Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
HERI NYIKA TUPU KULIKO MWANAMKE MCHAWI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mambo ya zamani na ya sasa, mambo yanafanywa yanachokwa, yanafanywa mengine yanachokwa pia, then linarudiwa kufanywa lilelile la mwanzo.Watu wameshavuka huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni zamani na imepitwa na wakati
Samahani Mkuu wa kilinge, Mtoto wangu ndiye alichezea simu ila si mimi, mi huwa namaliza na usemi....
HahahahahahahaSana tena wale wazuri wazuri wale ambao unaona umepati kifaa huyu
Karibu maana akina Leejay49, Tayana Wog na Victoire wanachezea shilingi chooni, ila jipange mno kupambana na nguvu za Mungu "Jehovah".Aisee sijawahi kufanya hivyoo ina nampango wa wewe kukufanya zezeta unaonaje??
Una ugomvii nae?ila wanawake ampendani.Tena haya nimadogo majuzi kati walichonifanyia nikakaa chini uchi . Yaani kuharibu waliharibu fulu nimaibilisi.
Kina huyu dada anachukia nikipata mtu na anachukia nikiwa na afya njema
Yaani hujui kuandika kabisa, huelewekiWatu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.
Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.
Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.
Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.
Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.
Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.
Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Ginehe nkingwaIihiiiiiiiii......wanaume tunadungwa acid za hatari ndo maana tunarest in peace mapema!!lekaji bhagosha!
Mavuzi a.k.a vuzi wanawek il iweje mkuuAisee [emoji28] [emoji28] [emoji28] haya mambo sio mapya, hata wazungu wanafanya mbona.
Kuna ile ya kuweka damu ya period kweny chakula au mavuzi kweny chakula, hizi mbili ndo ambazo nimeshuhudia
Mavuzi a.k.a vuzi wanawek il iweje mkuuAisee [emoji28] [emoji28] [emoji28] haya mambo sio mapya, hata wazungu wanafanya mbona.
Kuna ile ya kuweka damu ya period kweny chakula au mavuzi kweny chakula, hizi mbili ndo ambazo nimeshuhudia
Mavuzi a.k.a vuzi wanawek il iweje mkuuAisee [emoji28] [emoji28] [emoji28] haya mambo sio mapya, hata wazungu wanafanya mbona.
Kuna ile ya kuweka damu ya period kweny chakula au mavuzi kweny chakula, hizi mbili ndo ambazo nimeshuhudia
Mwambie next time amakinikeSamahani Mkuu wa kilinge, Mtoto wangu ndiye alichezea simu ila si mimi, mi huwa namaliza na usemi....
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sasa rafiki yangu mwanamke kama huyu ntaweza kuishi nae? 😂😂😂Biriyani atamix na mkojo kidogoIla da Mau bhana 🤣🤣🤣
Kila siku unarogwa, si uhame uko kwa wachawi..!! Mpaji Mungu wifi umemsikia? Si umuhamishie down town
Na sisi tufungue kilinge chetu Mzee wa kupambaniaUnique Flowers akiwa kwenye harakati kumfanya Mzabzab kuwa zezeta la mahaba....[emoji2960]View attachment 2884282View attachment 2884284
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app