Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

Wanaosemaga hivyo wanafkiii ndo wanashindaga pm za wanawake. Kuna mjinga mmoja anasemaga hajawahi kumtongoza mwanamke pm wakati anatongoza na anakataliwa na hapati nafasi hata ya urafiki. Tunawachoraga tu huku wakianza kujimaliza ooh siendi pm kwa wadada mara sijawahi konyo konyo.

Najua umeandika kiutani ila wapo wanaosemaga hivyo
Nimeenda PM moja ,nikapigwa kibuti ,hahaha ,ila sasa nimejifunza
 
Hivi per day wewe unaweza pata PM kama ngapi hivi??
Mbili au tatu tena kwa watu ninaochat nao pm mara kwa mara au tunaquotiana humu naelewa akili zao zilivyo. Wengine hata kujibu sijibu napita kama sioni
 
Mbili au tatu tena kwa watu ninaochat nao pm mara kwa mara au tunaquotiana humu naelewa akili zao zilivyo. Wengine hata kujibu sijibu napita kama sioni
Mara moja moja ujibu maana wengine hata wakiquotiwa na mrembo humu,wanapiga screenshot..inakuwa kama vile wamekutana na kim kardashian.
 
Back
Top Bottom