Hivi wataalam wa kilimo toka SUA wana impact gani! Mbona hawasikiki?

Hivi wataalam wa kilimo toka SUA wana impact gani! Mbona hawasikiki?

SIASA imetelekeza kilimo.unafikiri wasomi watafanya nini?ifutwe udsm maana ndo imewaleta kina CHENGE,MWAKYEMBE,MUHONGO,TULIA,MAGU, wanafiki tuu hawana nia njema na hii nchi
 
Sijawahi kukisikia hata kimoja hapo ndugu Manjagata, mpo kimya sana wakati ndio wenye wadau wengi zaidi kuliko fani zingine zote. Nyie watu ni wa muhimu sana basi tu
Kutokukisikia haimaanishi kwamba hakipo!! Zaidi inaonyesha ni jinsi gani ulivyo outdated!
 
Yani mchango wao hauonekani kabisa katika kuinua sekta ya kilimo na mifugo.
Sekta ya kilimo imeendelea kuwa duni tangu nchi ipate uhuru na hawa jamaa wameshindwa kabisa ku transform kilimo.
Kifupi hawana impact kama Makapuku forum.
Siku mkirogwa mkanipa urais hiki chuo ntakifuta katika siku zangu mia za kwanza...

Kuna sehemu unawashwa ngoja wanaume tuje tukukune, usisahau kuandaa na kopo la babycare.
 
Kuna sehemu unawashwa ngoja wanaume tuje tukukune, usisahau kuandaa na kopo la babycare.
Kumbe unategemea msaada wa baby care? Wanaume wa kweli mb** zao zinatoa lubricant zenyewe Wataalam wanaziita Semen... Basi wewe utakuwa mashine yako imeshakufa...Na inawezekana imekufa kwa kuwa umezidisha kugongwa! Waombe wa Masaai wakupe dawa, huenda ikafufuka...
 
Kuanzia leo mkuu Lusajo11 anaza kufuatilia. Hivyo vyama viko hai kabisa na vinachapa kazi kama kawaida. Shida iliyopo ni siasa inatuharibia mambo mengi sana!!
Mkuu....SUA ingepaswa kuwa kinara hapa nchini kuliko jinsi ilivyo kwakweli.

Mimi nina shangazi yangu alimaliza Masters hapo na alianzia certificate ya vertenary....huku mtaani anasaidia kutibu mifugo ya watu mpk mbwa anatibu ila maisha yake ya kiwango cha chini na anailaumu serikali sana.

Sijui kwanini serikali isiwainue ninyi na SUA kuna kozi nyeti sana.
 
Mkuu swali zuri sana!

Ila unaposema kilimo ni neno pana...ndani ya kilimo kuna ma injinia wa kilimo...ma injinia wa kisindika vyakula na madokta wa mifugo humo humo!

Nirudi kwenye swali lako...

Mainjinia wa kilimo chama chao ni ERB nadhani unaijua au umeshaisikia

Madokta wa mifugo chama chao ni TANZANIA VETERINARY ASSOCIATION!!

Agronomist na watu wa horticulture wana chama chao bahati mbaya nimekisahahu!

Kama unaswali uliza upewe majibu!!

That is very helpful amigo, ni kweli niliuliza hayo nikiwa na agenda nyingine, hawa wataalam wanafanya kazi baada ya kutumwa tu ama kuna wakati wanatoa msaada kwa jamii?

Mfano, TAWLA, MOAT TLS na wengine, kuna wakati wanajitokeza hadharani kusaidia wanachoweza. In that case, what is our agriculture people doing?
 
Mkuu mimi mbona siwaoni wataalamu wa kilimo nimeanza kulima toka 2010? Mbona nawaona madaktari wa binadamu, polisi, maEng wa majengo nk. Nyie mnafanyia kazi maeneo gani? Hao wa hizo fani niliowataja mbona tunawaona kwenye mazingira yetu na wala hatuwafuati huko vyuoni kwao?
Ndmn nmesema iulize serikali wanaomaliza wanapelekwa WAP??? Setikal haimthamin mkulima wala adsa kilimo lait tungepewa kpaumbele km hao nazan tungeskika
 
Yani mchango wao hauonekani kabisa katika kuinua sekta ya kilimo na mifugo.
Sekta ya kilimo imeendelea kuwa duni tangu nchi ipate uhuru na hawa jamaa wameshindwa kabisa ku transform kilimo.
Kifupi hawana impact kama Makapuku forum.
Siku mkirogwa mkanipa urais hiki chuo ntakifuta katika siku zangu mia za kwanza...
Wana group lao la wasap wanalima na kushauri kupitia simu
 
Mm nimelima mbigili morogoro watu wa sua hawana ushirikiano wowote wao wanatumia wasap tu
Ukiwa na shida ya mbegu au magonjwa shambani wanataka picha binafsi nilojitoa makundi ya wasap hawana msaada wowote, kuna afisa kilimo mmoja tulimtumia nauli aje atembelee shambani akadai kuna matope njia haipotiki tukamwambia sawa
Kifupi ni masharobaro wanaringa na hawapendi kilimo yani wapo wapo tu
 
Yani mchango wao hauonekani kabisa katika kuinua sekta ya kilimo na mifugo.
Sekta ya kilimo imeendelea kuwa duni tangu nchi ipate uhuru na hawa jamaa wameshindwa kabisa ku transform kilimo.
Kifupi hawana impact kama Makapuku forum.
Siku mkirogwa mkanipa urais hiki chuo ntakifuta katika siku zangu mia za kwanza...
Wengi wao wapo nchi zinazowataka
 
Waliosomea Political Science wanafanya nini katika nchi hii?
Waliosomea Engineering mbona siwaoni kwenye gereji na kwenye vijiwe vya welding?
 
Yani mchango wao hauonekani kabisa katika kuinua sekta ya kilimo na mifugo.
Sekta ya kilimo imeendelea kuwa duni tangu nchi ipate uhuru na hawa jamaa wameshindwa kabisa ku transform kilimo.
Kifupi hawana impact kama Makapuku forum.
Siku mkirogwa mkanipa urais hiki chuo ntakifuta katika siku zangu mia za kwanza...
Chaa ajabu wengi unawakuta wanafanya kaZi bank!! Ushahidi ninao
 
Waliosomea Political Science wanafanya nini katika nchi hii?
Waliosomea Engineering mbona siwaoni kwenye gereji na kwenye vijiwe vya welding?
Ukiiba ukikamatwa usiseme mbona fulani nae mwizi
 
Swali zuri sanaaa!

Utakuta watu wengi waliotoka SUA ndio wanafanya kazi NSSF, PPF, Banks n.k

Sijui Shambani penye mazao na mifugo waende akina nani?

Ila nahisi ni serikali haijatengeneza mazingira wezeshi.
Sua inaandaa watu wa kada mbalimbali
Wapo waandisi, walimu, wachumi kilimo, wataalami wa tiba na mahabara, wataalumu wa lishe, chakula, wataalamu wa udongo, na wataalamu wa mawasilian na tehama, pia wataalamu wa misitu na mazingira, utalii na mipango miji pamoja na wataalamu wa mafunzo ya kwa wanyama kama kutegua mabom na tafiti mbalimbali.
Kwa hiyo kuwakuta maeneo hayo diyo tatizo, piasi wote waliopo sua wanasomea kilimo
 
Tatizo sio SUA ila ni wale wanaopeleka KILIMO KWANZA kwa SUMA JKT wakati wataalamu wanaachwa wakapambane na madiwani kwenye halmashauri za wilaya
Na sera pamoja na tafiti za klimo kwanza zimeandaliwa na watsfiti kilimo sua alafu wanasiasa wanaleta siasa kwenye utekelezaji ata kwenye swala la kitaaluma
 
Back
Top Bottom