Nelly Willy
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 458
- 965
We jamaa ni matter core kabisa 🤣🤣🤣🤣Ulinisikitisha sana ulivyokuwa unapiga makelele na sauti yako kama mtu mwenye mafua ya ndege mimi ni bwana mmoja nilikuwa pembeni yako nimevaa bagarashia na miwani
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai ushapenda Ivo chief 😂😂😂Nisiwafiche, Nyie ni vibonge tuu... Msijione kama Nyie ndo namna gani vipi sio.... Mnariiiinga kisa hayo manyama? Nyie ni vibonge tu kama vibonge wengine.
Leo nimeingia tawi moja hivi la NMB hapa town, Ile nafika tu nakuta teller anapiga umbea na mwenzie wa dirisha lingine na sio kwamba hajaniona... Kaniona sana na ana bonge la tako hivyo pozi nyiiingi anafikiri tako litambeba.... kakazana huyo, " shostii nakwambia wema Kawa kama bibiii.... Bora hata alivyokuwa mnene na umbo lake alikuwa anavutia balaa ila sio sasa" Mi nimetulia tu namchora, nikasema leo wacha nimtolee uvivu.
Shostii yake alivyoniona akakata stori Ili nihudumiwe kwanza ndo yule tako anageuka eti karibu kaka.... Nikamwambia tumalize kwanza za wema.. kumbe angebaki vile vile angekuwa mzuri sio saizi eti ee? Kuanzia hapo akajua tu mjuba nimemaind akajishtukia eti samahani kaka angu karibu nikuhudumie..
Nikamwambia hakuna samahani hapo naongea Kwa sauti watu wote mpaka ofisini Kwa meneja wao wanasikia... Dada kakazana anaongea sauti ya chini Ili nipunguze Mimi ndo kwaaanza namuuliza... Vipi kajala unamuonaje bibie! Nae akipungua si atakua bibie kama wema tu?
Meneja wao ikabidi atoke, akauliza kuna nini hapa? Nikamwambia nipo na mfanya kazi wako hapa badaka ya kunihudumia amekazana anapia stori za wema sepetu yeye na mwenzie dirisha la pili hapo ndo ikabidi na Mimi niendeleze. Meneja akajua kosa ni lao akaomba radhi sana na akamwambia yule tako baada ya kazi unione shwaini wewe..... (Nimemnukuu)
Nyie ni vibonge tu, natumai atatia adabu na kesho naenda tena.
Comment hii bila picha ni UONGO.Tuachane na story ya wema nijibu swali lako la kuhusu sisi wenye makalio makubwa tunajionaje!!
Binafsi najiona nimebarikiwa sana, baraka kubwaa kumbwaa. Nikipita mahali attention ya watu wengi unakuwa kwangu, ni raha sana asikwambie mtu.
Sio ile unaishi kwama hauishi yaani unapita kama vile bado haujapita. Yaani mimi nikipita napata mashabiki wa kunisindikiza kwa macho ya tamaa. Yaani ni raha sana.
Haya wale wa “weka picha” nawasubiri.
Hahaha buttocksWe jamaa ni matter core kabisa 🤣🤣🤣🤣
We hannah[emoji2960]Tuachane na story ya wema nijibu swali lako la kuhusu sisi wenye makalio makubwa tunajionaje!!
Binafsi najiona nimebarikiwa sana, baraka kubwaa kumbwaa. Nikipita mahali attention ya watu wengi unakuwa kwangu, ni raha sana asikwambie mtu.
Sio ile unaishi kwama hauishi yaani unapita kama vile bado haujapita. Yaani mimi nikipita napata mashabiki wa kunisindikiza kwa macho ya tamaa. Yaani ni raha sana.
Haya wale wa “weka picha” nawasubiri.
Umeanzia mbal ila hili ni tangazo kama yalivyo matangazo mengineTuachane na story ya wema nijibu swali lako la kuhusu sisi wenye makalio makubwa tunajionaje!!
Binafsi najiona nimebarikiwa sana, baraka kubwaa kumbwaa. Nikipita mahali attention ya watu wengi unakuwa kwangu, ni raha sana asikwambie mtu.
Sio ile unaishi kwama hauishi yaani unapita kama vile bado haujapita. Yaani mimi nikipita napata mashabiki wa kunisindikiza kwa macho ya tamaa. Yaani ni raha sana.
Haya wale wa “weka picha” nawasubiri.
sipo picha, tunaopenda penda mizigo tunakuja pm.Tuachane na story ya wema nijibu swali lako la kuhusu sisi wenye makalio makubwa tunajionaje!!
Binafsi najiona nimebarikiwa sana, baraka kubwaa kumbwaa. Nikipita mahali attention ya watu wengi unakuwa kwangu, ni raha sana asikwambie mtu.
Sio ile unaishi kwama hauishi yaani unapita kama vile bado haujapita. Yaani mimi nikipita napata mashabiki wa kunisindikiza kwa macho ya tamaa. Yaani ni raha sana.
Haya wale wa “weka picha” nawasubiri.
Utakuwa na uraibu na minyama sio bure wewe.Nisiwafiche, Nyie ni vibonge tuu... Msijione kama Nyie ndo namna gani vipi sio.... Mnariiiinga kisa hayo manyama? Nyie ni vibonge tu kama vibonge wengine.
Leo nimeingia tawi moja hivi la NMB hapa town, Ile nafika tu nakuta teller anapiga umbea na mwenzie wa dirisha lingine na sio kwamba hajaniona... Kaniona sana na ana bonge la tako hivyo pozi nyiiingi anafikiri tako litambeba.... kakazana huyo, " shostii nakwambia wema Kawa kama bibiii.... Bora hata alivyokuwa mnene na umbo lake alikuwa anavutia balaa ila sio sasa" Mi nimetulia tu namchora, nikasema leo wacha nimtolee uvivu.
Shostii yake alivyoniona akakata stori Ili nihudumiwe kwanza ndo yule tako anageuka eti karibu kaka.... Nikamwambia tumalize kwanza za wema.. kumbe angebaki vile vile angekuwa mzuri sio saizi eti ee? Kuanzia hapo akajua tu mjuba nimemaind akajishtukia eti samahani kaka angu karibu nikuhudumie..
Nikamwambia hakuna samahani hapo naongea Kwa sauti watu wote mpaka ofisini Kwa meneja wao wanasikia... Dada kakazana anaongea sauti ya chini Ili nipunguze Mimi ndo kwaaanza namuuliza... Vipi kajala unamuonaje bibie! Nae akipungua si atakua bibie kama wema tu?
Meneja wao ikabidi atoke, akauliza kuna nini hapa? Nikamwambia nipo na mfanya kazi wako hapa badaka ya kunihudumia amekazana anapia stori za wema sepetu yeye na mwenzie dirisha la pili hapo ndo ikabidi na Mimi niendeleze. Meneja akajua kosa ni lao akaomba radhi sana na akamwambia yule tako baada ya kazi unione shwaini wewe..... (Nimemnukuu)
Nyie ni vibonge tu, natumai atatia adabu na kesho naenda tena.
U
Umeanzia mbal ila hili ni tangazo kama yalivyo matangazo mengine
Aaaah wapi huu mtego hatuingii masta….
Mods funga thread, wanawake wenye makalio makubwa tukalaleTuachane na story ya wema nijibu swali lako la kuhusu sisi wenye makalio makubwa tunajionaje!!
Binafsi najiona nimebarikiwa sana, baraka kubwaa kumbwaa. Nikipita mahali attention ya watu wengi unakuwa kwangu, ni raha sana asikwambie mtu.
Sio ile unaishi kwama hauishi yaani unapita kama vile bado haujapita. Yaani mimi nikipita napata mashabiki wa kunisindikiza kwa macho ya tamaa. Yaani ni raha sana.
Haya wale wa “weka picha” nawasubiri.
humu jf hutakiwi kuamini yyte ht km anakuambia yy ndo modBasi sina makalio makubwa nimepigwa pasi. Hivi ndio vitu mnavyopenda kuamini[emoji57][emoji57]
fanya hivyo mtoto mzuriHaya wale wa “weka picha” nawasubiri.