Hivi wanaume wenye maumbile madogo ya sehemu za siri, yanawafanya mkose kujiamini katika mapenzi?

Hivi wanaume wenye maumbile madogo ya sehemu za siri, yanawafanya mkose kujiamini katika mapenzi?

Mwenyewe umesema umewahi kumcheat sasa unร taka na sie tuamini unampenda kweli? Binafsi hapana nafkiri umefata pesa zake tu kama mwamba anavokuchana ukweli maana anakufahamu vzuri kuliko unavojifahamu
 
Mkuu na heshima zako zote hapa jf unafanya huo uchafu wa kula marinda kweli???
Kwa nn usimpeleke polis huyo mwizi wako kuliko kumla kiboga??

Daaah sikutegemea comment Kama hii kutoka kwa expert Kama wewe mzee mwenzangu
Hivi heshima zangu zote hapa JF umezijuaje mkuu?
 
Kwanza Pole sana, pili tambua kua kila mahusiano hayakosi kachangamoto fulani kanako ibuka na kupotea au kanakojirudia rudia, wengine wanaona uchafu fanya hili...wengine lile..wengine hawataki nyonya mboo au K..wivuuu wasiojua kukisi wale kama mabundi..kina koromaso etc ilihali changamoto ni sehemu ya maisha ya mapenzi, swala ni je una capacity ya kuvumilia au no, usinambie habari za mpaka kifo sijui nini cause i dont believe in that naamini katika majaaliwa ya mungu na kuweka juhudi katika penzi.
Mleta mada aspoelewa nahapa analake Jambo,
 
Huyu kaka nipo nae ktk mahusiano huu mwaka tutatimiza miaka 3 Mungu akipenda. Yeye ni mkubwa kwa miaka 13. Anasifa zote za mwanaume anaejitambua. Anajua kucare, ana huruma, mpole, haongei sana labda akiwa amekasirika, sio mbahili kutoa pesa, ana heshima ila tatizo lake moja tu ana sehem za siri ndogo.
Anahitaji msaada wa kisaikolojia,
 
Una Akili kubwa Sana mkuu,mleta mada anaiponda pesa huenda ndio ilimfanya aachane namchepuko wake wa awali alidhani wanaume wote nisawa
Na kiuhalisia mwanamke hachepuki na ambae hajampenda. Lazma alimpenda huyo mchepuko kuliko jamaa.

Kikubwa mi namashauri ajaribu kumsifia mwenzi wake, wanaume wengi ni wapenda sifa hasa za kwenye 6ร—6.
 
Na kiuhalisia mwanamke hachepuki na ambae hajampenda. Lazma alimpenda huyo mchepuko kuliko jamaa.

Kikubwa mi namashauri ajaribu kumsifia mwenzi wake, wanaume wengi ni wapenda sifa hasa za kwenye 6ร—6.
Ila kweli mkuu,kweli Sana ,tupendane jamani japo kinafiki,Tu ili siku ziende kuepusha majanga yakujinyonga nakuchomana Moto,hivi ulishawahi kufikiria mpenzi wajoyce kiria akiwa hayuko serious naanavyosifiwa halafu imagine akawa hayuko serious najoyce itakuaje
 
Kwanini usiiondoe hiyo insecure yake.
Je mkimaliza tendo huwa unamaifia au kumwambia kua umeridhika??

Kama yeye hajiamini basi si rahisi kukuuliza ila wewe sasa kwakua umemjua jinsi anavojihisi ni wajibu wako walau kumsifia. Ila kama mnaenda kibubu bubu basi ndio maana jamaa anahisi huridhiki.

Kusema humpendei pesa acha kudanganya umma, hapo juu umemsiafia juu ya kutokua bahili. Huenda huo mchepuko uliuacha kisa ni bahili.

Vunja ukimya zungumza na mwenzio.
Unamfundisha kuwa mnafiki Sasa!!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Huyu kaka nipo nae ktk mahusiano huu mwaka tutatimiza miaka 3 Mungu akipenda. Yeye ni mkubwa kwa miaka 13. Anasifa zote za mwanaume anaejitambua. Anajua kucare, ana huruma, mpole, haongei sana labda akiwa amekasirika, sio mbahili kutoa pesa, ana heshima ila tatizo lake moja tu ana sehem za siri ndogo.

Kua na sehem za siri ndogo ata hainisumbui kwa sababu mimi nakua satisfied hakuna tatizo ndo mana npo nae miaka yote hyo.

Mimi binafsi nampenda tena sna japo nilimcheat mara moja ila hakuwai kufaham kama nilimcheat. Na yenyewe ata sijadumu sana na uyo niliekuwa namcheat nae tukaachana. Ila toka tumekua engaged sijawai kumcheat tena. Nmetulia sana mpk mwenyewe najishangaa.

Ila yeye hajimini kabisa. Haamini kama nampenda kwa dhati kutoka moyoni, anahisi nipo nae kwasababu ya pesa zake. Tukikorofishana ata kidogo tu ndo neno lake hilo kua npo nae kwasababu ya pesa zake tu. Haya maneno yake yananiumiza sana kwasababu sio kweli kama nampendea pesa. Akitulia anaomba msamaha.

Tukikorofishana tena anarudia maneno haya haya. Yamekua kama wimbo. Tena wimbo unazoeleka lakini haya maneno yake sijawai kuyazoea. Mi nampenda kweli kweli kutoka moyoni mpk akipatwa na kitu kibaya roho inaniuma nakua naumia kama kimenipata mimi. Na mimi sijawai kua na huruma kwa mwanaume yoyote niliekuwa nae kwenye uhusiano,, yeye ndo wa kwanza.

Mpk sasa naanza kuhisi labda kua na sehem ndogo za siri ndo kunamfnya afikirie hawezi kupendwa yeye kama yeye. Anakosa kujiamini katika mahusano. Hivi na nyie wanaume wa umu wenye sehem ndogo mnakua pia hamjiamini kama huyu. Mnahisi kama hamuezi kupendwa nyie kama nyie?
Kilichofanya umcheat (japo hakujua) ndicho kinampa wasiwasi asikuamini.
 
Back
Top Bottom