Hivi wapenzi kama hawa tuwafanyaje

Huwa sivushi 50k..hiyo ni hela ya kuhonga..kabla hajaliwa..ikifika hapo hajaliwa natemana na hiyo project labda ajilete mwenyewe kwa gharama zangu.

Kuhonga demu raha sana..mana kwanza unafeel hadhi ya kiume..pili mademu wengi huwa hawachomoi kama ukianza na miamala.

#MaendeleoHayanaChama
 
wanaume mafala kumbe bado wapo hvi hujagi kwenye vikao vya wanaume mbona ajenda zinasomwaga na zinaeleweka. kawaida ikiliwa na ww lazma ule kama drafti vile
Kula lazima kabla ya kucheza kete yeyote ile nyingine.
 
Hela hatutumagi siku hizi mbona au huko kwenu tozo haijafika, saizi unauliza tu nikutumieee!!! utasikia hapanaa acha nakujaa mwenyewe makato makubwa Santa, imeishaa hiyoo
 
Dawa yake ndogo tu, kuna single maza mmoja alinigeuza mimi kama babake, baada ya kuona anataka hela tu, tayari kashakula 50, gheto anakwepa.. nikajisemea hela yangu haiendi bure, alipojaa kwenye tageti,alijuta kuzaliwa... hataki hata kuniskia.........

Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Wakati wa ujana nilitomba~ga ke mmoja hadi akaingia hedhi kwa kula hela yangu nyingi. Cha ajabu baada ya miezi kupita alikuja kuomba nimtomber kama vile vile ikiwezekana hadi akalazwe. F popote ulipo nakusabahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora kwenda jela ili uwe mfano kwa wengine unakulaje hela ya mwanaume na unajua huna cha kumlipa huyu nimemsamehe sana kumvunja miguu
Acha kutishia hapa kama unaweza kumvunja miguu si ungemvunja huko huko?
Huyo demu kakuona ww mshamba tu ndio maana anakula pesa zako na uchi wake utauona kwenye Google.
Wazazi wako wako shamba maisha magumu pesa huwatumii demu anakula pesa yako kama kawa.
 
Muulize,umechukia bado mpenz? Akijibu endelea kumpa maneno matamu then mwambie unatamani umwone japo kidogo tu kumbe unataka umwone Mpaka uchi
@Beesmom unanifurahisha sana sema hizi mbinu ni nzuri sana nazichukua
 
Ndio maana hatuendelei
 
Hela hatutumagi siku hizi mbona au huko kwenu tozo haijafika, saizi unauliza tu nikutumieee!!! utasikia hapanaa acha nakujaa mwenyewe makato makubwa Santa, imeishaa hiyoo
[emoji34][emoji34] ndio hivyo kala
 
Ulimfanya n n au ulipaka mko ngo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…