Hivi wanawake wenye makalio makubwa mnajionaje?

Hivi ulipata usingizi kweli? Au ndio umelala ukiumia mimi kuwa na taaako[emoji23][emoji23].

Usijali. Acha nijipigie promo wateja ni wengi siwezi kuiba wakwako.
Sasa ulikataa Nini kuwa ni tangazo?
 
Daah pana dada mmoja ana mzigo upo balance harafu mzuri aisee alivyopita kila mtu alikagua kwa ukaguzi wake akaishia kusema uumbaji wa Mungu huu yule dada ana kati ya 25yrs na 30yrs ila yupo sawa sana harafu muhuni mmoja unakuja kuwaponda ili iweje...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…