Hivi wanawake wenye makalio makubwa mnajionaje?

Hivi wanawake wenye makalio makubwa mnajionaje?

Nisiwafiche, Nyie ni vibonge tuu... Msijione kama Nyie ndo namna gani vipi sio.... Mnariiiinga kisa hayo manyama? Nyie ni vibonge tu kama vibonge wengine.

Leo nimeingia tawi moja hivi la NMB hapa town, Ile nafika tu nakuta teller anapiga umbea na mwenzie wa dirisha lingine na sio kwamba hajaniona... Kaniona sana na ana bonge la tako hivyo pozi nyiiingi anafikiri tako litambeba.... kakazana huyo, " shostii nakwambia wema Kawa kama bibiii.... Bora hata alivyokuwa mnene na umbo lake alikuwa anavutia balaa ila sio sasa" Mi nimetulia tu namchora, nikasema leo wacha nimtolee uvivu.

Shostii yake alivyoniona akakata stori Ili nihudumiwe kwanza ndo yule tako anageuka eti karibu kaka.... Nikamwambia tumalize kwanza za wema.. kumbe angebaki vile vile angekuwa mzuri sio saizi eti ee? Kuanzia hapo akajua tu mjuba nimemaind akajishtukia eti samahani kaka angu karibu nikuhudumie..

Nikamwambia hakuna samahani hapo naongea Kwa sauti watu wote mpaka ofisini Kwa meneja wao wanasikia... Dada kakazana anaongea sauti ya chini Ili nipunguze Mimi ndo kwaaanza namuuliza... Vipi kajala unamuonaje bibie! Nae akipungua si atakua bibie kama wema tu?

Meneja wao ikabidi atoke, akauliza kuna nini hapa? Nikamwambia nipo na mfanya kazi wako hapa badaka ya kunihudumia amekazana anapia stori za wema sepetu yeye na mwenzie dirisha la pili hapo ndo ikabidi na Mimi niendeleze. Meneja akajua kosa ni lao akaomba radhi sana na akamwambia yule tako baada ya kazi unione shwaini wewe..... (Nimemnukuu)

Nyie ni vibonge tu, natumai atatia adabu na kesho naenda tena.
Imefanya vzr San brzaa komesha kbsa
 
Sasa ndugu mtoa uzi! Alikukosea dada wa benki au tako lake? 😀Mbona Kama umepanic

Ukiona mpaka mloganzila wanachaji Mamilioni "kuwamodifai " walimbwende waliopigwa pasi nao WAPATE japo kidogo usithubutu KUBEZA

Note (Laini tu, magumu hayahusiki 😀😀)
 
Nisiwafiche, Nyie ni vibonge tuu... Msijione kama Nyie ndo namna gani vipi sio.... Mnariiiinga kisa hayo manyama? Nyie ni vibonge tu kama vibonge wengine.

Leo nimeingia tawi moja hivi la NMB hapa town, Ile nafika tu nakuta teller anapiga umbea na mwenzie wa dirisha lingine na sio kwamba hajaniona... Kaniona sana na ana bonge la tako hivyo pozi nyiiingi anafikiri tako litambeba.... kakazana huyo, " shostii nakwambia wema Kawa kama bibiii.... Bora hata alivyokuwa mnene na umbo lake alikuwa anavutia balaa ila sio sasa" Mi nimetulia tu namchora, nikasema leo wacha nimtolee uvivu.

Shostii yake alivyoniona akakata stori Ili nihudumiwe kwanza ndo yule tako anageuka eti karibu kaka.... Nikamwambia tumalize kwanza za wema.. kumbe angebaki vile vile angekuwa mzuri sio saizi eti ee? Kuanzia hapo akajua tu mjuba nimemaind akajishtukia eti samahani kaka angu karibu nikuhudumie..

Nikamwambia hakuna samahani hapo naongea Kwa sauti watu wote mpaka ofisini Kwa meneja wao wanasikia... Dada kakazana anaongea sauti ya chini Ili nipunguze Mimi ndo kwaaanza namuuliza... Vipi kajala unamuonaje bibie! Nae akipungua si atakua bibie kama wema tu?

Meneja wao ikabidi atoke, akauliza kuna nini hapa? Nikamwambia nipo na mfanya kazi wako hapa badaka ya kunihudumia amekazana anapia stori za wema sepetu yeye na mwenzie dirisha la pili hapo ndo ikabidi na Mimi niendeleze. Meneja akajua kosa ni lao akaomba radhi sana na akamwambia yule tako baada ya kazi unione shwaini wewe..... (Nimemnukuu)

Nyie ni vibonge tu, natumai atatia adabu na kesho naenda tena.
Ungetaja tawi kabisa ili wadau tukatupe ndoano huenda chimbo liko wazi mkuu
 
Tuachane na story ya wema nijibu swali lako la kuhusu sisi wenye makalio makubwa tunajionaje!!

Binafsi najiona nimebarikiwa sana, baraka kubwaa kumbwaa. Nikipita mahali attention ya watu wengi unakuwa kwangu, ni raha sana asikwambie mtu.

Sio ile unaishi kwama hauishi yaani unapita kama vile bado haujapita. Yaani mimi nikipita napata mashabiki wa kunisindikiza kwa macho ya tamaa. Yaani ni raha sana.

Haya wale wa “weka picha” nawasubiri.
Wanawake wenye makalio mlima mna shida sana aisee!
 
Tuachane na story ya wema nijibu swali lako la kuhusu sisi wenye makalio makubwa tunajionaje!!

Binafsi najiona nimebarikiwa sana, baraka kubwaa kumbwaa. Nikipita mahali attention ya watu wengi unakuwa kwangu, ni raha sana asikwambie mtu.

Sio ile unaishi kwama hauishi yaani unapita kama vile bado haujapita. Yaani mimi nikipita napata mashabiki wa kunisindikiza kwa macho ya tamaa. Yaani ni raha sana.

Haya wale wa “weka picha” nawasubiri.
Hakuna wa weka picha wewe
Tulia na umbo lako offline😁😁
 
Umejiumbua kuwa hujastaarabika, katika jamii iliyostaarabika huwezi kumkoromea mwanamke kwa sauti hadharani.

Unampe vidongo kwa sauti ya upole lkn unampa vitu hadi ajione hafai.

Kubweka ni kwa watu wa hovyo.
Who is mwanamke....? Je ni punda kama punda wengine au ni kibwengo
 
Kwa hyo Kila mwanamke mwenye trako akisemwa na wewe umesemwa....na kulikuwa na haja gan kututambia hapa kwamba unalo?

Hivi ulipata usingizi kweli? Au ndio umelala ukiumia mimi kuwa na taaako[emoji23][emoji23].

Usijali. Acha nijipigie promo wateja ni wengi siwezi kuiba wakwako.
 
Back
Top Bottom