Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha nini?

Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha nini?

Haujajibu swali nimekuuliza ni wanawake wangapi wanatii na bado wanapigwa na kwahiyo kama mwanaume ni kichwa cha familia ndiyo inamaanisha amuonee mke wake na amfanye vile anavyotaka??

Wewe unajua maandiko hebu niletee andiko kutoka kwenye biblia linalomruhusu mwanaume kumpiga mke wake pale anapokosea kwa sababu andiko la kumpiga mtoto anapokosea lipo nalijua ila hilo la kumpiga mke naomba uniletee wewe!!
Mwanamke kupigwa ni matokeo ya kukosa utii. Kwa sababu ya lugha za maudhi na vitendo vya kujarbu kudhalilisha uanaume wake, lazima atakasirika kupitiliza na matokeo yake ni kipondo.

Mwanamke anayejitambua ni nadra sana kupigwa,ila wale wasioheshimu nafasi zao. Tena nikueleze kama hujui, kaka za mwanamke pale wanapoona dada yao anamsumbua shemeji naye ameshinfwa kumchapa huomba waruhusiwe kumwadibisha ili asiwatie aibu kwa jamii. Basi wao huchukua jukumu la kumkumbusha nafasi yake kwa bakora motomoto.

Habari za maandiko twende kwenye jukwa la dini, hapa umeleta kwa watu wa imani zote.
 
Nahisi nipo nje ya mada kidogo lakini sometimes wanawake tunajichanganya

Tunataka haki sawa kwa wote wakati huo huo tuna ile kauli mbiu yetu eti wanawake tukiwezeshwa tunaweza...SMH!😔😔

Kwanini tuhitaji kuwezeshwa wakati tuko na mikono na miguu miwili mixer ubongo kama wanaume
We uko tofauti kidogo na wenzio wengi...hongera
 
Nahisi nipo nje ya mada kidogo lakini sometimes wanawake tunajichanganya

Tunataka haki sawa kwa wote wakati huo huo tuna ile kauli mbiu yetu eti wanawake tukiwezeshwa tunaweza...SMH![emoji17][emoji17]

Kwanini tuhitaji kuwezeshwa wakati tuko na mikono na miguu miwili mixer ubongo kama wanaume
Aaa wapi hiyo kauli ya wanawake tukiwezeshwa tunaweza imetokea kuleee kwa majirani zetu wavaa kijani na njano mimi naamini wanawake ni Jeshi kubwa
 
labda ni kuwa mnataka mamlaka juu ya vitu visivyowahusu
 
Lakini na wewe hela zake unatumia??
Yes madam ninampa na hata akiniambia bana sikiliza this time hela yangu nafanyia hiki naomba uniongezee pesa kadhaa kiroho safi anachuku

Anajua exactly role zake na anajua ana deal na mtu mwenye mind set ya kibabu anafuata mule mule
 
Mama narudia tena kazi za ndani sina wajibu nazo na ndo maana siwezi kuhangaika na nyinyi wanaharakati

Ninyi wa haki sawa ni wa kuweka tu na kusepa
Sasa wewe mkeo si anakusaidia majukumu yako mbona hausemi kuwa siyo wajibu wake??
 
Mama narudia tena kazi za ndani sina wajibu nazo na ndo maana siwezi kuhangaika na nyinyi wanaharakati

Ninyi wa haki sawa ni wa kuweka tu na kusepa
Halafu mbona wapo wengi tu hao unaowaita "wa haki sawa" wanaolewa na ndoa zao zinadumu??
 
Ndo maana kuna mtu leo kaanzisha uzi anasema watu wa JF ni tofauti na watu wa huko mtaani[emoji23] e.g hao wanaosema humu sio wife material huku kitaa ndo wanaolewa kila kukicha etc
Halafu mbona wapo wengi tu hao unaowaita "wa haki sawa" wanaolewa na ndoa zao zinadumu??
 
Daah yaani sijui hata niseme nini mkuu ila ubarikiwe sana
Unajua mkuu kuna watu wengi sana hata bible hawaielewi vyema. Ni kweli kwa upande mmoja inasema Mume ni kichwa cha nyumba. Na tafsri ya wengi hapa inaangukia kwenye supremacy...kwa maana ya mwenye nguvu na mabavu juu ya mke....kitu ambacho kiuhalisia si kweli. Kuna jukumu ambalo mwanaume amepewa la upendo kwa mke... kama watu wakilielewa hili vizuri lenyewe tayari linaweka usawa katika mahusiano ya ndoa na wala si kumuweka mwanaume kama mtawala wa mwanamke. Wakorintho wa kwanza 13:4-8 inasisitiza kabisa kuwa upendo huvumilia, upendo hufadhili, upendo hauna wivu au majivuno. Upendo hauna kiburi na haukosi kuwa na adabu. Upendo hau tafuti kujipendeza nafsi, haukasiriki upesi, hauweki orodha ya mabaya, upendo haufurahii mabaya, bali hufurahia kweli. Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahim ili yote. hivyo basi wanaume kujiinua kuwa juu ya wanawake kinyume na haya maandiko wanataka utukufu wao tu si wa kimungu.

Hivyo basi kwa wana ndoa mume anapokuwa na upendo wa dhati kama andiko linavyosema ukachanganya na andiko la utii analotakiwa kuwa nalo mke kwa mume....ndugu yangu raha inayopatikana kwenye couple hiyo ni kama paradiso. Maana kila mmoja anawajibu kwa mwenzake....mume akigawiwa pipi na rafiki zake huko njiani ni lazima ifike nayo kwa mkewe ili wakamege kwa pamoja. Mke hawezi fikia maamuzi ya jambo lolote lile lazima akamshirikishe mume na mume kwa sababu ya upendo lazima amshauri kwa busara na hata kama hakubaliani nalo sana kwa ajili ya upendo atamkubalia mkewe ili tu kutoikwaza nafsi na furaha yake. kosa hutokea pale tu mmoja anapotaka ku abuse nafasi na jukumu lake alilopewa.

Ku declare interest tu mm ni muumini wa usawa wa jinsia. lakini kuna baadhi ya mambo nayaunga mkono na mengine nayapinga. kwa mfano mila potofu dhidi ya wanawake ziwanyimazo fulsa ya elimu, ukeketaji, kuwapora wajane mirathi, kurithi wajane, kuwapa wanawake kazi kwa rushwa ya ngono n.k haya mimi sikubaliani nayo kabisa. Lakini pia sikubaliani na propaganda za wanaharakati wa jinsia wasio na maelezo ya kina wao wameshikilia tu kwa mfano mwanamke ana haki ya kuamua mambo yake ikiwa pamoja na lini ampe mumewe unyumba. Au kulazimisha tu nafasi zote ktk jamii zigawanywe kwa 50/50 bila kuzingatia uwezo na taaluma.

Lakini narudia tena hili masuala ya usawa wa jinsia ni yana mjadala mpana sana kulingana na imani tofauti za dini, mila na utamaduni wa jamii husika hali kadharika maeneo ya kijographia katika ulimwengu huu.
 
Mwanamke kupigwa ni matokeo ya kukosa utii. Kwa sababu ya lugha za maudhi na vitendo vya kujarbu kudhalilisha uanaume wake, lazima atakasirika kupitiliza na matokeo yake ni kipondo.

Mwanamke anayejitambua ni nadra sana kupigwa,ila wale wasioheshimu nafasi zao. Tena nikueleze kama hujui, kaka za mwanamke pale wanapoona dada yao anamsumbua shemeji naye ameshinfwa kumchapa huomba waruhusiwe kumwadibisha ili asiwatie aibu kwa jamii. Basi wao huchukua jukumu la kumkumbusha nafasi yake kwa bakora motomoto.

Habari za maandiko twende kwenye jukwa la dini, hapa umeleta kwa watu wa imani zote.
Na mwanaume akikosea naye anaadhibiwa na nani?? Au mwanaume hakosei kwa sababu tu 'yeye ndie mwenye ndoa"??
 
Umeona eenh?? Huku wanajifanya kukejeli ila kiuhalisia hao wanaowakejeli ndiyo hao hao wanaoolewa kila siku!!
Ndo maana kuna mtu leo kaanzisha uzi anasema watu wa JF ni tofauti na watu wa huko mtaani[emoji23] e.g hao wanaosema humu sio wife material huku kitaa ndo wanaolewa kila kukicha etc
 
Nimekuelewa sana. Wewe ni chombo haswaaa.
Nahisi nipo nje ya mada kidogo lakini sometimes wanawake tunajichanganya

Tunataka haki sawa kwa wote wakati huo huo tuna ile kauli mbiu yetu eti wanawake tukiwezeshwa tunaweza...SMH![emoji17][emoji17]

Kwanini tuhitaji kuwezeshwa wakati tuko na mikono na miguu miwili mixer ubongo kama wanaume
 
Vitabu vya Mungu vinakataa mwanamke na mwaume kuwa sawa maana mwanaume ni kichwa cha nyumba kama sio family kama Yesu alivo kichwa kanisa... Mwanamke atakuwa chini ya mwanaume mpaka dunia itapita na hao wanaojihangaisha kupinga maelekezo ya Mungu mwenyewe na kupiga debe haki sawa kwa kila kitu washindwe na wako kinyume na Mungu yaani wanapinga Mungu.. Wanajidanganya.


Uwe sawa na Mwanaume yaani nawe uwe na dudu linalosimama na kuwezesha kutia mimba na kuzalisha au!!??

Uwe sawa na Mwanaume yaani nawe uwe kichwa cha nyumba au familia au!!??
 
Nitajibu kifupi tu.. Kwamba, mwanamke unapoolewa huwa unatoka mikononi mwa wazazi na kuingia mikononi mwa mume. Hivyo yote ulokua unawaskiza wazazi yanahamia kwa mume isipokua kwa mume kuna nyongeza. Heshima, usikivu, uvumilivu nk vyote vinahamia kwa mume. Hivyo hupaswi kushindana na mume kama vile ambavyo hushindani na wazazi. Mfano huwa tunasema mzazi hakosei. Na hata akikosea huwezi kumsema kakosea Bali atajua Na ataseti mambo. Si jukumu kuanza kukomaa eti mzazi akuombe msamaha. Hivyo hivyo kwa mume. Mwendee kwa unyenye kevu.

Tatizo mnaona kuwa kumnyenyekea mwanaume ni utumwa. Eti haki sawa na hakuna aliye Juu ya mwingine. Hivyo kama unavyowatreat wazazi wako na mume awe hivyo hivyo. Tena uongeze zaidi ikibidi maana yeye ndo wako wa maisha.

Mambo ni Mengi ILA chukua huo mfano then utathmini
Asante mkuu. Nadhani hapa umejibu kila kitu.
Chanzo kikuu cha ndoa nyingi balaa linaanza mwanamke akishazaa tu. Sijui dharau na kiburi vinatokeaga wapi aisee.

Okay wanasemaga jukumu la kulea familia ni la baba. Its okay na ni sawa kabisa. Sasa kama mimi jukumu langu ni kulea familia hasa hasa financialy ni kwa nini mwananke wangu akafanye kazi sasa. Yaani nimlipe house girl wakati mke wangu yupo. No thank you. Kama tumeamua,sote tifanye kazi then vitu vingine lazima uingie gharama tu aisee
 
Sasa kama mkeo anakusaidia ya kwako kwanini na wewe usimsaidie ya kwake?? Ukitaka mwanamke ambaye atafanya majukumu ya nyumbani bila vikwazo vyovyote basi hakikisha umeoa mwanamke ambaye hajasoma ili awe mama wa nyumbani na wewe uwe unamhudumia kwa kila kitu hapo ndiyo itakuwa sawa!!
Mwanamke mwerevu hata kama ana cheo kikubwa kiazi gani lakini anajua majukumu yake ndani ya ndoa ni yapi. Hawezi kuruhusu upuuzi huu unaoutetea. Kuna kazi ambazo baba anaweza kusaidia home kama usafi wa mazingira nje ya nyumba au mifugo. Lakini eti mumeo aingie jikoni kupika au kufua nguo au kudeki. Hapana aisee. Tutawakimbia tu muolewe na hizo degree zenu
 
Back
Top Bottom