Huyu kaka nipo nae ktk mahusiano huu mwaka tutatimiza miaka 3 Mungu akipenda. Yeye ni mkubwa kwa miaka 13. Anasifa zote za mwanaume anaejitambua. Anajua kucare, ana huruma, mpole, haongei sana labda akiwa amekasirika, sio mbahili kutoa pesa, ana heshima ila tatizo lake moja tu ana sehem za siri ndogo.
Kwanza Pole sana, pili tambua kua kila mahusiano hayakosi kachangamoto fulani kanako ibuka na kupotea au kanakojirudia rudia, wengine wanaona uchafu fanya hili...wengine lile..wengine hawataki nyonya mboo au K..wivuuu wasiojua kukisi wale kama mabundi..kina koromaso etc ilihali changamoto ni sehemu ya maisha ya mapenzi, swala ni je una capacity ya kuvumilia au no, usinambie habari za mpaka kifo sijui nini cause i dont believe in that naamini katika majaaliwa ya mungu na kuweka juhudi katika penzi.
Tukirudi kwenye mada naanza kwa kusema, The fact that umewahi cheat wakati upo kwenye mahusiano nae tena mara kadhaa kama unavyosema ""haikudumu sana""ni fact kwamba kuna kitu kilpeleke ambacho kinatoa tafsiri kua mapenzi yako kwako hayakua good enough na ulikua hufai kuaminiwa, poor guy kalambwa kisogo kwa mgogngo wa chupa japa, hii pekee inahalalisha haki ya yeye kuto kukuamini japo hajui ulivyowahi mtendea. Anyways its good that umebadilika, lets assume umekua gilrfriend mwema na baki hivyo, na tuendelee kuangalia tatizo lililopo.
Kama mwanaume huu ni uzoefu wangu kuhusu kutojiamini hasa katika maumbile. Ukiachana kua hili ni swala la maumbile lakini pia lina mwingiliano na sakolojia mda mwingine, unaweza kuta mtu anamboo nchi 7 ambayo tayari inaingia kwenye tafsiri ya mboo kubwa kwa mujibu wa jinsi porn industry ilivyo tujengea dhana hiyo, na bado ukakuta huyu mtu anaquestion whether he is good enough or not, cause jib lake linategemeana na mambo mengi. Mwenyewe na mboo yangu kubwa nimewahi pitia hii episode enzi za ujana mpaka nilipoifahamu elimu ya mapenzi vizuri na niliposifiwa sifiwa sana ndo nikatulia. Huyu bwana je, amewahi toa neno lolote au gusia chochote kuhusu mtazamo wake juu ya ukubwa wa uume wake?
Hapa ndo tutatambua insecurity yake, usidhanie tu, dhana ni uongo mana ubongo ni very complex. Unaweza kuta uume wake mdogo ni kwa tafsiri yako ukilinganisha na mboo ulizopita nazo nyuma?
Hii inamaanisha nini katika saikolojia ya haya mambo ukubwa ni relative term inayochangiwa na mambo mengi ikiwemo mtazamo binafsi kulingana na mambo unayoyajua kuhusu maumbile au jamii inavyotafsiri size (Sex education ndo inapokua muhimu). Unaweza kuta mshkaji anajiona ni mtu mwenye maumbile ok au average au makubwa unleass ni kama kipunje, na ukashangazwa miaka yote hiyo tatizo lenu likawa halitokani na hisia zako za maumbile bali ikawa ni ishu ya uaminifu, kwamba haamini kua humpendi as wengi hawajui au hawatakagi kuonesha upendo wao kisa walikuzwa na narrative zile za akijua ataniumiza, Kitu kisicho na mashiko kabisa.
Am sorry nabwabwaja but i hope umeshagundua kua ninachojaribu kuzungumza hapa ni kwamba dawa ni kukaa chini na kuzungumza haya yote yanayowasibu maana yanaharibu penzi lenu tamu, tena kwa ukweli ulio uchi kabisaaaa, eleza how much unavyompenda na jinsi reactions zake zinavyokuweka mbali nae siku hadi siku..ataumia ila atakupenda kwa ukweli wako na he will fight for that love. Na kama amedisplay hizi insecurities za uume explicityly mwambie mboo yake inakutosheleza na hausemi ili kumfariji ila ni kweli, and be honest to your self kama haikutosherezi leta tena hiyo ni mada ya siku nyingine. Mwishowe, usicheat tena because that makes you a bad girlfriend na mtu usiefaa kuaminiwa. Naamini utapata hata neno moja muhimu hapa.
Ps. Kipapuro