Hivi wanawake wenye makalio makubwa mnajionaje?

Hakuna mkate mgumu mbele ya chai ushapenda Ivo chief 😂😂😂
 
Comment hii bila picha ni UONGO.

#YNWA
 
We hannah[emoji2960]
 
Wanawake wenye makalio makubwa ya asili achana na yake ya mloganzila popote walipo wa barikiwe na wale wanaomiliki makalio fake popote walaaniwe.

Wanawake wenye makalio makubwa wanajiamini sana hivyo mwanaume ukiweza kutumia AKILI KUISHI NAE ni simple sana kumu handle.

SWALI: MWANAUME UMEPATA WAPI UJASIRI WA KUMKOROMEA NA KUMPIGIA KELELE MWANAMKE ADHARANI ILI HALI UNAJUA WAO NI VIUMBE DHAIFU HATA KAMA AMEKOSEA, JE, WEWE NI MWANAUME AU NI WAKIUME?
 
U Umeanzia mbal ila hili ni tangazo kama yalivyo matangazo mengine
 
Sauti kumfikia manaja nguvu sana, wale mgambo wanakutizama tuu unavyorapu huku foleni haisogei eti? Labda kwa wakala wa kibenki bwana umechanganya.
 
sipo picha, tunaopenda penda mizigo tunakuja pm.
 
Utakuwa na uraibu na minyama sio bure wewe.
 
U
Umeanzia mbal ila hili ni tangazo kama yalivyo matangazo mengine

Ila ningesema mimi ni mwembamba mama toothpick sina mbele wala nyuma nikitembea kama narudi ndio lisingekuwa tangazo sio?

Mjinga kweli
 
Mods funga thread, wanawake wenye makalio makubwa tukalale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…