Bahati nzuri bado wako wenye mapenzi ya kweli japo wachache. Na huyu wa hivi hata ukimfanyia kitu kikubwa maishani mwake unamfanyia kwa moyo mkunjufu kabisa tena kwa furaha kubwa.
Ukipata wa hivyo bahati sana. Napo ombea asije badilishwa mbelen kwa kuona unamjali sana mwenzio akadhan kakuweka kiganjan
hahaha[emoji23][emoji28][emoji23]SAA moja mama swalehe alnigandsha Massa 4
Niko Mbagala nakwambia nakuja kukuchukua huko Bonyokwa lakini nafika Bonnyokwa bado unanigandisha saa nzima unavaa? Mnavaa kabati zima? Shubamitiiiii
Ndiyo maana nikakwambia kama una hasira, lkn km ww huna maamuzi ya kiume ndiyo maana uliendelea kusubiriNingekuwa wa kuondoka nisingeandika hii!
Hamna kuinama.Unachukua kibabe tu.Mtaka cha uvunguni sharti ainame.... [emoji23] [emoji1] [emoji119]
Sasa utaonekana VIP unajal kama usubiri?Kwahii unajichelewesha kusudi?
Mhhhh!!Im glad it worth the wait!