Hivi wanawake pesa zenu mnapelekaga wapi? Badilikeni!

Sasa hii inahusiana nini na nilichoandika mimi?
Wakti ujao kwanini usisome kwa kutulia ukajibu hasa kile kimeandikwa?
Wewe hujui ulichokiandika ndio sembuse mimi?

Umeingiza uislamu unasema hivi na mimi nimekupa elimu uislamu unasema hivi pia na siyo one side of coin.

Kwanza usinipotezee muda wangu feminist, mnacomment vitu bila kushirikisha ubongo.
 
Wewe hujui ulichokiandika ndio sembuse mimi?

Umeingiza uislamu unasema hivi na mimi nimekupa elimu uislamu unasema hivi pia na siyo one side of coin.

Kwanza usinipotezee muda wangu feminist, mnacomment vitu bila kushirikisha ubongo.
Kwanini usichukue dakika moja tu kurejea mtoa mada kasema nini? Kisha tazama nimejibu nini?

Halafu angalia ulichojibu wewe kabla hujaanza label watu. Hivi kusoma kidogo kuna shida gani, yaani vijisentensi kidogo kuvisoma na kuvielewa tu.
 
Kwa ufupi nilitegemea wanawake wasomi waifanye jamii kuwa bora zaidi, kwa kujiongeza zaidi katika familia since wanatambua 50/50.
Ila imekuwa majanga zaidi, kiasi hata wanaume tumeanza kuogopa kudate au kuoa wanawake wasomi.
Maana tulichotegemea hakipo kabisa.

Yaani bora uoe mwanamke mwenye elimu ya kawaida sanaaa, Angalau unaweza savaivu kiasi kwa muda.
 
Huko nje akagawe eti kuhonga kwa mke eti alete mshahara wake hapa, ha ha ha hivi inawezekana kweli?
 
Huyo mwanamke ana lake jambo familia mnajenga wote ila vizuri pia maana mwanaume akishakuwa na hela loose anaanza kutafuta masuria left,right and center
 
Huyo mwanamke ana lake jambo familia mnajenga wote ila vizuri pia maana mwanaume akishakuwa na hela loose anaanza kutafuta masuria left,right and center
Sio kweli
 
Thibitisha kuwa wanawake wanamiliki pesa ndefu kuliko wanaume kwa sababu pesa zao wanazihifadhi huku za mwanaume zikitumika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…