Hivi wataalam wa kilimo toka SUA wana impact gani! Mbona hawasikiki?

Hivi wataalam wa kilimo toka SUA wana impact gani! Mbona hawasikiki?

Ndomana nmesema ilaum serikali yako co CE TAZALISHA MBEGU AU TATENGEZA VIFAA KWA BAJETI IPI???? au m ntoe pesa mfukon nnazo?? WAKULIMA WANANUFAIKA UJE NAWE UTUFAID YUKO ACTIVE SANA YAN...sema hatna mazngira wezeshi..
Mlishaandika Proposal serikalini kwaajili ya kupewa pesa za kuyafanya hayo?
 
Mapinduzi ya kilimo siyo ya siku moja. wataalamu wetu wanafanya kazi nzuri sana ya kuelimisha watu.
Nashauri wakulima tuwasikilize wataalam wetu kutoka SUA tusiwasikilize watu ambayo hawataki tusonge mbele kwenye kilimo chetu kwa kukataa matumizi ya GMO. wanataka turudi tulikoshindwa
 
Tupe heshima yetu mkuu ilaum serikali yako CIO cc cc tunatumika sana mashamban na tunajituma sn kwa wakulima njoo sua uclalamike tuu bure!!!

Mkuu mimi mbona siwaoni wataalamu wa kilimo nimeanza kulima toka 2010? Mbona nawaona madaktari wa binadamu, polisi, maEng wa majengo nk. Nyie mnafanyia kazi maeneo gani? Hao wa hizo fani niliowataja mbona tunawaona kwenye mazingira yetu na wala hatuwafuati huko vyuoni kwao?
 
Yani mchango wao hauonekani kabisa katika kuinua sekta ya kilimo na mifugo.
Sekta ya kilimo imeendelea kuwa duni tangu nchi ipate uhuru na hawa jamaa wameshindwa kabisa ku transform kilimo.
Kifupi hawana impact kama Makapuku forum.
Siku mkirogwa mkanipa urais hiki chuo ntakifuta katika siku zangu mia za kwanza...
ULishanitafuta nikashidwa kukushauri? Wewe vipi wewe!! Mbona kule kwetu watu wanajidai na wataalam wa kilimo na mifugo kutoka SUA. Yaani wewe umeninginiza kengele zako hapo kwako unataka tukufuate mpaka nyumbani kwako?
 
Mkuu achana na Uwekezaji wa Kuzalisha Mbegu za mahindi. Hahaa kuna kitu inaitwa Parents
Ni mgumu sana mkuu?
Kuna documentari fulani nilikuwa naiangalia you tube ya wakenya walivokuwa wanaelezea, wanasema inachukua mpaka miaka mitano katika mchakato wa kuzalisha mbegu za kisasa hadi kutufikia wakulima
 
Yani mchango wao hauonekani kabisa katika kuinua sekta ya kilimo na mifugo.
Sekta ya kilimo imeendelea kuwa duni tangu nchi ipate uhuru na hawa jamaa wameshindwa kabisa ku transform kilimo.
Kifupi hawana impact kama Makapuku forum.
Siku mkirogwa mkanipa urais hiki chuo ntakifuta katika siku zangu mia za kwanza...
Wizara ya kilimo ambayo ndiyo ina meno ya kupanga na kuimplement na imejaa wataalam kibao ndio wa kulaumu. Kazi ya SUA ni kutoa elimu, kufanya utafiti na kushauri nini kifanyike. Kama hamtaki kuchukua ushauri wetu tufanyeje sasa?
 
ULishanitafuta nikashidwa kukushauri? Wewe vipi wewe!! Mbona kule kwetu watu wanajidai na wataalam wa kilimo na mifugo kutoka SUA. Yaani wewe umeninginiza kengele zako hapo kwako unataka tukufuate mpaka nyumbani kwako?

Fani karibu zote zinaunganishwa na vyama vya wataalam. Lawyers, architects engineers, doctors. Chenu cha wataalamu wa kilimo ni kipi?
 
Yani mchango wao hauonekani kabisa katika kuinua sekta ya kilimo na mifugo.
Sekta ya kilimo imeendelea kuwa duni tangu nchi ipate uhuru na hawa jamaa wameshindwa kabisa ku transform kilimo.
Kifupi hawana impact kama Makapuku forum.
Siku mkirogwa mkanipa urais hiki chuo ntakifuta katika siku zangu mia za kwanza...
ulitaka washike jembe?
Kama serikali haipi kipaumbele kilimo na utafiti utasuburi sana. Maendeleo ya kilimo hayaendi kwa matamko?
 
Fani karibu zote zinaunganishwa na vyama vya wataalam. Lawyers, architects engineers, doctors. Chenu cha wataalamu wa kilimo ni kipi?
Hujawahi kusikia TVA = Tanzania Veterinary Association? Unafikri hiki kinaongozwa na akina Bashite? Hujawahi kusikia TSAP = Tanzania Society of Animal Production? Hujawahi kusikia TAWLAE = Tanzania Association of Women Leaders in Agriculture and Environment? na Bado kuna cha wataalam wa udongo. Pia kuna kingine kinaitwa TSAEE = Tanzania Society of Agricultural Education and Extension, pia kuna RST = Range Society of Tanzania. Vyote hivi ni vyama vya wataalam wa kilimo na mifugo ambavyo vyote chimbuko lake ni SUA!
 
Hujawahi kusikia TVA = Tanzania Veterinary Association? Unafikri hiki kinaongozwa na akina Bashite? Hujawahi kusikia TSAP = Tanzania Society of Animal Production? Hujawahi kusikia TAWLAE = Tanzania Association of Women Leaders in Agriculture and Environment? na Bado kuna cha wataalam wa udongo. Pia kuna kingine kinaitwa TSAEE = Tanzania Society of Agricultural Education and Extension, pia kuna RST = Range Society of Tanzania. Vyote hivi ni vyama vya wataalam wa kilimo na mifugo ambavyo vyote chimbuko lake ni SUA!

Sijawahi kukisikia hata kimoja hapo ndugu Manjagata, mpo kimya sana wakati ndio wenye wadau wengi zaidi kuliko fani zingine zote. Nyie watu ni wa muhimu sana basi tu
 
Sijawahi kukisikia hata kimoja hapo ndugu Manjagata, mpo kimya sana wakati ndio wenye wadau wengi zaidi kuliko fani zingine zote. Nyie watu ni wa muhimu sana basi tu
Kuanzia leo mkuu Lusajo11 anaza kufuatilia. Hivyo vyama viko hai kabisa na vinachapa kazi kama kawaida. Shida iliyopo ni siasa inatuharibia mambo mengi sana!!
 
Mkuu pitia kwenye hivi vyuo vya kati yaani kusoma ni kidogo sana mda mwingi ni practical tena mashambani tofauti na sua na vyuo vingine vikuu ambavyo wanafunzi wanalima kwenye projector
Ukweli mchungu,
 
Mapinduzi ya kilimo siyo ya siku moja. wataalamu wetu wanafanya kazi nzuri sana ya kuelimisha watu.
Nashauri wakulima tuwasikilize wataalam wetu kutoka SUA tusiwasikilize watu ambayo hawataki tusonge mbele kwenye kilimo chetu kwa kukataa matumizi ya GMO. wanataka turudi tulikoshindwa
SUA ilianza kutoa hao wataalamu tangu miaka mingapi iliyopita?
 
Fani karibu zote zinaunganishwa na vyama vya wataalam. Lawyers, architects engineers, doctors. Chenu cha wataalamu wa kilimo ni kipi?
Mkuu swali zuri sana!

Ila unaposema kilimo ni neno pana...ndani ya kilimo kuna ma injinia wa kilimo...ma injinia wa kisindika vyakula na madokta wa mifugo humo humo!

Nirudi kwenye swali lako...

Mainjinia wa kilimo chama chao ni ERB nadhani unaijua au umeshaisikia

Madokta wa mifugo chama chao ni TANZANIA VETERINARY ASSOCIATION!!

Agronomist na watu wa horticulture wana chama chao bahati mbaya nimekisahahu!

Kama unaswali uliza upewe majibu!!
 
Back
Top Bottom