Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Humu duniani hakuna uchawi kwa kila mtu , bali uchawi upo kwa wanao amini huo ujinga.
Nilidhania hivyoo ila hapana aisee uchawi upo hujajua nimezaliwa kwa nani kazi yetu nikuomba kuishi kwenyw imani kali kumbe tulipigwa na vitu vizito wewe hujui lolote ukija jua utazimia
 
Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Anachukua nyayo sura hata matako anaenda kupatia mabwana na kazi
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa jameni acheni tena muache hata uongo.Sasa matako anayachukuaje ?
 
Ke ni Israel mtoa roho 99% kwa Me isipokuwa 1% ni majanga mengine kama uchawi, wizi, ujambazi, dhuluma, magonjwa, ajali n.k.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ndio muwe watu w ibada bila hivyo mtakwisha!
Ndo maana nawaombea sn kaka zangu ,sitaki ujinga
Yaani mwanamke uje na hizi pigo utaondoka wewe
 
Back
Top Bottom