Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa nanani boma gani lichukue shida hapa mjini.

Naishi na wanadada wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.

Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.

Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae.

Anachukua nyayo sura hata matako anaenda kupatia mabwana na kazi .

Hadi sauti yako yaani hii ni shughuli mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.

Natabia nyingi wanazifanya kama wapo huku acheni kaeni nariziki zenu jamani. Mnaboa eti.

Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Yes,
ni jambo jema sana kuambiana ukweli na zaidi sana kushauriana namna bora ya kuishi kistaarabu bila ushirikina,
na mtu akafanikiwa haja na matamanio ya moyo wake pasina wasi wasi wowote...

kutumia ushirikinta na uchawi unaweza fanikiwa Yes,
but hutaishi kwa Amani na kamwe huwez pata furaha bali mateso na utumwa wa ushirikina na uchawi
 
Aisee [emoji28] [emoji28] [emoji28] haya mambo sio mapya, hata wazungu wanafanya mbona.

Kuna ile ya kuweka damu ya period kweny chakula au mavuzi kweny chakula, hizi mbili ndo ambazo nimeshuhudia
Watu wameshavuka huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni zamani na imepitwa na wakati
 
Nashukuru Mungu huwa sina bahati ya kutembea na wanawake wa kiswahili. I only bang with well raised women.
Hao hao ndio balaah wanaonifanyia hivyoo wanadegree zao ,wapo maofisini ni warembo na familia zao wameolewa kuzuri wale wakijijini na uswahilini sio kivile ni mdomo na ushirikina wao sio wa 10G
 
Back
Top Bottom