Hivi wanawake wa dizaini hii kumbe wapo?

Hivi wanawake wa dizaini hii kumbe wapo?

Hatuwezi kujaribu kufanya hivyo kwasababu ndio maana Kuna mgawanyiko kati ya mwanamke na mwanaume .....
Na ndio maana mwanamke anakojoa huku amechuchumaaa, ili hali mwanaume anakojoa huku akiwa amesimama

Hiyo ndio inaleta utofauti. Zaidi ya hapo inakuwa ni kiburi tu Cha mwanamke kutaka kujilinganisha na mwanaume kitu ambacho kiuhalisia hakipo
hapo hamna kulinganisha ni swala la kuoneana huruma na kugawana majukum huyu anafanya kaz mrad aweze kupata hela za kusongesha familia mbele tatizo n mwanaume hajiongezi kabisa
 

Attachments

  • giphy (1).gif
    giphy (1).gif
    221.2 KB · Views: 1
hapo hamna kulinganisha ni swala la kuoneana huruma na kugawana majukum huyu anafanya kaz mrad aweze kupata hela za kusongesha familia mbele tatizo n mwanaume hajiongezi kabisa
Pole kwa yaliyokukuta lakini nakushauri ukitaka ndoa yako idumu na kama kweli unampenda mwenzio usiangalie madhaifu yake wewe timiza wajibu wako kama mke halafu endelea kumuomba Mungu ili aweze kumbadilisha mke wako kwa kumpa uelewa na kuwa na moyo wa kukusaidia mke wake. Uwe unamuomba Mungu kwa hilo na sio kukimbilia kulalamika
 
Mwanamke ameajiriwa taasisi binafsi, anaingia saa moja asubuhi anatoka saa kumi na dk 40 jioni, akirudi nyumbani mume anataka apikiwe, mpaka afike kwake ni saa kumi na mbili jioni akirudi apike yaani akae jikoni apike ugali, afue uniform zake, mume aje wale walale.

Mume hana shughuli yoyote anajilimia zake bustani za mboga mboga lakini hashughuliki na chochote cha nyumbani, choo anachotumia had aje adeki mke, chumba anacholala chilia mbali nyumba kuipitisha fagio ni mwiko, nyasi zikiota bibie ajipinde mgongo alime?
Mama Mwana ungeandika kichwa cha habari kiwe: ''Hivi wanaume wa dizaini hii kumbe wapo?'' ingekuwa busara zaidi. Kichwa cha habari ulichotumia kitaleta kizaa zaa zaidi kwani ni kama kinachochea wanawake wawe wakali.
 
Pole kwa yaliyokukuta lakini nakushauri ukitaka ndoa yako idumu na kama kweli unampenda mwenzio usiangalie madhaifu yake wewe timiza wajibu wako kama mke halafu endelea kumuomba Mungu ili aweze kumbadilisha mke wako kwa kumpa uelewa na kuwa na moyo wa kukusaidia mke wake. Uwe unamuomba Mungu kwa hilo na sio kukimbilia kulalamika
mimi tena?
 
Mapenzi yao waachie wao , mradi miongoni mwao hakuna kichaa au mwenye ulemavu wa akili au mkataba huenda wanafanya kwa utashi atakayechoka atasema !!

Maana mpaka wana watoto wawili wana siri yao sema sasa huku waja na sisi tunakuja na picha yetu !!
 
Mapenzi yao waachie wao , mradi miongoni mwao hakuna kichaa au mwenye ulemavu wa akili au mkataba huenda wanafanya kwa utashi atakayechoka atasema !!

Maana mpaka wana watoto wawili wana siri yao sema sasa huku waja na sisi tunakuja na picha yetu !!
ni kweli mambo ya ndoa hua hayashauriki
 
Na wewe umeona kuna kitu hakiko sawa hapa mkuu
inawezekana kuwasilisha mada kuna sehem nimewasilisha vibaya lakini kwa kufupisha mwanaume analima mboga lakini kitendo cha kulima nyasi za nyumban kwake ni swala ambalo halipo sasa mke zimkere ashike jembe alime
 
Bado kitendo cha hela ya kula anatoa mwanamke kitasumbua akili za wote wawili
mke kwake sio shida shida n hizo kazi ambazo anafanya peke yake wakat mudanwingi baba anashinda nyumban anashindwaje kumsaidia mwenzie?
 
Back
Top Bottom