Hivi wanawake wenye makalio makubwa mnajionaje?

Hivi wanawake wenye makalio makubwa mnajionaje?

Tuachane na story ya wema nijibu swali lako la kuhusu sisi wenye makalio makubwa tunajionaje!!

Binafsi najiona nimebarikiwa sana, baraka kubwaa kumbwaa. Nikipita mahali attention ya watu wengi unakuwa kwangu, ni raha sana asikwambie mtu.

Sio ile unaishi kwama hauishi yaani unapita kama vile bado haujapita. Yaani mimi nikipita napata mashabiki wa kunisindikiza kwa macho ya tamaa. Yaani ni raha sana.

Haya wale wa “weka picha” nawasubiri.
Unapita kama bado haujapita 🤣🤣!
 
Nimesoma kichwa cha habari sikutaka kusoma zaidi, ila najiuliza aliyeandika huu uzi ni mwanaume ama mwanamke???
 
Basi sina makalio makubwa nimepigwa pasi. Hivi ndio vitu mnavyopenda kuamini[emoji57][emoji57]
Hanna unadhani nakupiga ndugu yangu ? Hapana, me zaman nlikuwa napenda mitako, nikaifunua kinoma asa kuna siku katoto kamoja kanafanya kazi voda kakanipa tamu hakana tako sio kembamba saaana aisee nilifumua nikahamisha majesh yan kumbe ivi vitoto vitamu ivi, saivi nikikuona nauangalia nikikukaza ni vile tu mitako inahamasisha ila vyemamba navyenyewe vina utamu jamani
 
Bora umekutana mwenye msambwanda anajiamini kuliko ungekumbana na kimbaumbau, hua wanajistukia muda wote na always wako defensive. Niliwahi kuyatimba kwa kimbaumbau mmoja nilijuta. Nilitukanwa, huwezi amini neno kvma lilitengeneza matusi tofauti kama 27 hivi
 
Acha makasiriko.....hajasema ujieleze wewe..alikuwa anaelezea mwanamke wa bank mweny trako na wewe ulivyo mbwiga ukaona ni sehem ya kujitangazia

[emoji23][emoji23][emoji23]kwani nikijitangaza nakuibia wateja wako?

Haya unajua kusoma?
IMG_1164.jpg
 
Bora umekutana mwenye msambwanda anajiamini kuliko ungekumbana na kimbaumbau, hua wanajistukia muda wote na always wako defensive. Niliwahi kuyatimba kwa kimbaumbau mmoja nilijuta. Nilitukanwa, huwezi amini neno kvma lilitengeneza matusi tofauti kama 27 hivi
😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom