Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Omba MunguMimi hawanipati hata kidogo wanawake wa hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Omba MunguMimi hawanipati hata kidogo wanawake wa hivyo
Biblia inasema usimwache mwanamke mchawi Aishi......Kama ni hivyo basi wadada wachawi na washirikina sana
Hii ni kweli kabisaHao hao ndio balaah wanaonifanyia hivyoo wanadegree zao ,wapo maofisini ni warembo na familia zao wameolewa kuzuri wale wakijijini na uswahilini sio kivile ni mdomo na ushirikina wao sio wa 10G
Ngoja nikuitie Equation x mchumba huyu hapaNitafutie basi danga anipeleke njiro
Mama weee, hujuiNashukuru Mungu huwa sina bahati ya kutembea na wanawake wa kiswahili. I only bang with well raised women.
Mtegemee Mungu,kuwa mtu wa ibadaDah siyo powa .
Sasa itakuwaje .
Wanaoendekeza michepuko watachoka sana! Wanalishwa madude!Ach
Acha tu hata blidi zao mnazila hamjui tu
Hama huko unakokaa, tafuta dalali Masaki hakuna uswahili...
Bora kula chakula chenye mavuzi kuliko hicho kingine.Aisee 😅 😅 😅 haya mambo sio mapya, hata wazungu wanafanya mbona.
Kuna ile ya kuweka damu ya period kweny chakula au mavuzi kweny chakula, hizi mbili ndo ambazo nimeshuhudia
Mtegemee Mungu,kuwa mtu wa ibada
Kama Yesu alifufuka basi wanapoteza Muda.Karibu maana akina Leejay49, Tayana Wog na Victoire wanachezea shilingi chooni, ila jipange mno kupambana na nguvu za Mungu "Jehovah".
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣Hebu toka huko uswahilini bwana
Hahahahahaha, unakuta sister du kigagulaBiblia inasema usimwache mwanamke mchawi Aishi......
Ss Mungu alisema nyie mnashangaa nn ndugu 🙁
Yaani ukikuta sio muombaji(wa kumaanishq) vice versa.....
Hawa ndo wahanga wakubwa snWanaoendekeza michepuko watachoka sana! Wanalishwa madude!
Mbu kala mbu apa kumbe umekua ilo ukigundulika ndoa hunaWatu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.
Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.
Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.
Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.
Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.
Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.
Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
SI hamsikii mkiambiwa🤣Duh!
Nimekumbuka stori ya jamaa wa jamaa wangu Kaka yake rafiki yangu. Alishawahi kuyakanyaga.
Jamaa alikubaliana pisi moja yenye tako kubwa, kukulana tu. Mapenzi ya kumega tu hakuna future yoyote. Pisi ikakubali, jamaa kampangishia na kumgharamikia kila kitu. Jamaa akawa sponsor. Jamaa akawa anaenjoooy tako kubwa kwa raha zake. Ghafla akaanza kuumwa, hospitali kubwa zote hakuna ugonjwa wowote. Kapimwa damu, choo, Ultrasound, CT scan na vifaa vyote, hakuna ugonjwa. Narudia tena hakuna ugonjwa. Mama yake huyo jamaa akampeleka jamaa kwenye maombi ya kufunga na kuomba kwa muda mrefu. Mara maombi yakiwa yanaendelea jamaa akaangua na kutapika vitu visivyoeleweka vilivyofungwafungwa. Kuja kufatilia kumbe ile pisi yenye TAKO KUBWA ndio ilimroga kwa mganga wa majini. Rafiki zake Jamaa walimtight na kipigo heavy huyo mrembo ndio akafunguka kuwa alifanya hivyo ili apande toka kwenye mapenzi ya kuliwa tu, mpaka aolewe kabisa.
Halafu binti anaanza kujiliza anaomba msamaha.
Aisee hiyo pisi ni pisi kweli halafu anakasura kazuri, shepu nzuri mno, ana kasura hivi ka upole, halafu msomi, yaani huwezi kumdhania kuwa ataenda kwa mganga wa majini. Ni hatari mno.
Bora niendelee zangu na puli. 🤣
Sijaelewa kitu na nisielewe tu😂😂😂Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Anachukua nyayo sura hata matako anaenda kupatia mabwana na kazi
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anahangaikia mapenzi mkuu, anafanya hivo ili umpende, ni ushirikina tuu hauhitaji maelezo mengi.Hapo anakuwa anahangaika na nini mkuu? Je, zoezi hilo linazaa matunda?
Wengi tu mbonaHahahahahaha, unakuta sister du kigagula