Hivi wanawake kuwakataa wanaume kiugomvi wanapotongozwa ni Afrika tu au ni janga la kidunia?

Hivi wanawake kuwakataa wanaume kiugomvi wanapotongozwa ni Afrika tu au ni janga la kidunia?

Harafu uwe una angalia na mwanamke wa kutongoza ,
Wanaume huwa tuna angalia tu tunajua kuwa hapa nikitupia ndoano si wezi kosa hata dagaa[emoji1]
 
Ona kenge hii, tafuta fedha, fedha iongee sio wewe.
Kwenye orodha ya watu matajiri Tanzania upo wangapi?
Ukishapata hela ya kubadilisha mboga na kujaza mafuta unaona umetoboa maisha. Ulichoandika sijapendezwa hata kama unahela kuwa na heshima na watu.
Unapomuona mlinzi, mshona viatu, fundi simu au dada wa kazi hata konda ni watu muhimu sana.
Unahela na una kiatu kimeharibika, utaweka pesa zako zikishonee kiatu?
Una hela lakini badi utaugua au kufa huoni wewe ni mjinga sana wakati unapesa za kununua uhai ili uendelee kuishi.
 
Kwenye orodha ya watu matajiri Tanzania upo wangapi?
Ukishapata hela ya kubadilisha mboga na kujaza mafuta unaona umetoboa maisha. Ulichoandika sijapendezwa hata kama unahela kuwa na heshima na watu.
Unapomuona mlinzi, mshona viatu, fundi simu au dada wa kazi hata konda ni watu muhimu sana.
Unahela na una kiatu kimeharibika, utaweka pesa zako zikishonee kiatu?
Una hela lakini badi utaugua au kufa huoni wewe ni mjinga sana wakati unapesa za kununua uhai ili uendelee kuishi.
We unazan huyo anaela wenye ela wanaelewa huu uzi umewagusa Sana maana some time mtu anakuwa na fedha. Yuko na gar yake tuh anamuona mdada anaamua kujisogeza demu anagoma kila kitu anachomwambia mpaka anawaza nilikuwa naamini nkipata fedha kila kitu kitaenda fresh ,mi nakuambia mwanamke kiumbe cha ajabu anaweza kataa kuku akaenda Kula dagaa
 
Umemoenda sana tatizo. Mpaka unakuwa ukimwona akili yako haifanyi kazi kwa mantiki.

Get busy man, atakuheshimu...ushirikiano hauna haja kama ha add kitu katika kazi au mizunguko yako.

Mi mwanamke akinikataa, nakuwa busy tu, naongeza exellence ktk mambo yangu, na sitaki hata stori zaidi ya salamu ya kikakamavu,like HABARI? Huku nikiwa ktk motion. Dunia pana mkuu,usijibane bane.

K
 
Mimi naamini mwanamke anaweza kukukataa kabisa na mkaendelea kushirikiana tena bila changamoto yeyote.

Fikiria mko ofisi moja ,mnafanya biashara pamoja,mnasali pamoja, mnasoma pamoja n.k.mtu kakutongoza afu unamkataa kama Pepo au unamjibu vibaya, mwanaume unakuta Hanashida kashapotezea lakin unakuta mwanamke Hana Amani kabisa anaishi kama kunakaugomvi flani .

Mimi siamini kwamba eti kumtaa mtu vibaya kunaonyesha msisitizo ya kwamba hutaki,ziko njia nyingi za kumuonyesha mwanaume msisitizo kwamba humuitaji lakin siyo majibu mabaya.

Na hatakama unamzarau mwanaume kiasi gani au humpendi kiasi gani au unaona Hana adhi yakuwa na wewe. Umetongozwa hutaki usitumie kama njia ya kumuonesha jinsi gani unavyomzarau kataa Kwa hekima, mwanaume ni mtu Haya ni maisha huwezijua kesho. kunawatu Wana visasi unaezamchukulia simple ukatoka na mauti.

Labda niwaambie wanawake kumkataa mwanaume bila kugombana naye na ukaendelea kushirikiana naye, utaonyesha upekee wa ali ya juu, utaonyesha ni mwanamke jasiri usiyeyumbishwa. Mwanaume anaeshimu Sana maamuzi unayochukua unapotongozwa, mambo ya kugombana na mtu wakati ni Jambo linaloepukika ni upumbavu.

Wanawake wekeni akilini kuwa kumkataa mtu Haina maana ya kwamba ni mbaya au siyo handsome
Hapana, ni kwamba hamwendani Tu na ndo maana wewe ukimkataa utakuta kesho Yuko na mwingine saa nyingine mzuri kuliko wewe, kinachomaanisha kwamba mlikuwa hamwendani.
Si bure kuna jambo limekusibu 😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom