huu ushauri nitauzingatia mzee baba... nitaleta mrejesho.Daby
1.Jitahidi uwe na vihela hela kidogo vya kuwahonga.
2.Usimwambie mwanamke ukweli, Kwa sababu wanaamini uongo zaidi kuliko ukweli. Ukimwambia mwanamke ukweli anakukataa, ila ukisema uongo anakubali.
3.Usimpe mwanamke moyo wako(usimpe upendo wote wa kweli atakufanya zuzu).
4.Tongoza wasichana/wanawake wengi hata 10 au 20, Ili mmoja akitaka kukupanda kichwani, unamshiit na unaenda kwa hao wengine 8 au 19 waliobaki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilishamuomba mmoja alinishushua wiki mbili nikapotea jukwaani.
nikiingia naona aibu hata kucomment.
Sasa mkuu nitajuaje hapa kabanwa na nyegeree[emoji23]Mnatakiwa mjue mwanamke anatongozwa mno anakataaa sana lkn ktk kutongozwa huko anakufikia wewe nyege zushamjaa balaa yani unaweza kumtania tu nakutaka sasa hivi nikakumange unapewa gemu palepale lkn akitoka kwako umemmalizia nyege atakaokutana nao wataambulia matusi kupita kawaida ukadhani ni mgumu saaaana au ni mrahisi saaaana
Mwanamke akifikiwa kabanwa na nyege hata kichaa wa jararani anapewa kitumbua cheza na nyege wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani unamchangamkia mtu... tena umevimba kweli... halafu anakujibu hayo mazoea unayotaka kuleta yaishie hapa.
Hujambouhuhuhuhuuu...Smart mbavu zangu hukuuu mwenzio dohh... ndizi bukoba ni kubwa sana na nene na ndefu Yani zimejaa harage la mbeya si ni laini kuiva ama?! khakhakhaaaaaaa....
Jitahidi ili ukipata wengi namimi unigawie hata mmoja.... tehteehhhMpaka huu uzi utakapofikia tamati ntakua nimekwiva kabisa tayari kwa kuanza kuzama pm
Mkuu ngoja nianze mapambano,naamini hatutatoka kapa!Jitahidi ili ukipata wengi namimi unigawie hata mmoja.... tehteehhh
Mungu na atupiganie kwenye hii vita mpya....Mkuu ngoja nianze mapambano,naamini hatutatoka kapa!
Hongera yako.Nashkuru Mungu, ainawahi kutongoza wala kuonana na mwanamke yeyote wa Jf..... tehteehhh
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ni kweli kabisa Mkuu,maana nimeona sehemu kuwa hawapendi kabisa pesa humu,hivyo naona zoezi litakua jepesi!Mungu na atupiganie kwenye hii vita mpya....
Hahaahaaahaaaaa......[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Hongera yako.
Ila sema nn, kuna watu nawasoma hapa kimya kimya ,wanafiki haoo.
Wanajiona watakatifu haooo kumbe watongozaji mahili sana .
Nawao ,et wanauliza " ivi mnatumia dawa gani?" hahaha aisee.
Hahaha alafu mtu anasema " mnatumia dawa gan?" .Hahaahaaahaaaaa......[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Kama huyu mleta huu Uzi, ngoja nimuhidhi jina kwa leo.... tehteehhh
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
HahahaNi kweli kabisa Mkuu,maana nimeona sehemu kuwa hawapendi kabisa pesa humu,hivyo naona zoezi litakua jepesi!
Ohhhppppssssss... [emoji52] [emoji52]Hahaha alafu mtu anasema " mnatumia dawa gan?" .
Hahaha acha kabisaa ... Mavazi tunayovaa masafi ,ila miili yetu sasa michafu .
Unajua mbuzi dawa yake ni kumpa sukar ,hawezi kupiga kelele hata siku moja.
Kuna mmoja anajiona mtakatifu, huwez amin kila mwanamke anayeniandikia uzi humu, huyo jamaa humfata ,sasa sijui kujaribu kumpima sijui ndo anaona wepesi?? ..bahat nzuri wananipaga access ya account zao , naishia kucheka tu.Ohhhppppssssss... [emoji52] [emoji52]
Kumbe hii mutu inamiliki totoz lukuki humu eehhhh.....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Daby ebu uje huku maramoja... tehteehhh