Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa ana Umwinyi ... anyway kila ndoa ina kanuni zake.Mwanamke ameajiriwa taasisi binafsi, anaingia saa moja asubuhi anatoka saa kumi na dk 40 jioni, akirudi nyumbani mume anataka apikiwe, mpaka afike kwake ni saa kumi na mbili jioni akirudi apike yaani akae jikoni apike ugali, afue uniform zake, mume aje wale walale.
Mume hana shughuli yoyote anajilimia zake bustani za mboga mboga lakini hashughuliki na chochote cha nyumbani, choo anachotumia had aje adeki mke, chumba anacholala chilia mbali nyumba kuipitisha fagio ni mwiko, nyasi zikiota bibie ajipinde mgongo alime?
mimi binafsi ni mwanamke lakini tungeshindwana mapema sana yan ningechoka wiki tu mume angechagua either tusaidiane kaz za nyumban tuendelee na ndoa au aniache tu niondoke siwez kua mtumwaHuyo jamaa ana Umwinyi ... anyway kila ndoa ina kanuni zake.
kivipInawezekana ni saikolojia na brainwashing ya hali ya juu.
hukua na lazima ukoment kama unaon unapangwa jipangueHumu ndani tunapangwa sana☕
Walimu tuu manesi hawaweziHuo ni uongo labda walimu na manesi ila wengine hawawezi.
Una force ni amini 😂hukua na lazima ukoment kama unaon unapangwa jipangue
Ila walimu, wengi wenu, sijui kwanini huwa mnapata majanga ya aina hii.Huku mbeya nimeona wengi tu wakifanya hivyo...,even mi nilifanya hivyo ila nilipoona na kutunza familia nimeachiwa tena kwa salary hii hii ya ualimu....nilivyodai talaka na kusepa jumla hakuamini.Mtu anaponyenyekea usimwone boya mtunze
Acha basije vais bien et toi?
Yaani uvunje ndoa kisa kazi za ndani tu ?...huwezi kufikiria kutafuta mfanyakazi ?mimi binafsi ni mwanamke lakini tungeshindwana mapema sana yan ningechoka wiki tu mume angechagua either tusaidiane kaz za nyumban tuendelee na ndoa au aniache tu niondoke siwez kua mtumwa
😩Ila walimu, wengi wenu, sijui kwanini huwa mnapata majanga ya aina hii.
Bado mikopo ya kausha damu walimu ndiyo waathirika wakubwa.
Kuna watu hawajuagi kujiongeza,huyo mwanaume ilipaswa apige mishe zote za home,labda angemwachia ya kufua ili mwanamke awe anafua wkendumenichekesha sasa ndio wanapoeleka sababu mwanamke anachoka sana na mume hana habari tena anamjibu kabisa yote ni majukum yako unatakiwa uyafanye
Hatuwezi kujaribu kufanya hivyo kwasababu ndio maana Kuna mgawanyiko kati ya mwanamke na mwanaume .....hivi nyinyi mnaweza? jaribuni siku moja tu muone mziki wake
mwanaume hana kaz kipati cha mke ndio wajue wale vipi waishi vipi mtamlipaje huyo dada wa kaziYaani uvunje ndoa kisa kazi za ndani tu ?...huwezi kufikiria kutafuta mfanyakazi ?
mimi ndio nachojiuliza sawa asbh ukishampeleka mtoto unaenda shamba mchana kutwa kusonga ugali size yake hawez anakaa na njaa had mke arud jioni wapike ugali wale kuna watu wana mioyo ya kuvumilia sanaKuna watu hawajuagi kujiongeza,huyo mwanaume ilipaswa apige mishe zote za home,labda angemwachia ya kufua ili mwanamke awe anafua wkend
Ni kweli KabisaHuo ni uongo labda walimu na manesi ila wengine hawawezi.
Yeah! Una hoja nzuri.mwanaume hana kaz kipati cha mke ndio wajue wale vipi waishi vipi mtamlipaje huyo dada wa kazi