Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana wivu sana Hawa chipukizi!tukajilie fungate sieUsimuamini, anataka kuvunja uchumba wetu, mwambie tunaenda honeymoon ♥️
Huyo mwanamke achana nae,anajishitukia tu mwenyewe,we endelea na mambo yakoMwamposa anakazi sana
Mwalimu wa kiswahili ushafika 🤣🤣🤣Mwalimu wa kiswahili
Sio ali ya juu ni hali ya juu 😀😀😀
Sisy tulia kwanza maokoto yaingie mbona unaniharibia lkn? 🤣🤣🤣🤣Unaibiwa darling
🤣🤣🤣 Akamilishe fantasy yakeUnajipigia debe 🤣🤣🤣 mzee Hana baya ujue usituponde sisi mzee anataka 3some
😂😂😂Mwalimu wa kiswahili ushafika 🤣🤣🤣
Kweli kabisaYeah hata mimi sihitaji rafiki wa kike, madem sawa tena lazima nipite nap vyenginevyo urafiki unaisha faster
Kwenye orodha ya watu matajiri Tanzania upo wangapi?Ona kenge hii, tafuta fedha, fedha iongee sio wewe.
Ni mwendo wa kuharibiana tuSisy tulia kwanza maokoto yaingie mbona unaniharibia lkn? 🤣🤣🤣🤣
We unazan huyo anaela wenye ela wanaelewa huu uzi umewagusa Sana maana some time mtu anakuwa na fedha. Yuko na gar yake tuh anamuona mdada anaamua kujisogeza demu anagoma kila kitu anachomwambia mpaka anawaza nilikuwa naamini nkipata fedha kila kitu kitaenda fresh ,mi nakuambia mwanamke kiumbe cha ajabu anaweza kataa kuku akaenda Kula dagaaKwenye orodha ya watu matajiri Tanzania upo wangapi?
Ukishapata hela ya kubadilisha mboga na kujaza mafuta unaona umetoboa maisha. Ulichoandika sijapendezwa hata kama unahela kuwa na heshima na watu.
Unapomuona mlinzi, mshona viatu, fundi simu au dada wa kazi hata konda ni watu muhimu sana.
Unahela na una kiatu kimeharibika, utaweka pesa zako zikishonee kiatu?
Una hela lakini badi utaugua au kufa huoni wewe ni mjinga sana wakati unapesa za kununua uhai ili uendelee kuishi.
Sio kweli.Bora Africa, sehemu zingine ni sexual harasement na unaenda jela
Kwa msingi hata hao wanaotungu izo sheria wangekuwa hawana akiBora Africa, sehemu zingine ni sexual harasement na unaenda jela
Si bure kuna jambo limekusibu 😂😂😂😂😂😂😂Mimi naamini mwanamke anaweza kukukataa kabisa na mkaendelea kushirikiana tena bila changamoto yeyote.
Fikiria mko ofisi moja ,mnafanya biashara pamoja,mnasali pamoja, mnasoma pamoja n.k.mtu kakutongoza afu unamkataa kama Pepo au unamjibu vibaya, mwanaume unakuta Hanashida kashapotezea lakin unakuta mwanamke Hana Amani kabisa anaishi kama kunakaugomvi flani .
Mimi siamini kwamba eti kumtaa mtu vibaya kunaonyesha msisitizo ya kwamba hutaki,ziko njia nyingi za kumuonyesha mwanaume msisitizo kwamba humuitaji lakin siyo majibu mabaya.
Na hatakama unamzarau mwanaume kiasi gani au humpendi kiasi gani au unaona Hana adhi yakuwa na wewe. Umetongozwa hutaki usitumie kama njia ya kumuonesha jinsi gani unavyomzarau kataa Kwa hekima, mwanaume ni mtu Haya ni maisha huwezijua kesho. kunawatu Wana visasi unaezamchukulia simple ukatoka na mauti.
Labda niwaambie wanawake kumkataa mwanaume bila kugombana naye na ukaendelea kushirikiana naye, utaonyesha upekee wa ali ya juu, utaonyesha ni mwanamke jasiri usiyeyumbishwa. Mwanaume anaeshimu Sana maamuzi unayochukua unapotongozwa, mambo ya kugombana na mtu wakati ni Jambo linaloepukika ni upumbavu.
Wanawake wekeni akilini kuwa kumkataa mtu Haina maana ya kwamba ni mbaya au siyo handsome
Hapana, ni kwamba hamwendani Tu na ndo maana wewe ukimkataa utakuta kesho Yuko na mwingine saa nyingine mzuri kuliko wewe, kinachomaanisha kwamba mlikuwa hamwendani.