Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Yes,
ni jambo jema sana kuambiana ukweli na zaidi sana kushauriana namna bora ya kuishi kistaarabu bila ushirikina,
na mtu akafanikiwa haja na matamanio ya moyo wake pasina wasi wasi wowote...

kutumia ushirikinta na uchawi unaweza fanikiwa Yes,
but hutaishi kwa Amani na kamwe huwez pata furaha bali mateso na utumwa wa ushirikina na uchawi
 
Aisee [emoji28] [emoji28] [emoji28] haya mambo sio mapya, hata wazungu wanafanya mbona.

Kuna ile ya kuweka damu ya period kweny chakula au mavuzi kweny chakula, hizi mbili ndo ambazo nimeshuhudia
Watu wameshavuka huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni zamani na imepitwa na wakati
 
Nashukuru Mungu huwa sina bahati ya kutembea na wanawake wa kiswahili. I only bang with well raised women.
Hao hao ndio balaah wanaonifanyia hivyoo wanadegree zao ,wapo maofisini ni warembo na familia zao wameolewa kuzuri wale wakijijini na uswahilini sio kivile ni mdomo na ushirikina wao sio wa 10G
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…