Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Lamomy Missy Gf hivi dada yenu nimewakosea Nini Hadi hamniiti nije kusikia vile watu wanakojolea ubwabwa?? kumbe watu wanachukua nyayo na matako wanapeleka Kwa mabwana wa kazi na hamsemi!πŸ€”πŸ€”πŸ€” itabidi hili suala baba mtumishi Tlaatlaah na mama mtumishi Tayana-wog waingie mlima wa maombi....Mimi nitawapikia futari ya kula jioni wakifungua
 
🀣🀣🀣🀣 hatareee
 
I can't figure whether you don't know how to write or you were in a hurry
 
Hili inabidi tupande mlimani kabisa maaana kwa nguvu za nyama hatutoboi
zingatia na watu wenyewe lakini wa kupanda milimani mahali pa juu palipoinuka πŸ’

hata na hivyo sirini patulivu palipojificha, tunaweza pia angusha maombi na maombezi ya nguvu sana aise..
kuangusha hii kasumba ya machupi na mikojoleo kwa chakula ndani ya uchumba na ndoa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huwa nawaambia watu,kwa harakati za wanawake( ulozi) huenda peponi tukaingia wanaume watupu hahaha

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna wanawake wanapuliza, tena yule anaye kujua akikuona vihela vimekutembelea au vinanukia ukijidanganya eti upige then utembee unajikuta umenasa moja kwa moja.

Au ukute unadate na mwanamke anaye
hitaji ndoa, then wewe mahesabu yako kupiga na kutambaa,kumbe unaliwa timing.

Siku hizi ndoa na madanga wenye fedha,vinatafutwa kwa njia yoyote na wengine hufikia level ya kujitolea mpaka mahali.
 
Wait!!!..hayo mattercore anachukuaje surely?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…