Hivi wapenzi kama hawa tuwafanyaje

Muulize,umechukia bado mpenz? Akijibu endelea kumpa maneno matamu then mwambie unatamani umwone japo kidogo tu kumbe unataka umwone Mpaka uchi
Ndio ananipigia hapa muda wote ila mi nimekaa kimya sitaki aniongezee hasira nikaua mpaka mait yake
 
Na wewe unatoaje hela kiboya kabla hujapata bidhaa? Ubwege wako usitushirikishe sisi.
 
kapata kamseleleko
 
wanaume mafala kumbe bado wapo hvi hujagi kwenye vikao vya wanaume mbona ajenda zinasomwaga na zinaeleweka. kawaida ikiliwa na ww lazma ule kama drafti vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…