HIVI WANAUME WOTE WALIOOA WANAKUTANA NA HAYA MASWAHIBU AU NI BAADHI YA WANAUME HUKO KWENYE NDOA ZENU?

HIVI WANAUME WOTE WALIOOA WANAKUTANA NA HAYA MASWAHIBU AU NI BAADHI YA WANAUME HUKO KWENYE NDOA ZENU?

VINICIOUS JR

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
208
Reaction score
518
Bila shaka mko poa wana jukwaa na wale mabingwa wanaendaelea kusherekea ubingwa wao.HALAA MADRID. Moja kwa moya kwenye mada, wakuu nina rafiki angu kaoa mwana mke kahitimu chuo huko daslam miaka mitatu iliopita nadhani ni diploma ya uwalimu ila bado hajeajiriwa sasa huyu mwanamke nifull jeuri yani jamaa akiacha laki, 20 au 30 anaipiga yote na hataki kuulizwa kuhusu matumizi akiulizwa anakua mbogo, ndani ni full kununa anaweza ambiwa mke naomba remote lakini hasilete, wakipishana kauli kidogo anadai wagawane vitu aende kwao Daslam wakati vitu kavikuta na ni mama tu wa nyumbani, kadukua mawasiliano ya mume wake yani huyo mke akinasa mawasiliano ya mchepuko wa mumewe ni full mafumbo. Mfano naona sahizi upo kwenye penzi jipya. Sasa jamaa kagundua juzi kuwa mke wake kamdukua yani jamaa kamind sanaaa yani calls na texs zote ziwe za siri(binafsi) ,za kipuuzi, za wana,ndugu na hata boss mke anaziona. Yani boss akimpgia jamaa kumpa hela mke anajua, akipishana kauli na boss anajua. ukijumlisha na vitabia vingne vya mke wake mwana anabaki kujilaumu tu kwanini alioa, yani aliyoyatarajia kwenye ndoa ni tofauti anayoyakuta mke ni full kuonesha makucha, kuna mda wakigombana dem anachukua kisu na kutishia kumchoma jamaa , anadai akiachana na huyu haji tena kuoa. Kwahyo mliopo kwenye ndoa haya yote wanaume inabidi uyavumilie yani unafanya kazi ngumu unalipa kodi unamlisha, unamvisha akitaka kutembelea kwao unampa nauli mwisho wa siku anakuzarau!!! Namuonea hadi huruma yule mwamba. Wanaume wote mungu awape maisha marefu.
 
Bila shaka mko poa wana jukwaa na wale mabingwa wanaendaelea kusherekea ubingwa wao.HALAA MADRID. Moja kwa moya kwenye mada, wakuu nina rafiki angu kaoa mwana mke kahitimu chuo huko daslam miaka mitatu iliopita nadhani ni diploma ya uwalimu ila bado hajeajiriwa sasa huyu mwanamke nifull jeuri yani jamaa akiacha laki, 20 au 30 anaipiga yote na hataki kuulizwa kuhusu matumizi akiulizwa anakua mbogo, ndani ni full kununa anaweza ambiwa mke naomba remote lakini hasilete, wakipishana kauli kidogo anadai wagawane vitu aende kwao Daslam wakati vitu kavikuta na ni mama tu wa nyumbani, kadukua mawasiliano ya mume wake yani huyo mke akinasa mawasiliano ya mchepuko wa mumewe ni full mafumbo. Mfano naona sahizi upo kwenye penzi jipya. Sasa jamaa kagundua juzi kuwa mke wake kamdukua yani jamaa kamind sanaaa yani calls na texs zote ziwe za siri(binafsi) ,za kipuuzi, za wana,ndugu na hata boss mke anaziona. Yani boss akimpgia jamaa kumpa hela mke anajua, akipishana kauli na boss anajua. ukijumlisha na vitabia vingne vya mke wake mwana anabaki kujilaumu tu kwanini alioa, yani aliyoyatarajia kwenye ndoa ni tofauti anayoyakuta mke ni full kuonesha makucha, kuna mda wakigombana dem anachukua kisu na kutishia kumchoma jamaa , anadai akiachana na huyu haji tena kuoa. Kwahyo mliopo kwenye ndoa haya yote wanaume inabidi uyavumilie yani unafanya kazi ngumu unalipa kodi unamlisha, unamvisha akitaka kutembelea kwao unampa nauli mwisho wa siku anakuzarau!!! Namuonea hadi huruma yule mwamba. Wanaume wote mungu awape maisha marefu.
Nukuu yangu ="KAMA ULIMKUTA SIO BIKRA BASI NI MALAYA KAMA MALAYA WENGINE"
bado nasisitiza fuateni ushauri wa dronedrake
 
Bila shaka mko poa wana jukwaa na wale mabingwa wanaendaelea kusherekea ubingwa wao.HALAA MADRID. Moja kwa moya kwenye mada, wakuu nina rafiki angu kaoa mwana mke kahitimu chuo huko daslam miaka mitatu iliopita nadhani ni diploma ya uwalimu ila bado hajeajiriwa sasa huyu mwanamke nifull jeuri yani jamaa akiacha laki, 20 au 30 anaipiga yote na hataki kuulizwa kuhusu matumizi akiulizwa anakua mbogo, ndani ni full kununa anaweza ambiwa mke naomba remote lakini hasilete, wakipishana kauli kidogo anadai wagawane vitu aende kwao Daslam wakati vitu kavikuta na ni mama tu wa nyumbani, kadukua mawasiliano ya mume wake yani huyo mke akinasa mawasiliano ya mchepuko wa mumewe ni full mafumbo. Mfano naona sahizi upo kwenye penzi jipya. Sasa jamaa kagundua juzi kuwa mke wake kamdukua yani jamaa kamind sanaaa yani calls na texs zote ziwe za siri(binafsi) ,za kipuuzi, za wana,ndugu na hata boss mke anaziona. Yani boss akimpgia jamaa kumpa hela mke anajua, akipishana kauli na boss anajua. ukijumlisha na vitabia vingne vya mke wake mwana anabaki kujilaumu tu kwanini alioa, yani aliyoyatarajia kwenye ndoa ni tofauti anayoyakuta mke ni full kuonesha makucha, kuna mda wakigombana dem anachukua kisu na kutishia kumchoma jamaa , anadai akiachana na huyu haji tena kuoa. Kwahyo mliopo kwenye ndoa haya yote wanaume inabidi uyavumilie yani unafanya kazi ngumu unalipa kodi unamlisha, unamvisha akitaka kutembelea kwao unampa nauli mwisho wa siku anakuzarau!!! Namuonea hadi huruma yule mwamba. Wanaume wote mungu awape maisha marefu.
Ok Mr member
 
Bila shaka mko poa wana jukwaa na wale mabingwa wanaendaelea kusherekea ubingwa wao.HALAA MADRID. Moja kwa moya kwenye mada, wakuu nina rafiki angu kaoa mwana mke kahitimu chuo huko daslam miaka mitatu iliopita nadhani ni diploma ya uwalimu ila bado hajeajiriwa sasa huyu mwanamke nifull jeuri yani jamaa akiacha laki, 20 au 30 anaipiga yote na hataki kuulizwa kuhusu matumizi akiulizwa anakua mbogo, ndani ni full kununa anaweza ambiwa mke naomba remote lakini hasilete, wakipishana kauli kidogo anadai wagawane vitu aende kwao Daslam wakati vitu kavikuta na ni mama tu wa nyumbani, kadukua mawasiliano ya mume wake yani huyo mke akinasa mawasiliano ya mchepuko wa mumewe ni full mafumbo. Mfano naona sahizi upo kwenye penzi jipya. Sasa jamaa kagundua juzi kuwa mke wake kamdukua yani jamaa kamind sanaaa yani calls na texs zote ziwe za siri(binafsi) ,za kipuuzi, za wana,ndugu na hata boss mke anaziona. Yani boss akimpgia jamaa kumpa hela mke anajua, akipishana kauli na boss anajua. ukijumlisha na vitabia vingne vya mke wake mwana anabaki kujilaumu tu kwanini alioa, yani aliyoyatarajia kwenye ndoa ni tofauti anayoyakuta mke ni full kuonesha makucha, kuna mda wakigombana dem anachukua kisu na kutishia kumchoma jamaa , anadai akiachana na huyu haji tena kuoa. Kwahyo mliopo kwenye ndoa haya yote wanaume inabidi uyavumilie yani unafanya kazi ngumu unalipa kodi unamlisha, unamvisha akitaka kutembelea kwao unampa nauli mwisho wa siku anakuzarau!!! Namuonea hadi huruma yule mwamba. Wanaume wote mungu awape maisha marefu.
Pole kwa kuanika madhaifu ya mkeo jukwaani.

Kifupi we hujaoa bali umeolewa na jini
 
Mosi, kakutuma uje umsemee huku jamaa? Mbona kama wewe ndio mwenye mke?

Pili, we unaumia ukiwa ni kiungo sehemu ya jamaa au jirani au blaza ake jamaa?

Tatu, ni nini kinakufanya ufuatilie mambo ya watu na ndoa zako to that extent ya kujua jamaa anawekewa mafumbo now au bimdada kanuna usiku huu huko?

Nne, ulichanga shilingi ngapi ya mahari jamaa akioa?

Tano, ikiwa jamaa ataachana na mkewe wewe kama wewe utapata faida gani au utahamia kwa jamaa?

Sita, jaribu kupangilia uandishi mkuu.
 
Mosi, kakutuma uje umsemee huku jamaa? Mbona kama wewe ndio mwenye mke?

Pili, we unaumia ukiwa ni kiungo sehemu ya jamaa au jirani au blaza ake jamaa?

Tatu, ni nini kinakufanya ufuatilie mambo ya watu na ndoa zako to that extent ya kujua jamaa anawekewa mafumbo now au bimdada kanuna usiku huu huko?

Nne, ulichanga shilingi ngapi ya mahari jamaa akioa?

Tano, ikiwa jamaa ataachana na mkewe wewe kama wewe utapata faida gani au utahamia kwa jamaa?

Sita, jaribu kupangilia uandishi mkuu.
Acheni umachino..jamaa kaja anaomba ushauri.iwe yeye indirect ama rafiki yake kweli haina shida.
.Kuna marafiki na ndugu walioshibana huwa wapo close San kiasi wanashea changamoto kuombana ushauri..so kama yamemfika shingoni laZima aseme.na ye hajui afanye Nini ndio maana kalileta huku,penye wengi hapakosekani suluhisho.

Nionavyo mie huyo mke hajakomaa kiakili na hajui anachokitaka ma alicho nacho pia.siku alikua ataelewa.
Kwa maelezo nimeona hivo,siwezi kwenda mbali zaidi maana hayupo mwanamke nae akaeleza upande wa pili.
 
New
Add bookmark
#1

Bila shaka mko poa wana jukwaa, na wale mabingwa wanaendaelea kusherekea ubingwa wao.HALAA MADRID.

Moja kwa moya kwenye mada,

wakuu nina rafiki angu kaoa mwanamke kahitimu chuo huko daslam miaka mitatu iliopita, nadhani ni diploma ya uwalimu, ila bado hajeajiriwa.

sasa huyu mwanamke nifull jeuri,yani jamaa akiacha laki, alfu 20 au 30 anaipiga yote, na hataki kuulizwa kuhusu matumizi. akiulizwa anakua mbogo.

ndani ni full kununa, anaweza ambiwa mke naomba remote lakini hasilete. wakipishana kauli kidogo anadai wagawane vitu aende kwao Daslam, wakati vitu kavikuta na ni mama tu wa nyumbani.

kadukua mawasiliano ya mume wake, yani huyo mke akinasa mawasiliano ya mchepuko wa mumewe ni full mafumbo. Mfano naona sahizi upo kwenye penzi jipya. Sasa jamaa kagundua juzi kuwa mke wake kamdukua yani jamaa kamind sanaaa yani calls na texs zote ziwe za siri(binafsi) ,za kipuuzi, za wana,ndugu na hata boss mke anaziona. Yani boss akimpgia jamaa kumpa hela mke anajua, akipishana kauli na boss anajua.

ukijumlisha na vitabia vingne vya mke wake mwana anabaki kujilaumu tu kwanini alioa, yani aliyoyatarajia kwenye ndoa ni tofauti anayoyakuta mke ni full kuonesha makucha,.

kuna mda wakigombana dem anachukua kisu na kutishia kumchoma jamaa ,

anadai akiachana na huyu haji tena kuoa. Kwahyo mliopo kwenye ndoa haya yote wanaume inabidi uyavumilie yani unafanya kazi ngumu unalipa kodi unamlisha, unamvisha akitaka kutembelea kwao unampa nauli mwisho wa siku anakuzarau!!!

Namuonea hadi huruma yule mwamba. Wanaume wote mungu awape maisha marefu.
 
Back
Top Bottom