Hivi wanawake wa siku hizi wanajali kuhusu show kali au cha muhimu hela tu?

Tamaa za mwili ni zipi?
Mwili unatamaa zake mkuu ELEWA , na zote zinachagizwa na hulka pamoja na silika zetu sisi wanadamu.... Na ndio maana zikatungwa sheria na kanuni ambazo ni universal za kumsimamia na kumdhibiti huyu mwanadamu ambaye ni Mimi na wewe la sivyo ustaarabu wa dunia hii ungekuwa compromised.
 
Sheria gani ya nchi inakukataza kutomba, kula, kupumua, kunywa maji, kulala?
 
those creatures are undefined!
Ukiwa na hela ... wanataka SHOO kali!
ukiwa vzr ktk shoo... wanataka hela...
UUkia na vyote wanataka uwe Maarufu...
 
Good point ila naongelea majority

Inategemea umepitia sample size gani, inahitaji kufanya data collection ya kutosha, Sample nyingi za wanawake kwa namna utakavyo wa categorize.

Wa uswahilini
Wa kishua
Wafanyakazi
Jobless
Madent
Graduates
Wajane
Mashangazi
Wasaka ndoa
Etc.

Chukua sio chini ya 7 kila sample then tutapata majibu.
 
Okay kwa haraka haraka majority ya each of them wajapenda hela it's a known fact
 
Bro vipi mbona upo kimya sana,Unawaza nini?!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji115]

Mwanaume epuka fedheha, Tumia x power man kurudisha heshma ya ndoa[emoji123]

Piga simu Sasa ujipatie x power man urudishe heshma ya ndoa
0658283250

[emoji725][emoji725][emoji725][emoji725][emoji725][emoji725]

NDANI YA WEEK MOJA TU!, UUME UNAKUWA KAMA TANGO[emoji533][emoji533]

[emoji3534]KUZA NÀ NENEPESHA UUME NDANI YA WIKI MOJA.

[emoji3487]UUME HAUTA SINYAAA TENAA

[emoji3591]UUME HAUTA LEGEA TENAA

[emoji3487]UUME HAUTAONEKANA KAMA WA MTOTO TENA

[emoji3591]UUME UTAJAA MISHIPA NA
UTAKUWA NA UWEZO WA KUVUA NGUO MBELE YA MWENZA WAKO.

[emoji3534]UUME UTAPONA HATA KAMA ULITUMIA VIAGRA CHEMICAL.
HATA KAMA ULIKUA HANITHI UNAPONA

PATA MATIBABU LEO YA KUKUZA UUME NA KUNENEPESHA MASHINE
KWA KUPIGA SIMU 0658283250
 
Sikuhizi kuridhisha Mtu au Kuridhishwa ni stori za abunuasi wala hakuna mtu anajali tena hayo

Watu wapo kimaslahi tu, wanajali PESA
 
hapo kuna mambo mengi sio kwa ajili ya pesa tu
1. Vijana wengi waongo waongo tu hawasemi ukweli
2. Vijana wana ahidi nitakuoa kumbe wadangaji tu...wakisikia mimba imengia wanakimbia kama chita
3. Mtu mzima 40+ kwanza anasema ukweli na haogopi maisha/mimba nk na ndicho kinachovutia wadada
4. KUMBUKA WADADA HUPENDA KUAMBIWA UKWELI KULIKO CHOCHOTE KATIKA MAHUSIANO ILI AFANYE UAMUZI ALIO UTAKA MWENYEWE na sio uamuzi aliotapeliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…