Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Vp ww!😁😁yaliyomo yamo au niache kiherehereKhakhakhaaaa Thread closed !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp ww!😁😁yaliyomo yamo au niache kiherehereKhakhakhaaaa Thread closed !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mtoa mada kauliza nini kwani?
Haya basi wewe ndio una makalio makubwa.
Vp ww!😁😁yaliyomo yamo au niache kiherehere
Imefanya vzr San brzaa komesha kbsaNisiwafiche, Nyie ni vibonge tuu... Msijione kama Nyie ndo namna gani vipi sio.... Mnariiiinga kisa hayo manyama? Nyie ni vibonge tu kama vibonge wengine.
Leo nimeingia tawi moja hivi la NMB hapa town, Ile nafika tu nakuta teller anapiga umbea na mwenzie wa dirisha lingine na sio kwamba hajaniona... Kaniona sana na ana bonge la tako hivyo pozi nyiiingi anafikiri tako litambeba.... kakazana huyo, " shostii nakwambia wema Kawa kama bibiii.... Bora hata alivyokuwa mnene na umbo lake alikuwa anavutia balaa ila sio sasa" Mi nimetulia tu namchora, nikasema leo wacha nimtolee uvivu.
Shostii yake alivyoniona akakata stori Ili nihudumiwe kwanza ndo yule tako anageuka eti karibu kaka.... Nikamwambia tumalize kwanza za wema.. kumbe angebaki vile vile angekuwa mzuri sio saizi eti ee? Kuanzia hapo akajua tu mjuba nimemaind akajishtukia eti samahani kaka angu karibu nikuhudumie..
Nikamwambia hakuna samahani hapo naongea Kwa sauti watu wote mpaka ofisini Kwa meneja wao wanasikia... Dada kakazana anaongea sauti ya chini Ili nipunguze Mimi ndo kwaaanza namuuliza... Vipi kajala unamuonaje bibie! Nae akipungua si atakua bibie kama wema tu?
Meneja wao ikabidi atoke, akauliza kuna nini hapa? Nikamwambia nipo na mfanya kazi wako hapa badaka ya kunihudumia amekazana anapia stori za wema sepetu yeye na mwenzie dirisha la pili hapo ndo ikabidi na Mimi niendeleze. Meneja akajua kosa ni lao akaomba radhi sana na akamwambia yule tako baada ya kazi unione shwaini wewe..... (Nimemnukuu)
Nyie ni vibonge tu, natumai atatia adabu na kesho naenda tena.
😆😆😆😆😆😆😆😆🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Inaonekana unapenda kuyaslap nimeona ile komenti pale juu umefurahia sana☺️
Kama nyie mnazuga uvanesamdeee ila unakuta posh queen mtupuHayamo mkuu Niyatoe wapii!
Kwa hyo Kila mwanamke mwenye trako akisemwa na wewe umesemwa....na kulikuwa na haja gan kututambia hapa kwamba unalo?[emoji23][emoji23][emoji23]kwani nikijitangaza nakuibia wateja wako?
Haya unajua kusoma?View attachment 2803915
Hapana mkuu labda wengine mie flat ile ilopigwa pasii kabisa!Kama nyie mnazuga uvanesamdeee ila unakuta posh queen mtupu
Ntakua wa mwisho kuamini😁sijui kwann akili yangu inaniambia we maji marefu steki za kutoshaHapana mkuu labda wengine mie flat ile ilopigwa pasii kabisa!
Hakii tena!Ntakua wa mwisho kuamini😁sijui kwann akili yangu inaniambia we maji marefu steki za kutosha
Ungetaja tawi kabisa ili wadau tukatupe ndoano huenda chimbo liko wazi mkuuNisiwafiche, Nyie ni vibonge tuu... Msijione kama Nyie ndo namna gani vipi sio.... Mnariiiinga kisa hayo manyama? Nyie ni vibonge tu kama vibonge wengine.
Leo nimeingia tawi moja hivi la NMB hapa town, Ile nafika tu nakuta teller anapiga umbea na mwenzie wa dirisha lingine na sio kwamba hajaniona... Kaniona sana na ana bonge la tako hivyo pozi nyiiingi anafikiri tako litambeba.... kakazana huyo, " shostii nakwambia wema Kawa kama bibiii.... Bora hata alivyokuwa mnene na umbo lake alikuwa anavutia balaa ila sio sasa" Mi nimetulia tu namchora, nikasema leo wacha nimtolee uvivu.
Shostii yake alivyoniona akakata stori Ili nihudumiwe kwanza ndo yule tako anageuka eti karibu kaka.... Nikamwambia tumalize kwanza za wema.. kumbe angebaki vile vile angekuwa mzuri sio saizi eti ee? Kuanzia hapo akajua tu mjuba nimemaind akajishtukia eti samahani kaka angu karibu nikuhudumie..
Nikamwambia hakuna samahani hapo naongea Kwa sauti watu wote mpaka ofisini Kwa meneja wao wanasikia... Dada kakazana anaongea sauti ya chini Ili nipunguze Mimi ndo kwaaanza namuuliza... Vipi kajala unamuonaje bibie! Nae akipungua si atakua bibie kama wema tu?
Meneja wao ikabidi atoke, akauliza kuna nini hapa? Nikamwambia nipo na mfanya kazi wako hapa badaka ya kunihudumia amekazana anapia stori za wema sepetu yeye na mwenzie dirisha la pili hapo ndo ikabidi na Mimi niendeleze. Meneja akajua kosa ni lao akaomba radhi sana na akamwambia yule tako baada ya kazi unione shwaini wewe..... (Nimemnukuu)
Nyie ni vibonge tu, natumai atatia adabu na kesho naenda tena.
Wanawake wenye makalio mlima mna shida sana aisee!Tuachane na story ya wema nijibu swali lako la kuhusu sisi wenye makalio makubwa tunajionaje!!
Binafsi najiona nimebarikiwa sana, baraka kubwaa kumbwaa. Nikipita mahali attention ya watu wengi unakuwa kwangu, ni raha sana asikwambie mtu.
Sio ile unaishi kwama hauishi yaani unapita kama vile bado haujapita. Yaani mimi nikipita napata mashabiki wa kunisindikiza kwa macho ya tamaa. Yaani ni raha sana.
Haya wale wa “weka picha” nawasubiri.
Hakuna wa weka picha weweTuachane na story ya wema nijibu swali lako la kuhusu sisi wenye makalio makubwa tunajionaje!!
Binafsi najiona nimebarikiwa sana, baraka kubwaa kumbwaa. Nikipita mahali attention ya watu wengi unakuwa kwangu, ni raha sana asikwambie mtu.
Sio ile unaishi kwama hauishi yaani unapita kama vile bado haujapita. Yaani mimi nikipita napata mashabiki wa kunisindikiza kwa macho ya tamaa. Yaani ni raha sana.
Haya wale wa “weka picha” nawasubiri.
Kuna nafasi Moja mloganzila vp nikuunganishe uwe Nick Minaj wa kina nshomileHakii tena!
Who is mwanamke....? Je ni punda kama punda wengine au ni kibwengoUmejiumbua kuwa hujastaarabika, katika jamii iliyostaarabika huwezi kumkoromea mwanamke kwa sauti hadharani.
Unampe vidongo kwa sauti ya upole lkn unampa vitu hadi ajione hafai.
Kubweka ni kwa watu wa hovyo.
Kwa hyo Kila mwanamke mwenye trako akisemwa na wewe umesemwa....na kulikuwa na haja gan kututambia hapa kwamba unalo?