Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Miaka mitatu inaendaHiv yeye kakaa nae mda gan vile?๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka mitatu inaendaHiv yeye kakaa nae mda gan vile?๐๐๐๐๐
Hii mitandao sio mizuri kabsaa๐๐๐๐ yan anaekushauri usifanye kitu flan kuwa ni ujinga kumbe yeye ndio bingwa wa kukifanya nyuma ya keyboardMiaka mitatu inaenda
Kwasababu keshakutana na kubwa kulikoKwani wewe ulijuaje kwamba ana sehemu ndogo za Siri?
Kwa maelezo yako, siku huyo jamaa akifulia utamuacha
KashajisahauHii mitandao sio mizuri kabsaa๐๐๐๐ yan anaekushauri usifanye kitu flan kuwa ni ujinga kumbe yeye ndio bingwa wa kukifanya nyuma ya keyboard
Thread closed, Danga la taifaHivi unaishi vipi na mwanaume miaka 2 bila ndoa?
Ujue kuna mambo mengine tunajitakia wenyewe. Hivi mwanamke unaanzaje kuishi na mwanaume miaka mi2 bila ndoa hata Pete ya uchumba tu hajakuvisha mnaishi pamoja miaka yote mi2. Hamtaki kuoana basi zaeni lakin ata kuzaa mmegoma. Unachezewa. Unapotezewa mda. Mtu uko nae toka uko mdogo mpk unazeeka...www.jamiiforums.com
Daima njia ya mnafiki huwa ni fupiKashajisahau
Hivi heshima zangu zote hapa JF umezijuaje mkuu?Mkuu na heshima zako zote hapa jf unafanya huo uchafu wa kula marinda kweli???
Kwa nn usimpeleke polis huyo mwizi wako kuliko kumla kiboga??
Daaah sikutegemea comment Kama hii kutoka kwa expert Kama wewe mzee mwenzangu
Mleta mada aspoelewa nahapa analake Jambo,Kwanza Pole sana, pili tambua kua kila mahusiano hayakosi kachangamoto fulani kanako ibuka na kupotea au kanakojirudia rudia, wengine wanaona uchafu fanya hili...wengine lile..wengine hawataki nyonya mboo au K..wivuuu wasiojua kukisi wale kama mabundi..kina koromaso etc ilihali changamoto ni sehemu ya maisha ya mapenzi, swala ni je una capacity ya kuvumilia au no, usinambie habari za mpaka kifo sijui nini cause i dont believe in that naamini katika majaaliwa ya mungu na kuweka juhudi katika penzi.
Anahitaji msaada wa kisaikolojia,Huyu kaka nipo nae ktk mahusiano huu mwaka tutatimiza miaka 3 Mungu akipenda. Yeye ni mkubwa kwa miaka 13. Anasifa zote za mwanaume anaejitambua. Anajua kucare, ana huruma, mpole, haongei sana labda akiwa amekasirika, sio mbahili kutoa pesa, ana heshima ila tatizo lake moja tu ana sehem za siri ndogo.
Umefufua kabuliHivi unaishi vipi na mwanaume miaka 2 bila ndoa?
Ujue kuna mambo mengine tunajitakia wenyewe. Hivi mwanamke unaanzaje kuishi na mwanaume miaka mi2 bila ndoa hata Pete ya uchumba tu hajakuvisha mnaishi pamoja miaka yote mi2. Hamtaki kuoana basi zaeni lakin ata kuzaa mmegoma. Unachezewa. Unapotezewa mda. Mtu uko nae toka uko mdogo mpk unazeeka...www.jamiiforums.com
Na kiuhalisia mwanamke hachepuki na ambae hajampenda. Lazma alimpenda huyo mchepuko kuliko jamaa.Una Akili kubwa Sana mkuu,mleta mada anaiponda pesa huenda ndio ilimfanya aachane namchepuko wake wa awali alidhani wanaume wote nisawa
Ila kweli mkuu,kweli Sana ,tupendane jamani japo kinafiki,Tu ili siku ziende kuepusha majanga yakujinyonga nakuchomana Moto,hivi ulishawahi kufikiria mpenzi wajoyce kiria akiwa hayuko serious naanavyosifiwa halafu imagine akawa hayuko serious najoyce itakuajeNa kiuhalisia mwanamke hachepuki na ambae hajampenda. Lazma alimpenda huyo mchepuko kuliko jamaa.
Kikubwa mi namashauri ajaribu kumsifia mwenzi wake, wanaume wengi ni wapenda sifa hasa za kwenye 6ร6.
Unamfundisha kuwa mnafiki Sasa!!Kwanini usiiondoe hiyo insecure yake.
Je mkimaliza tendo huwa unamaifia au kumwambia kua umeridhika??
Kama yeye hajiamini basi si rahisi kukuuliza ila wewe sasa kwakua umemjua jinsi anavojihisi ni wajibu wako walau kumsifia. Ila kama mnaenda kibubu bubu basi ndio maana jamaa anahisi huridhiki.
Kusema humpendei pesa acha kudanganya umma, hapo juu umemsiafia juu ya kutokua bahili. Huenda huo mchepuko uliuacha kisa ni bahili.
Vunja ukimya zungumza na mwenzio.
Kilichofanya umcheat (japo hakujua) ndicho kinampa wasiwasi asikuamini.Huyu kaka nipo nae ktk mahusiano huu mwaka tutatimiza miaka 3 Mungu akipenda. Yeye ni mkubwa kwa miaka 13. Anasifa zote za mwanaume anaejitambua. Anajua kucare, ana huruma, mpole, haongei sana labda akiwa amekasirika, sio mbahili kutoa pesa, ana heshima ila tatizo lake moja tu ana sehem za siri ndogo.
Kua na sehem za siri ndogo ata hainisumbui kwa sababu mimi nakua satisfied hakuna tatizo ndo mana npo nae miaka yote hyo.
Mimi binafsi nampenda tena sna japo nilimcheat mara moja ila hakuwai kufaham kama nilimcheat. Na yenyewe ata sijadumu sana na uyo niliekuwa namcheat nae tukaachana. Ila toka tumekua engaged sijawai kumcheat tena. Nmetulia sana mpk mwenyewe najishangaa.
Ila yeye hajimini kabisa. Haamini kama nampenda kwa dhati kutoka moyoni, anahisi nipo nae kwasababu ya pesa zake. Tukikorofishana ata kidogo tu ndo neno lake hilo kua npo nae kwasababu ya pesa zake tu. Haya maneno yake yananiumiza sana kwasababu sio kweli kama nampendea pesa. Akitulia anaomba msamaha.
Tukikorofishana tena anarudia maneno haya haya. Yamekua kama wimbo. Tena wimbo unazoeleka lakini haya maneno yake sijawai kuyazoea. Mi nampenda kweli kweli kutoka moyoni mpk akipatwa na kitu kibaya roho inaniuma nakua naumia kama kimenipata mimi. Na mimi sijawai kua na huruma kwa mwanaume yoyote niliekuwa nae kwenye uhusiano,, yeye ndo wa kwanza.
Mpk sasa naanza kuhisi labda kua na sehem ndogo za siri ndo kunamfnya afikirie hawezi kupendwa yeye kama yeye. Anakosa kujiamini katika mahusano. Hivi na nyie wanaume wa umu wenye sehem ndogo mnakua pia hamjiamini kama huyu. Mnahisi kama hamuezi kupendwa nyie kama nyie?
Kuwa na mwanaume mwenye gubu inahitaji uvumilivu sana, mvumilie tu hivyohivyo.
On top of that,amejuaje Kua jamaa anamaumbile madogo