Hivi wanaume tunakwama wapi? Inakuwaje ujichubue?

Hivi wanaume tunakwama wapi? Inakuwaje ujichubue?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
1617708831459.png

Siku za karibuni kumeibuka wimbi la wanaume wengi kujichubua, hasa wanaume wa Kinondoni.
Walianza wanamuziki wa Kikongo, lakini sasa hata wanafunzi wanajichubua hasa wa vyuo.
Tunakwama wapi jamani?
 
Back
Top Bottom