Hivi wanawake wa dizaini hii kumbe wapo?

Hivi wanawake wa dizaini hii kumbe wapo?

Mama Mwana

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2023
Posts
2,435
Reaction score
7,784
Mwanamke ameajiriwa taasisi binafsi, anaingia saa moja asubuhi anatoka saa kumi na dk 40 jioni, akirudi nyumbani mume anataka apikiwe, mpaka afike kwake ni saa kumi na mbili jioni akirudi apike yaani akae jikoni apike ugali, afue uniform zake, mume aje wale walale.

Mume hana shughuli yoyote anajilimia zake bustani za mboga mboga lakini hashughuliki na chochote cha nyumbani, choo anachotumia hadi aje adeki mke, chumba anacholala achilia mbali nyumba kuipitisha fagio ni mwiko, nyasi zikiota bibie ajipinde mgongo alime?
 
images.jpeg
 
Mwanamke kabla ya kukubali kuolewa yampasa kwanza afahamu mashariti ya ndoa, ambayo kubwa la kwanza na muhimu kuliko yote ni kukubali kulala bila kuvaa PICHU na hayo mengine ya usafi , kupika , kufua n.k ni viambata vyake tu ambayo nayo ni muhimu ayajue kuyatekeleza yote
 
Huku mbeya nimeona wengi tu wakifanya hivyo...,even mi nilifanya hivyo ila nilipoona na kutunza familia nimeachiwa tena kwa salary hii hii ya ualimu....nilivyodai talaka na kusepa jumla hakuamini.Mtu anaponyenyekea usimwone boya mtunze
 
Huku mbeya nimeona wengi tu wakifanya hivyo...,even mi nilifanya hivyo ila nilipoona na kutunza familia nimeachiwa tena kwa salary hii hii ya ualimu....nilivyodai talaka na kusepa jumla hakuamini.Mtu anaponyenyekea usimwone boya mtunze
sasa kuna watu hawaamino, trust me wana watoto wawili na akiamka asbh anahakikisha maji ya kuoga ya moto ya bab na mtoto yako tayar baba akiamka yeye anaogesha mtoto anapeleka shule ila mama akirud anampitia mtoto kwabibi yake akirud afue uniforms zake na za mtoto apike mume aje wakat huo mume akitokea maskani walale
 
Mwanamke kabla ya kukubali kuolewa yampasa kwanza afahamu mashariti ya ndoa, ambayo kubwa la kwanza na muhimu kuliko yote ni kukubali kulala bila kuvaa PICHU na hayo mengine ya usafi , kupika , kufua n.k ni viambata vyake tu ambayo nayo ni muhimu ayajue kuyatekeleza yote
hivi nyinyi mnaweza? jaribuni siku moja tu muone mziki wake
 
sasa kuna watu hawaamino, trust me wana watoto wawili na akiamka asbh anahakikisha maji ya kuoga ya moto ya bab na mtoto yako tayar baba akiamka yeye anaogesha mtoto anapeleka shule ila mama akirud anampitia mtoto kwabibi yake akirud afue uniforms zake na za mtoto apike mume aje wakat huo mume akitokea maskani walale
Huku kawaida sana Mkuu,kikubwa mume atunze vyema familia
 
Back
Top Bottom