mtaa fulani hajawahi nipeleka na hutoa sababu nyingi nikitaka kwenda kwao. Kwake nimewahi enda mara mbili tu kwa miezi yote hii. Kila nikifanya jitihada za kuachana nae anasumbua, anatumia marafiki zangu ama ndugu zake kudai ananipenda, kila nikipima upendo wake siuoni. Naona kama napoteza muda tu, naomba ushauri wenu.