Hivi wanawake pesa zenu mnapelekaga wapi? Badilikeni!

Hivi wanawake pesa zenu mnapelekaga wapi? Badilikeni!

Kabisa!!! [emoji1787][emoji23][emoji23]!! na kuna hii
🤣🤣🤣😅
 
Haiko hivyo kirahisi!

Tunapaswa kujifunza na kujua kanuni za mahusiano ya kimapenzi.
Kanuni kuu yenyewe wengi wetu tayari imetushinda...sio wanaume sio wanawake....so ata ndoa zenyewe tayari ni batili
 
Wanaume wa leo tunazidi kupoteza hadhi yetu kwenye jamii.
Yaani sasa inafika kipindi wanaume tunalalamika kwanini wanawake hawatusaidii majukumu kha!!!!
Ukishasaidiwa majukumu na mwanamke basi jua uhuru wako na hadhi yako kama mwanaume kwa kiasi fulani vitaanza kupungua.
 
Nyie
Sisi ni kama yameshakuwa maisha yetu ya kawaida kwa miaka nenda rudi (more than ten years huko) ikifika mwisho wa mwezi wote tunaeka hela mezani kisha tunapanga matumizi.

Maisha yanaenda vizuri kabisa na hii imesaidia tumefanya mengi pia.
Nyie
 
Hela yao wanafanyia matumizi mbalimbali ya vitu vidogo vidogo ambavyo me wengi hupotezea nakuona Kama havina maana mfano makufuri,nguo za watoto,nyanya ,vitunguu,matunda,pedi,kuchangia sherehe kwa wenzao ambao pia waliwachangia wakati wa sherehe zao,sadaka kanisani,kusuka,kununua marashi,kula wawapo kazini,kulipia nauli wakati wa kwenda na kurudi kazini,kusaidiwa ndugu zao hayo Ni baadhi tu ya matumizi.Kama kuna me unamfanyia yote hayo mkeo na bado hela yake huoni Basi Ana pepo.

Cha kumalizia tu Ni kwamba asilimia kubwa ya me hela ya matumizi inayotolewa kwny family haitosherezi ke wanafanya kujiongeza na kujazia siku zinasogea
 
Awe makini huyo mwanaume,, wanawake Kuna mda tuna mambo ya ajabu sana. Usikute Kuna jamaa anakula Hela za huyo bidada.

Nina mfano wa ndugu yangu mkewe anapata Hela nyingi tu kama 1.5m Sasa kumbe amempangishia nyumba njemba na anakopa mikopo anampa huyo njemba wa nje
 
Mwanaume anae oa kwa hii genaration anajitoa muhanga.. na wanawake wanapenda kuolewa na wanaume mazoba sikuhizi[emoji23][emoji23][emoji23]

Ni hatari..
[emoji28][emoji28] imebidi nicheke tu kwanza
 
Wanawake ni wabinafsi, wanaishi nasi kwa mfumo wa CHANGU changu na CHAKO changu.

Pesa yake ni kwaajili ya kusaidia ndugu na jamaa zake tu ili wampongeze na kumsifu tu. Huku mwanaume ukipigika kuendesha familia.

Ndio maana sikuhizi wanawake wanamiliki pesa ndefu kuliko wanaume. Kwasababu pesa zao wanazihifadhi wakati za mwanaume zinatumika kwenye familia.
Sema baadhi ya wanawake.

Mimi nishawahi kuwa na mwanamke ambaye anatamani niwe namuomba pesa lakin kwa sababu ya ego siwezi kumuomba.
 
Back
Top Bottom