Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Vipi ndo batch ya kwanza Mlonganziwise nini, [emoji3] Utasumbuaaa hongera sana kwa kuweka busta
Sasa ulikataa Nini kuwa ni tangazo?Hivi ulipata usingizi kweli? Au ndio umelala ukiumia mimi kuwa na taaako[emoji23][emoji23].
Usijali. Acha nijipigie promo wateja ni wengi siwezi kuiba wakwako.
Batch ya kwanza tayari kwaniππVipi ndo batch ya kwanza Mlonganziwise nini, π Utasumbuaaa hongera sana kwa kuweka busta
Heri yako huhitaji sindano...Mungu alimalizagaBatch ya kwanza tayari kwaniππ
Haa mimi huyu? Najiandaa niwepo batch ya 2ππHeri yako huhitaji sindano...Mungu alimalizaga
Utaharibu mchuzi sasa...unashindana na Nicole?πHaa mimi huyu? Najiandaa niwepo batch ya 2ππ
...ππππSamahani mkuu,
Hapa shida yako ni kucheleweshewa huduma ama kuwasema wadada wa watu wenye macalio marefu kama mvua..??